Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
- Thread starter
- #101
Mifano yetu haizingatii nchi za kiislam.Hao waliovaa kidini nguo za jeshi ni askari wa dini nchi za kiislamu
Nchi za kiislamu Mwanamke haendi vitani ni askari tu wa mitaani wa kusimamia sharia za dini ya kiislamu kusimamia uvaaji hijabu mitaani
Bali nchi zinazojipambanua ni za kidemokrasia