Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Aisee🙌🏾

20141018_MAP004_0.jpg
 
Yes. Ndio maana nimesema kuna umuhimu wa wazazi kuwapima mabinti zao kabla ya kuwaruhusu kwenda kuharibiwa na maafande mabazazi na mavuta bange yanayowaka tamaa za kufanya ngono zembe na mabinti za watu ili wawaambukize UKIMWI na maradhi mengine ya hatari kama vile homa ya ini na gono.

Hivi ni kwanini mama Samia akiwa mwanamke anawaacha watoto wa kike waende kuharibiwa huko JKT? Ni kwa sababu yeye watoto wake hawaendi JKT au kuna sababu nyingine?

Ndugu wanaharakati na watetezi wa haki za mtoto wa kike tunaomba mtoke mafichoni mje hadharani kutetea watoto wa kike wanaoharibiwa kwenye makambi haramu ya JKT kwa kisingizio cha uzalendo.

Mungu atawahukumu kwa kukaa kwenu kimya. Mna maana gani hasa kukalia kimya janga hili? Au mmehongwa na serikali kuwaacha mabinti wa wakulima waharibiwe? Amkeni jamani.
Kwenda JKT Sio lazima ni hiari ya mtoto asipoenda hafanyiwi chochote muwambie watoto wenu wa kike wasiende full stop

Acheni kuleta taharuki za kibwege


Hivi Waislamu mna shida Gani Kila akishika uraisi Muislamu mna tabia ya kuanzisha chokochoko
 
Katiba inaongelea uhuru wa kuabudu huko mtu anaabudu haiongelei uhuru wa kuvaa uniform iwe ya jeshi,ofisi au popote

Uhuru wa uniform ya kuvaa hauko kwenye katiba
 
Yes. Ndio maana nimesema kuna umuhimu wa wazazi kuwapima mabinti zao kabla ya kuwaruhusu kwenda kuharibiwa na maafande mabazazi na mavuta bange yanayowaka tamaa za kufanya ngono zembe na mabinti za watu ili wawaambukize UKIMWI na maradhi mengine ya hatari kama vile homa ya ini na gono.

Hivi ni kwanini mama Samia akiwa mwanamke anawaacha watoto wa kike waende kuharibiwa huko JKT? Ni kwa sababu yeye watoto wake hawaendi JKT au kuna sababu nyingine?

Ndugu wanaharakati na watetezi wa haki za mtoto wa kike tunaomba mtoke mafichoni mje hadharani kutetea watoto wa kike wanaoharibiwa kwenye makambi haramu ya JKT kwa kisingizio cha uzalendo.

Mungu atawahukumu kwa kukaa kwenu kimya. Mna maana gani hasa kukalia kimya janga hili? Au mmehongwa na serikali kuwaacha mabinti wa wakulima waharibiwe? Amkeni jamani.
Wakati mwingine unaongea vitu vya maana
Kwanza suala la kwenda JKT ni kwa nchi masikini kama hii ni kulitia taifa hasara tu
Hakuna cha maana chochote wanachojifunza, wakitoka huko umasikini uko pale pale, labda kwa wale wanaotaka kujiunga na ajira za majeshi.
Ushauri ni kwamba kwa kijana na mdada anaejielewa ni kwamba kwenda JKT ni kupoteza muda wako na sio lazima.
 
Hivi wabongo akilizenu zimejaa tope na kamasi
Kama wanacheza mpira na hijabu, watashindwa vipi kufanya mazoezi ya kipuuzi kama ya jkt

View attachment 3003035
Hivi hata Kwa akili Yako ya kawaida tu hapo Kuna hijabu? Hako kasurauali la kubana kanakoonyesha vitako vyake vilivyokondeana itasema hijabu hiyo

Viguu na vipaja vyake vyewe vyemba kama miwa ya sukari mtibwa nani amtamani huyo ? Kajistri Nini hapo?
 
Nina uhakika hao mabinti hawaoni shida yeyote kuvaa vibukta ili wafanye mazoezi yao, na Nina uhakika Wana choice ya kuvaa surual kufanya mazoezi, hawa tukiwasikiliza wataanza kutandika wanawake mtaani Kwa kisingizio hawajavaa staha, naishi na waislam wengi sana lakini hawana haya mambo, huyu mleta atakuwa radical tuu
 
Shekhe,
Ayatollah Khomeini, kiongozi wa nchi ambayo ni jamhuri ya kidini ameshindwa hayo mambo ya kulazimisha uvaaji wa hijab kwa kugomewa na wafuasi wa dini yake hiyo, wewe utaweza?!
Tena nusura apinduliwe

Sasa hivi askari wa dini wote wasimamia uvaaji hijabu wote wameindolewa mitaani

Sasa hivi wanawake wanatembea wakiwa wamevaa watakavyo wengine wanavaa hovyo makusudi kumchokoza Ayatollah kuwa tudhibiti uone moto Umenusurika kupinduliwa tuguse Tena uone Ayatollah kaufyata kwenye swala la kulazimisha hijabu
 
Tena nusura apinduliwe

Sasa hivi askari wa dini wote wasimamia uvaaji hijabu wote wameindolewa mitaani

Sasa hivi wanawake wanatembea wakiwa wamevaa watakavyo wengine wanavaa hovyo makusudi kumchokoza Ayatollah kuwa tudhibiti uone moto Umenusurika kupinduliwa tuguse Tena uone Ayatollah kaufyata kwenye swala la kulazimisha hijabu
Mnaleta ujinga mwingi wakati hio sio imani yako, na kwani hapa tuko Iran, mpaka unaleta mifano mfu
Kwani hakuna wanawake wa kiislamu wasiovaa hijab, Shangazi Karume sio mwislamu? kuna mtu kamlazimisha avae hijab
Kwa wasiotaka na wasivae na wanaotaka waheshimiwe maamuzi yao
 
Kazakhstan nchi ya majority muslims imepiga uvaaji wa hijab Kwa watoto wa shule, hii hijab inaonekana sio lazima sana kwenye Imani ya uislam lakini watu chokochoko kama aliyeleta uzi wanaitumia tuu kusumbua Jamii, hata France walipiga marufuku huu ujinga wa kulazimisha hijab, vipi ukivaa msalaba Saudi Arabia watakuachia hawa watu??
 
Wakati mwingine unaongea vitu vya maana
Kwanza suala la kwenda JKT ni kwa nchi masikini kama hii ni kulitia taifa hasara tu
Hakuna cha maana chochote wanachojifunza, wakitoka huko umasikini uko pale pale, labda kwa wale wanaotaka kujiunga na ajira za majeshi.
Ushauri ni kwamba kwa kijana na mdada anaejielewa ni kwamba kwenda JKT ni kupoteza muda wako na sio lazima.
Mkuu kwenda JKT sasa hivi ni lazima. Huwezi kwenda Chuo Kikuu ikiwa hukupita JKT. Serikali hii imerogwa. Wanalazimisha kuharibu future za watoto wa wakulima kwa sababu watoto wao hawaendi JKT.

Huwezi kumkuta mtoto wa MamaSamia2025 au Dkt. Gwajima D akienda kwenye mateso ya JKT. Nchi hii ina mambo ya ovyo sana. Wanalazimisha mabinti wa watu waende kuharibiwa JKT ili iweje? Hawa watu wana roho mbaya zaidi ya nyoka. Ni zaidi ya wachawi.
 
Nyie watu huwa wasumbufu sana..mnataka na wamang'ati na Wamasai nao watake binti zao waende na yale mashuka yao n.k??
Kwa hiyo wewe ukiona hizi bukta wanazovaa hao mabinti wadogo akili yako inavurugwa kabisa.....kichwa cha chini kinaamka??
 
Mnaleta ujinga mwingi wakati hio sio imani yako, na kwani hapa tuko Iran, mpaka unaleta mifano mfu
Kwani hakuna wanawake wa kiislamu wasiovaa hijab, Shangazi Karume sio mwislamu? kuna mtu kamlazimisha avae hijab
Kwa wasiotaka na wasivae na wanaotaka waheshimiwe maamuzi yao
Katiba haiongelei uniform

Hilo liingie kwenye kichwa chako

Uniform ni maamuzi ya sehemu husika

Katiba imetoa tu uhuru wa kuabudu huko Ruksa ukiabudu vaa mahijabu hata pea mia au vaa suti nk

Swala la uniform Sio swala la kikatiba

Hakuna mgogoro wa kikatiba hapo .
Uniform huamriwa Kwa mazingira ya kazi nk

Hayaamuliwi Kwa misingi ya kidini.Ndio maana hata askari akienda nyumba za Ibada haiendi na uniform huenda na nguo ya ibada ya dini yake kanzu ,baraghashia na hijabu nk Ruksa sababu aenda kuabudu

Watengeneza katiba waliliona Hilo miaka hiyo Kabla wewe kuzaliwa kuwa kuwe na uhuru wa kuabudu Sio uniform
 
Hizo dini ni Kipaumbele cha mwisho kabisa katika Maslahi ya Taifa. Hameni nchi kama mnaweza. Sio hivyo tu, Wanafundishwa matusi pia, na wanaimba wakifurahia.

Ulokole, Uislamu, au Ukatoliki wenu pembeni Kwanza, JESHI NA TARATIBU ZAKE MBELE. MSITUPANDE KICHWANI.

Wanawake waislamu Jeshini wamejaa tele, na misikiti jeshini IPO, lakini kamwe haina nafasi cha kupangia Jeshi nini cha kufanyanya.
 
Mkuu kwenda JKT sasa hivi ni lazima. Huwezi kwenda Chuo Kikuu ikiwa hukupita JKT. Serikali hii imerogwa. Wanalazimisha kuharibu future za watoto wa wakulima kwa sababu watoto wao hawaendi JKT.
Uwongo Tena wa Hali ya juu ndivyo mnavyodanganyana misikitini wajinga nyie

Kawaulize wanavyuo mbona kibao tu hawajapitia JKT na wanasoma

JKT Haina uwezo kwanza wa kuchukua wanafunzi wote wanaomaliza form six na hakuna chuo kinachodahili wanafunzi kuwa ili kuimgia chuo kikuu lazima uwe umepitia JKT

Acheni kudanganyana huko misikitini wajinga nyie

Weka website hata ya chuo kimoja ambacho joining instructions zao zinasema uwe umepitia JKT

Waislamu mna tabia mbaya mnataka kumharibia Raisi Muislamu mwenzenu Mama Samia Kwa kitu ambacho hakipo .Hivi mkoje ninyi .Yaani unaongopa mchana kweupe Tena ukiwa kibla msikitini
 
Back
Top Bottom