Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Kama unaona jkt itamdhalilisha mwanao mpeleke akapate mafunzo ya ukakamavu taliban kwenye misingi ya kidini akimaliza arudi kuendelea na chuo au kaa nae nyumbani kwako muda wa chuo ukifika mpeleke shule
 
Umewahi kujiuliza kwanini ukiwa Mzalendo jeshini unavaa Track na ukiwa kuruti unavaa pitshort?

Acha kupelekwa pelekwa na midini dini utachelewa. Acha jeshi lijiendeshe kama linavojiendesha.

Waislam mnajikutaga imani mnazijua sana.
Mimi ni Roman Catholic.
Ila amini unachoamini
 
Kama unaona jkt itamdhalilisha mwanao mpeleke akapate mafunzo ya ukakamavu taliban kwenye misingi ya kidini akimaliza arudi kuendelea na chuo au kaa nae nyumbani kwako muda wa chuo ukifika mpeleke shule
Kuna waislamu Tanzania hawajielewi utasikia tunashukuru tuna Raisi na wabunge kibao wanachosahau Pesa zao za mishahara na posho Pesa hutoka vyanzo haramu mfano hupitisha bajeti ya wizara ya fedha ambayo moja ya vyanzo vikubwa vya serikali ni Kodi ya pombe na Waziri husoma wazi bila kificho na Raisi Muislamu husaini kuidhinisha na hijabu yake kuwa hiyo bajeti ruksa kupita na Kodi za pombe zake humo ndani

Akimaliza kusaini anawahi msikitini swala tano
 
Mleta mada hajielewi uislamu unakataza Riba Bahkresa anakopa Hadi basi mikopo yenye Riba na waislamu kutwa wanapanga foleni kuomba msàada kwake wao hawataki kukopa Kwa riba

Kamari hairuhusiwi kwenye uislamu lakini Sportpesa za Mo Akipata Pesa kupitia sport Pesa wanafurika kuomba michango ya ujenzi madrasa na misikiti na kuomba kufuturishwa Ramadhani na kumuombea Dua ndeefuuuuuuuu ya heri
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Bila picha we muongo, mkuu mimi muislam ila kwa kule wakivaa suruali au s
Skirt watafanyaje mazoezi au kazi za kijeshi
 
Kuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Lakini mbona mtaani hao hao mabinti wanavaa vibukta na kutembea nusu uchi hamlalamiki wajameni?Kuna night clubs ngapi nchini,wanaojiuza si ni hao hao mabinti zetu
 
Maalim inaonekana huelewi jeshi ni nini na linaendeshwaje. Kule imani yako, dini yako , misimamo yako inawekwa pembeni unapambania kitu kimoja tu, nacho ni tanzania.
Fundamentaly jeshi limetengezwa kwenye nguzo za umoja, na todauti za ww ni nani au dini gani zinawekwa pembeni.
Mle nyie ni team si individuals, ukiwa individuals hufai kua askari

Kama unaona mwanao anapata shida simply usimpleke, otherwise jeshi
Unakabia juu sana maalim,mpe ostazi hewa kidogo
 
Lakini mbona mtaani hao hao mabinti wanavaa vibukta na kutembea nusu uchi hamlalamiki wajameni?Kuna night clubs ngapi nchini,wanaojiuza si ni hao hao mabinti zetu
Wacha hiyo wabunge wa Zanzibar swala Tano hupitisha bajeti ya wizara ya fedha yenye Kodi za pombe na sigda zao usoni na mahijabu Yao na wanajazana wizara ya Fedha na taasisi zake ambako Mapato hutegemea riba ya mikopo na Kodi za pombe iwe TRA nk kinyime na maagizo ya Allah kuajiriwa hata TRA ni kukiuka maadili ya Kiislamu ambayo hayatambui Kodi za biashara za pombe au kitimoto kama biashara halali zinazotakiwa kusimamiwa na Afisa au bosi wa TRA muislamu Kwa nafasi yeyote

Au kuwa bosi chombo chochote ambacho Mapato yake hutokana na Riba au ku bet kama ambavyo Abbas Tarimba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la bahati nasibu la taifa
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Katiba inasemaje mkuu naomba utupe hicho kifungu tukakisome
 
Naamini wewe si chadema.

Pitia hizi guide ujifunze nafasi ya mavazi ya ktk jeshi ktk kuihamisha uhuru wa kuabudu.

https://assets.publishing.service.gov.uk/media/5a789754e5274a277e68dead/guide_religion_belief.pdf


Ukiwa hivi kwa Google

What religions does the military recognize?
Siasa Kali nenda Afghanistan ukajifunze wanawake na wasichana wa Kiislamu ni ndani hakuna kuwemo ndani ya serikali Wala kusoma vyuo huko JKT anafuata Nini? Mfuge ndani Kisha mtafutie imamu wa msikiti au Mwalimu wa Madrasa amuoe
 
Chukua mwanao baki nae nyumban kwako

Mnataka kufanya hii nchi ya kiislamu mnataka kuleta ujinga wenu hadi jeshin??
Huo upumbavu wako jeshin hakuna

Utaratibu ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo chukua toto lako kalee kama yai
Mpuuz wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndugu kwanini tuwaondoe.

Wakati nchi hii ni yetu sote. Kama sheria haziko universal nani anastahili kufata sheria za imani nyingine
Kwanini malawi yenye waislam wachache wanaruhusu.

Ni kwamba waislam wa tz ni wachache zaidi au hawajui Sosholojia ktk taifa lao.

 
Sheikh, serikali haina dini. Ukitaka tufuate itifaki ya dini yenu, maana yake utataka na askari nao wavae kanzu, baibui, barakashia, hijab, au mavazi maalum kama ya wale Wataliban bila shaka.

Mambo mengine ni ya kuvumilia na kuyapuuza tu. Kwanza hivyo vibukta vyenyewe wanavitumia huko huko kwenye mafunzo yao. Au umewaona navyo mtaani? Halafu hata ukiwona, utawagundua kama ni mabinti wa imani yako? Mbona ndugu zetu hamna jambo dogo!!!
Jifunze hapa nini haki ya waumini wa imani zote ktk kutekeleza sheria ya uhuru wa kuabudu. Kuwalazimisha watu wa imani kwa kufata upagani is unconstitutional
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.



Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.


Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.
Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Mwafrika kumtawala na kumfanya mtumwa ndani ya Ardhi yake huhitaji Bunduki au kumpa Cocaine au Bangi.
DINI ni SILAHA Hatari zaidi ya NYUKLIA kwa sasa, Dini zimeleta mauaji ya kutisha, Dini zimeleta Utengano, Dini zimeleta udumavu wa kufikiri, Dini Dini Dini
 
Uko contaminated kwa kiasi kikubwa.

Jifunze kwanza hapa

Kenya Raisi Ruto kateua Mkuu wa jeshi la Anga mwanamke muislamu Wakenya waneongea sana kuwa vyeo vya jeshi vinatolewa Kwa jinsia tu

Mbona hakuna wanajeshi wanawake wa Kenya kwenda kupambana na Alshabab kuanzia jeshi la Anga au la ardhini?

Mama Samia naye Kwa kukurupuka tu aliongea kitu siku ya muungano kuwa huko mbele 2030 Tanzania yaweza kuwa na Mkuu wa jeshi mwanamke kisa kaona mwanamke kikosi Cha gwaride Cha bendera

Jeshi Sio gwaride ni vita yeye gwaride tu mwanamke ananyanyua kamguu anasema ooh mwaka 2030 aweza kuwepo Mkuu wa Majeshi mwanamke anajielewa kweli kwenye Hilo?
 
Kuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
Imani ipo na tunayo, ila kuna maeneo, tusiweke sana mambo imani mbele ingawa tunatakiwa kumuomba Mungu kwa kila jambo.
.
 
Back
Top Bottom