Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Somalia Waislamu watupu wanapigana wenyewe Kwa wenyewe

Sudan Waislamu watupu wanapigana wenyewe Kwa wenyewe
Sawa. Kuna mambo mawili unapaswa kuelewa sudan na Somalia. Kama ilivyokuwa Afghanistan.

Vita vyvyt unavyovisikia, iwe Ukraine, Eritrea nchi za wakristo wengi ujue kuna mkono wa
Mmarekani.

Na kila nchi ina puppets na wamarekani huwatumia kuanzisha vurugu. Kwa tz unaweza mwenyewe kuwajua nani ni pupets wa wamarekani. Sio waislam.

Waislam ni anti wazungu na ndio walioipigania na kuipatia tz uhuru. Wakati huo pupets waliungana na wakoloni wazungu.

Somalia ilipokuwa chini ya mahakama ya kiislam ili ilikuwa ya utulivu na GDP yao ilipanda ghafla.

Kwa hiyo mpenda vita na mshikilia shoka la vita na ugaidi ni wamarekani. Bila Marekani hakuna vita, bila Marekani hakuna ugaidi.

Anyway hii sio mada kuu
 
Waislamu akili hamna wanajua kuzaa zaa hovyo tuu. Na kushinda mskitini.
Unadhani kuwa na watoto wengi ni kukosa akili

Kuzaa bila ndoa ndio laana.

Wewe umezaluwa wazazi wako wakiwa kwenye ndoa au ktk hatua ya kupimana.

na wewe utaoa kwanza au utaanza kupima kujya kama mbuzi wako mtamu na anakizazi..

Heri yetu Sisi tusie na akili kuliko kuwa na kizazi cha .........
 
Hayo mambo pelekeni jeshi la Zanzibar sio huku Tanganyika.
Waznz baada ya kuona wasichana wanavisha boxer huku bara akaanzisha jku.

Znz naona ni jimbo lenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyew.

Kuna haja kwa wadanganyika kuhamasishana Tubadili mfumo wa utawala. Kutoka serikali kuu kuwa serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Kama Lissu anavyosema ngorongoro ni ya wamasai kwa mujibu wa hisia. Na mnamuunga mkono, basi nami Mohd nasema Pwani ni ya waislam. Tuungeni mkono pia.
 
KWANI JESHI LETU NI LA MRENGO WA KIDINI. AU UNASAHAU KAMA TANZANIA SIYO NCHI YA KIDINI.
 
Hauwezi kuniaminisha kuwa nguo ni vazi la kidini, nitafurahi ukinionesha picha ya wanajeshi wanawake wakiwa wamevaa hijabu, au wakiwa hawajavaa suruali ambayo haikubaliki kwa mwanamke kuvaa.
 
Uhuru wa kuabudu ni huko unakoabudu Sio ofisini au jeshini

Pilinhiyo mifano ya nchi nyingine unayotoa ya kwao Sisi Sio photocopy copy machine ya kutoka photocopy za nchi zingine ndio maana majina yetu Sisi tunaitwa Tanzania na wao nchi zao Zina majina Yao

Wana ya kwao na Sisi tuna ya kwetu.

Uhuru wa kuabudu ni huko kwenye ibada huko iwe makaburini mtu anaomba mizimu au msikitini huko Kuna ma uniform yake yawe makanzu au mahijabu mtu Yuko huru huko kuvaa sababu ni uniform ya msikitini katiba inatoa ruksa huru kuabudu aonavyo mtu awe na nguo au Hana

Hayo maeneo mengine hayatambuliki kama maeneo ya ibada Kuna mavazi Yao huko uniform ambayo askari wote wanavaa uniform aina moja iwe kaptula au suruali bila midevu kama ya Osama bin Laden kama ambavyo askari wa Aghanstan hufuga madevu hiyo midevu Yao kule kwao ni uniform yao
 

Mtego wa imani.
Si kila imani ni sahihi. Kuna imani zingine ni potofu. Na kwa kuona hilo lazima secular government iweke sheria ambazo zitakuwa huru bila kuingiliwa na itikadi za makundi mbalimbali. Na ilivyo, kila mmoja anapaswa kuitii serikali au mamlaka, kwa maana iko pale kwa ajili ya wananchi wote bila kujali background. Suala la waislam kutaka kuwa treated with exceptional ni kukosa utambuzi na hekima. Maana nchi yetu si ya kiislam.
 
Kuvaa mavazi yenye stara ktk imani ya kiislam ni ibada. Ni kuabudu.

Unlikely na imani yenu. Na nadhani hapo ndipo tusipoelewana. Kwani kuabudu si kuswali, kusali na kusifu.

Kuabudu ni kutekeleza kila amri ya Mungu kwa mujibu wa imani yako
Uniformity (mfanano) ili kuwezesha ufuatiliaji na usimamizi wenye ufanisi ndiyo malengo ya kunyoa vipara,kuvaa mavazi ya kufanana,kula chakula cha kufanana ili ikitokea akapata nafasi ya kulitumikia taifa upande wa majeshi yetu avumilie hivyo vitu pale inapomhitaji kuwa hivyo.

Sasa akavae kanzu,juba sijui ijabu (samahani km nitakosea majina),wakiambiwa suruali yule aje na fupi mimi ndefu na ya kubana malengo yatafikiwa kweli?

Ndio maana nikasema wahusika wahamie Saudi Arabia ama waunde taifa lao. Kama vipi kuja jamaa hapo juu kasema hatoruhusu binti zake kwenda JKT unaweza kuungana naye.
 
acha kuilinganisha mwakaleli na sehemu zenye hewa chafu,we unaisifu masaki huku unaishi yombo na kobazi wa kizaramo wengi wao huishia kariakoo,buguruni,tandika,kigamboni huko masaki wakafanye nini?
 
Kwa sababu umeandika kisheria na m nakujibu kwa kisheria kwa haya maswali machache:-

1. Je ni lazima kwenda JKT?
2. Wameenda kwa hiari au kulazimishwa?
3. Je kuna option nyingine wangeweza kwenda badala ya JKT?

Ukipata majibu rudi kwenye ile rule ya "EX TURPI CAUSA NON ORITUR ACTIO"

Case closed.
 
Kuna jamaa kasema hapo ninyi ndio mnafanya Waislamu kuonekana wapumbavu Sanaa

Kwa kifupi Sana hili siyo taifa la kiisilamu bake na libint lako nyumbani kwako
 
Leo unalalamikia mavazi jeshini kesho utalalamikia kutoruhusiwa kufuga ndevu jeshini.
Mara watakuja wakristo wa Iman Kali nao walalamike wanawake kunyolewa nywele jeshini
Aje mmasai nae aseme anataka avae mashuka yao jeshini hiv Hilo litakuwa jeshi kweli.

Dini ni Mila za watu sio Kila sehemu hizo mila zitaruhusiwa na hii IPO Ili kuwepo na umfanano kwa wote

Alafu kumbuka JKT ni kwamjibu wa Sheria ila sio lazima usipoenda hawatokufata nyumbani kukupeleka kambini.
 
Nina hakika kabisa kwa comment yako hii kuna watu wanakuona na wewe pia hamnazo!

Ukikuwa utagundua kuwa comment ya mtu juu ya mtu haiamui ukweli wa jambo! .... Inasaidia tu kupata attention ikiwa sauti yako ni kubwa kuliko mwenzako.
Mkuu acha wivu kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…