Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Hao waliovaa kidini nguo za jeshi ni askari wa dini nchi za kiislamu

Nchi za kiislamu Mwanamke haendi vitani ni askari tu wa mitaani wa kusimamia sharia za dini ya kiislamu kusimamia uvaaji hijabu mitaani
Mifano yetu haizingatii nchi za kiislam.

Bali nchi zinazojipambanua ni za kidemokrasia
 
Umewahi kujiuliza kwanini ukiwa Mzalendo jeshini unavaa Track na ukiwa kuruti unavaa pitshort?

Acha kupelekwa pelekwa na midini dini utachelewa. Acha jeshi lijiendeshe kama linavojiendesha.

Waislam mnajikutaga imani mnazijua sana.
Sio suala la kujua.

Ni suala la kufata sheria, katiba, na haki za binadamu
 
Mbona tumevaa saana pitishot mkuu..Imani yako Kama ipo ipo tu... Kubeba dunia,kula tano, yote ni maisha tu maana baada ya hapo Kuna maisha mengine..wewe ndo umejua Leo kwakua mwanao kachaguliwa jeshi🤭😆🤭😆
 
Mbona tumevaa saana pitishot mkuu..Imani yako Kama ipo ipo tu... Kubeba dunia,kula tano, yote ni maisha tu maana baada ya hapo Kuna maisha mengine..wewe ndo umejua Leo kwakua mwanao kachaguliwa jeshi🤭😆🤭😆
Tufate katiba si hisia
 
Wanaweza kuvaa track mabwanga zisizoshika miili yao
Uliwahi pita JKT?
Uliwahi fanya mafunzo ya kijeshi?
Uliwahi vuka/ruka vikwazo ktk mafunzo?

Nashauri; ACHENI JESHI LIWE JESHI NA KANUNI ZAKE ZIHESHIMIWE. ACHA KUINGIZA DINI KWENYE JESHI.

Kuna maaskari/makamanda/viongozi wa dini zote huko, lakini wanasimamia maadili ya kijeshi kama yanavyopasa kwa ajili ya faida ya TAIFA.
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Kinyume na Katiba sawa. Ebu tupe ni kifungu gani cha Katibai ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kinazungumzia uvaaji wa bukta JKT? Au umejichanganya ulikuwa unamzungumzia Katiba ya BAKWATA? Ahahahahaha!!!
 
L
Kuhenyeshwa sawa lakini vile vibukta kwa watoto wa kike si sawa...ningependa na viongozi wa dini waingilie hili kati. Kuna mijitu pale inataka tu kulisha macho yao....
ile ni jeshi msilete visheria venu vya dini. Toa Udini wenu. Kwani lazima watoto wenu waende? Kesho mtataka wafanye mafunzo na hijabu. Pelekekeni upuuzi wenu hukohuko. Utaki katanza mtoto wako kwenda basi
 
Maana ya itikadi ya Serikali isiyo na dini ni nini.

Kudhibiti baadhi ya dini?

Kama sheria za nchi zingekuwa zinaenda kinyume na ukatoliki je wakatoliki wangekubali?

Kwa taarifa yako, ni kwamba kuna sheria na taratibu nyingi za serikali ambazo ni kinyume cha mafunzo ya ukatoliki lakini wakatoliki hawapigi kelele kwa vile wanatambua mafunzo yanayosema kuwa "Ya Kaizari mpe Kaizari na ya Mungu mpe Mungu." Wanajua kutengansiha imani zao binafsi na mambo ya serikali.
 
Jeshi ndio msingi wa chama !ccm =chama Cham mapinduzi!

Huwezi Fanya mapinduzi mama sio mwanajeshi!na mapinduzi Ili yafanikiwe lazima kuwe na mbinu mbadala za kumrubuni anaepinduliwa hasta kutumia body language no sehem ya hayo mambo!!

Mwili wa mwanajeshi haumilikiwi na yeye mwanajeshi wala jamii fulani Bali jeshi lenyewe TU!!

Wanaandaliwa hivyo kuwa miili Yao ni kwaajili ya jeshi sio kwa ajili ya dini Wala taaasisi nyingine yeyote!

Nadhani!
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume. Nazungumzia viBUKTA kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta. Kwa jina la serikali isiyo na dini. Kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya watz imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna sheria za jkt zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya chama cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa Jkt imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani jkt ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini ktk mafunzo ya jkt wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (jkt) hawaoni wanausigina katiba inayotoa uhuru wa kuabudu. Na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi nchini tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusia kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo.

Je hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?.

Kunawataka watz waelewe hili. Kwa uhuru wa kuabudu nilik misingi ya haki za binadamu.
Taratibu na kanuni za jeshi hazina dini, rangi wala kabila. Nidhamu ya jeshi ni tofauti kabisa na uraiani. Vivyo hivyo fikra. Waliopita jeshini wanalijua hilo.
Wacha vijana watembee kwa mwendo wa kunyakua wapate ukakamavu kimwili na kifikra.
 
Unapenda ligi kila mtu mawazo yake yaheshimiwe

Hawajakataa kwenda jeshini na hakuna sehemu wanesema wanakimbia na abaya

Wanaweza kuvaa track mabwanga zisizoshika miili yao
Pale jeshin ni nidhamu kwenda mbele. Jeshi Lina kanuni zake za kimafunzo. Aliwezi kibadilisha kwasababu ya dini. Sababu pale hawafati kufundisha dini. Kwahiyo Kama uwezi kufata kanuni na taratibu za jeshi tuliza toto lako kwenu.
 
K
Taratibu na kanuni za jeshi hazina dini, rangi wala kabila. Nidhamu ya jeshi ni tofauti kabisa na uraiani. Vivyo hivyo fikra. Waliopita jeshini wanalijua hilo.
Wacha vijana watembee kwa mwendo wa kunyakua wapate ukakamavu kimwili na kifikra.
Kabisa mkuu. Waambieni hawawezi kupenyeza Udini jeshini
 
Kuna waislamu Tanzania hawajielewi utasikia tunashukuru tuna Raisi na wabunge kibao wanachosahau Pesa zao za mishahara na posho Pesa hutoka vyanzo haramu mfano hupitisha bajeti ya wizara ya fedha ambayo moja ya vyanzo vikubwa vya serikali ni Kodi ya pombe na Waziri husoma wazi bila kificho na Raisi Muislamu husaini kuidhinisha na hijabu yake kuwa hiyo bajeti ruksa kupita na Kodi za pombe zake humo ndani

Akimaliza kusaini anawahi msikitini swala tano
Hao ni jamii ya kiislam iko contaminated.

Hata hivyo tunaungana na chadema kupitia sera ya majimbo yenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe.

Mjadala kama huu tungekuwa ktk utawala wa majimbo ungepokelewa kwa mikono miwili kwa majimbo ya ukanda wa mwambao.

Ukimsikiliza lissu hadi ktk mkutano wake wa jana anakwenda vizuri na sera hii na tunamuunga mkono. Kuwa ardhi ya ngorongoro ni ya wamasai. Ardhi ya dar ni ya wazaramo. Wao ndio wenye mamlaka ya kuamua uishi kwa value zipi. Kwa kuwa ktk mfumo wa demokrasia ktk utawala wa majimbo wengi hufunga sheria.
 
Bila picha we muongo, mkuu mimi muislam ila kwa kule wakivaa suruali au s
Skirt watafanyaje mazoezi au kazi za kijeshi
Waukize wamarekani, malawi, south Africa, uk wanafanyaje.

Unaweza kugoogle mwongozo, type maneno haya.
GUIDE ON RELIGION AND BELIEF
IN THE
ARMED FORCES
 

Attachments

  • Screenshot_20220114-215050.jpg
    Screenshot_20220114-215050.jpg
    288.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom