Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

Upuuzi umeuongea hao watot wenu kutwaaa kuva vinguo vya ajabu kufanya mambo ya ajabu, fungua JkT yako uweke utakavyo
 
Mtaani kwangu wapo mabinti wengi wa kiisilamu wamevaa suruali na bukta, pia kwenye mazoezi wanavaa bukta.
Tatizo lako ni kujifanya unaielewa sana dini kwa kutuwekea picha za waarabu wakati hizo hijabu za wanafunzi zimeanza hivi karibuni na si wote wansovaa kwa hiyari zao.
Jeshini hakuna kuvaa hijabu wala madela.
moyo haujakubali kuwa vazi (uniform) yenye vigezo vya kuitwa hijab ni haki kwa mabinti wa kiislam jeshini au ktk kambi za jeshi.

Ndio maana hata link nilizokuwekea unasema ni wanajeshi nchi za kiarabu.

Ukweli wanajeshi hao ni wa uk, marekani na malawi.

Nakuwekea tena link moja uone uhuru huu wa kuabudu marekani


View: https://youtu.be/LFVeJK2ZdkQ?si=EH4qAnZOdW_YILxY
 
Ungekuwa uislam uko kama unavyojaribu kuupaka mafuta hapa, basi mambo yangekuwa tofauti sana huko Sudan 🇸🇩,, Syria 🇸🇾, Iraq 🇮🇶 na nchi nyingine nyingi za kiislam zenye machafuko.

Hebu nieleweshe. Kuna nchi gn wa kiislam wanapigana wenyewe kwa wenyewe.

Libya unajua ilivamiwa na wamarekani.

Iraq hujui ilivamiwa na wamarekani

Sirya hujui ndege za Marekani na Israel ndizo zinazofanya nchi isilalike.

Palestine hujui inapigwa na Israeli inayokalia kimabavu kwa msaada wa marekani.

Tatizo mko contaminated thru disimformation
 
Wanawake wa bar wanafanyaje?
Mambo ya bar ni yapi?
Inaonekana ungepata fursa ungeweza hata kulipua bar wewe jinsi ulivyo na chuki nazo.
Munesema wenyewe kuwa jeshi letu liendeshwe kama bar. Wasichana wajiuze, au wafanye wake wa makamanda.

Mumekufa kiimani
 
Upuuzi umeuongea hao watot wenu kutwaaa kuva vinguo vya ajabu kufanya mambo ya ajabu, fungua JkT yako uweke utakavyo
Mpuuzi wewe mwenyewe. Wewe hata ungekuwa mkristo unaweza kumruhusu binti yake aende kufanyiwa vitendo viovu na maafande wavuta bangi wa JKT wamuambukize UKIMWI?

Usitetee ujinga mkuu. Subiri kwanza uoe na upate mtoto wa kike aende huko kwenye makambi ya ngono akaambukixwe maradhi arudi nyumbani uhangaike naye kwenye matibabu. Uchungu wa mwana aujua mzazi. Usicheze na maisha ya watoto wa watu.
 
Hata bangi ni ibada kwa marasta, hembu watetee na wao wapewe haki yao ya kuvuta jani.
Natetea imani yangu kwanza. Kwani ina uwezo wa kufanya maamuzi kubadili matokeo hata ya uchaguzi. Tuko wengi na muhimu vyama vya siasa viwe sikivu. Kulitokea chama chchte cha siasa kikatuelewa tutakiunga mkono. Kisipotokea turaanzisha chama kipya. Na suluhisho hapa ni serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Tutaunfana kama watz ktk sarafu tu. Hatutogombania Chungu. Ninyi watu wa tukuyu kutakuwa na kambi zenu sawa na utamaduni wenu. Na Sisi huku tutaiandaa kambi za wanawake pekee na za wanaume.

Ndio utamaduni wetu. Hatuchanganywi kama dagaa
 
Katiba mambo ya dini ni mambo binafsi Sio ya Serikali Sio kazi ya Serikali kusimamia watu wavae nguo za kidini Hilo lieweke Vizuri Kwa Kila kiongozi wa Serikali taasisi ya Serikali , mahakama au bunge sehemu yenye uniform

Uniform maana yake wote mnakuwa uniform Kila kitu
Kwanini wanafunzi wanavaa hijab. Na kwanini serikali imetoa waraka walimu wasiwabague wala kuwazuia wanafunzi waislam kutokwenda msikiti ijumaa.

Kwanini jimbo la znz haiwavishi wasichana bukta ktk kambi zao za jeshi.

Kwanini jimbo la znz linapiga marufuku wananchi kula hadharani ktk.mwezi wa ramadhani.


Je unadhani kuna haja kwa tz kuwa na utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe kama lilivyo jimbo la znz. Na walipoona wasichana wa bara wanatemvezwa uchi wakaamua kuanzisha jku kwao.?
 
Wenyewe wanafikiri hiyo ni dini, kumbe ni utamaduni na desturi za kiarabu. Ndiyo maana kuanzia majina, mavazi, lugha, vyakula vyote ni tamaduni za waarabu. Lakini waislam ukiwaambia hili wanaona unakufuru.

😂
Usichezee imani za watu hata kama ni zimetoka mataifa mengine.

Kama serikali ina wajibu wa kulinda na sio kudhibiti, kubagua.

Kwa kuelewa hili serikali ya Marekani, uk imeweka utaratibu wa kuwalinda minority hao.

Tz waislam ni ktk jamii majority watendaji wa serikali wanawabagua ingawa katiba inawalinda. Inawabagua kwa kujua au kutokujua.

Lkn ni suala la muda tu haki hii yapatikana. Kwani waislam wakisema hatutoshiriki lupita kura tu kwasababu ya mada hii au wakisema hatutoxhagua ccm kwa kauli moja, asubui utasikia tamko la ruhusa. Kwa wanaona mbali ni suala la muda tu.

Kwa kumalizia sisi waislam tunawashangaa mengi juu ya imani yenu. Lkn imani ni imani tunaheshimu kile unachokiamini. Kwa mfano taasisi ya ndoa kwenu imekufa. Kwasasa badala ya kuowana mbabariki ndoa. Ndio maana mada kama hii mnatushangaa. Kwenu hamuoni shida dada zenu, mabinti zenu kuanza kupimana.

Turudishe taifa hili lipate baraka za Mungu
 
Na wasabato wasifanye shughuli yeyote jumamosi wakiwa huko kambini?

Wanafunzi wa kisabato hugoma kufanya mitihani jumamosi wakiwa vyuoni ila sijawahi kuwasikia wakigomea mazoezi huko JKT...

Kwamba wenzenu ni wajinga?

Umeshsjiuliza kwanini Padre akifanya kosa anaweza kukamatwa na Petro?

Vivyo hivyo shekh au Imam akikosea anaweza kamatwa na Abdul?

Ni kwasababu jeshini kuna Mungu ila hakuna DINI.
 
Kwanini wanafunzi wanavaa hijab. Na kwanini serikali imetoa waraka walimu wasiwabague
Afadhali umejileta mwenyewe kwenye hilo Kuna kipindi tulipsaa Raisi mjinga sana anaitwa Ali Hassan Mwinyi mdini hatari wakati huo zikitokea vurugu Dio miskitinini tu

Waislamu wa Siasa Kali walipata nguvu ajabu wakitaka kupora misikiti ya Bakwata iwe Yao kama Mwembechai nk kuvunja bucha za nguruwe na kumtandika hata vibao yeye akiwa Raisi akiwa kwenye hafla ya Waislamu Diamond Jubilee alilambwa makofi na Waislamu siasa Kali akiwa Raisi pekee aliyewahi kupigwa hadharani Toka Tanzania ipate uhuru Tena na islamu mwenzie kwenye hafla ya kiislamu

Akaweka waziri wake mwislamu mjinga sana mdini mwenzie kuwa waziri wa Elimu mpumbavu mkubwa anaitwa Proffessior Juma Kapuya badala ya kuimarisha Elimu iwe Bora shule za Serikali akajigeuza Ayatollah mpaginia dini wizara ya Elimu akipigania watoto wa kiislamu shule za Serikali wavae hijabu.Na akiwa kiongozi wa Serikali akatoa waraka kuwa walimu wakuu wa shule za Serikali wahakikishe watoto wa kike wa kiislamu wawe wanavaa hijabu alivyo mjinga.Waraka upo kama ushahidi wa kuonyesha upumbavu wake.Yaani akitaka walimu wakuu wawe kama maimamu wa dini yake mashuleni kusimamia hiyo dini yake

Lile lilikuwa kosa kikatiba ila sababu na raisi alikuwa mjinga mwenzie likapita ila walimu wakuu Hadi kesho hakuna aliyetii kusimamia

Hilo kosa haliji jirudia Tena
 
Usichezee imani za watu hata kama ni zimetoka mataifa mengine.

Kama serikali ina wajibu wa kulinda na sio kudhibiti, kubagua.

Kwa kuelewa hili serikali ya Marekani, uk imeweka utaratibu wa kuwalinda minority hao.

Tz waislam ni ktk jamii majority watendaji wa serikali wanawabagua ingawa katiba inawalinda. Inawabagua kwa kujua au kutokujua.

Lkn ni suala la muda tu haki hii yapatikana. Kwani waislam wakisema hatutoshiriki lupita kura tu kwasababu ya mada hii au wakisema hatutoxhagua ccm kwa kauli moja, asubui utasikia tamko la ruhusa. Kwa wanaona mbali ni suala la muda tu.

Kwa kumalizia sisi waislam tunawashangaa mengi juu ya imani yenu. Lkn imani ni imani tunaheshimu kile unachokiamini. Kwa mfano taasisi ya ndoa kwenu imekufa. Kwasasa badala ya kuowana mbabariki ndoa. Ndio maana mada kama hii mnatushangaa. Kwenu hamuoni shida dada zenu, mabinti zenu kuanza kupimana.

Turudishe taifa hili lipate baraka za Mungu

Hapo ndipo ninapoisikitikia Afrika. Kuzoa zoa desturi za wengine kwa madai kwamba ni imani. Matokeo yake tunakosa muelekeo na kuwepo kuwepo tu katika sayari hii dunia.
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

Nchi yetu haina dini.
 
Hebu nieleweshe. Kuna nchi gn wa kiislam wanapigana wenyewe kwa wenyewe.

Libya unajua ilivamiwa na wamarekani.

Iraq hujui ilivamiwa na wamarekani

Sirya hujui ndege za Marekani na Israel ndizo zinazofanya nchi isilalike.

Palestine hujui inapigwa na Israeli inayokalia kimabavu kwa msaada wa marekani.

Tatizo mko contaminated thru disimformation

Kwa hiyo yale yanayoendelea Sudan 🇸🇩 baada ya kumtoa Muhamad El Bashir ni mashindano ya bonanza? Somalia 🇸🇴 je, Syria 🇸🇾
 
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.

Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike mavazi ya watoto wa kiume, nazungumzia vibukta kwa lazima.

Katiba ambayo ndio sheria mama inamlinda kila raia na imani yake kwa kutoa haki na uhuru wa kuabudu.

Kuvaa mavazi yenye stara kwa wanawake/mabinti wa kiislam ni sehemu ya ibada (kuabudu) inaolindwa na katiba.

Ndio maana wanafunzi mashuleni walipewa uhuru huo miaka ya 80 na serikali hii hii baada ya waislam kusimama umara na kutetea haki hii.

Huko JKT watoto wetu wa kiislam watavalishwa vibukta kwa jina la serikali isiyo na dini, kwa jina la uzalendo kwanza.

Kumekuwa na dhana kuwa tendo hili inafanywa kwa kwa kuwa itikadi ya nchi haina dini. Basi tunachojiuliza dhana hii kwa kuwa serikali haina dini ina maana ya kuwadhibiti wananchi wenye dini au kuwalinda?

Kudhibiti kwa kuwavua baadhi ya Watanzania imani za dini zao badala ya kuzilinda.

Ukweli katiba ya nchi ndio sheria kuu na hivyo kama kuna Sheria za JKT zinazowataka wasichana kuvaa vibukta.

Ieleweke ya kuwa sheria na amri hiyo ni batili. Kwa kuwa inakwenda kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya uhuru wa kuabudu.

Hoja ya uzalendo au serikali isiyo na dini naamini ni ya tafsiri ya tabaka la sasa la watendaji chini ya Chama Cha Mapinduzi tulioamua kuwaamini na kuwachagua watekeleze matakwa yetu. Kinyume chake wameamua kutafsiri dhana hizi kwa matakwa na imani tulizonazo ambazo haziathiri imani binafsi.

Kwa miaka mingi sasa JKT imeamua kuminya wenye dini wasipractice uhuru wao wa kuabudu unalindwa na katiba.

Kwani JKT ni moja ya taasisi hizo ni zetu sisi umma.

Tunaitaja jamii, vyama vya siasa, kijamii na taasisi za dini kupaza sauti na kuwatetea mabinti hawa ambao hawana wa kuwasemea.

Kama ambavyo vijana wa kike waliruhusiwa kuvaa nguo zenye stara mashuleni kwanini katika mafunzo ya JKT wasiwe na uhuru huo.

Ni katiba, ni serikali au sheria za chuo inayolazimisha mabinti wanaohitaji mafunzo na wanaohitaji stara kuvuliwa stara zao?

Iwapo ni masharti ya serikali (JKT) hawaoni wanaisigina Katiba inayotoa uhuru wa kuabudu na kwamba kuvaa uniform maalum vitakazolinda stara zao ni haki ya kimsingi kama ambavyo nchi tena zenye waislam walio wachache wanavyoruhusiwa kutekeleza ibada hii ya mavazi kwa kuweka dressing code kwa wanaotaka kuvaa hivyo, je, hii ni dhana ya serikali au ni tafsiri za watendaji wa serikali wanavyotafsiri wao sawa na imani zao?

Kuwavua mavazi ya stara mabinti zetu ni sehemu ya Uzalendo?

Kunawataka Watanzania waelewe hili, uhuru wa kuabudu ni misingi ya haki za binadamu.

Kwanini watz tuko wa ajabu sana linapokuja suala la kuvumiliana values zetu. Kila kundi linalounda watanzania. Kwanini tulazimushwe kufata imani na values za kipagani.

Kwani Ujamaa ni imani.

imani ya Ujamaa ni upagani.

Kama dini dini ni imani
Na kama Ujamaa ni imani
Then Ujamaa ni dini.

Hivyo kusema serikali haina dini ni uongo uliotengenezwa, disinformation and unconstitutuion.

Dini ni falsafa na Ujamaa ni falsafa.

Kwanini serikali iwe na imani ambayo iwe ni lazima kwa wenye imani nyingine kuifata.

Mataifa ya kidemokrasia yanayojipambanua kusimamia haki za binadamu na uhuru wa kuabudu wameweka

GUIDE ON RELIGION AND BELIEF IN THE ARMED FORCES.

Unaweza kugoogle hii title na tuelimike

Hizo kaptula ni za heshima sana kwani zina mikanda kwenye mapaja. Hivi wanawake waislamu wanaocheza mpira wa miguu na netball wanavaa hijabu!!!???
 
Hebu nieleweshe. Kuna nchi gn wa kiislam wanapigana wenyewe kwa wenyewe.

Libya unajua ilivamiwa na wamarekani.

Iraq hujui ilivamiwa na wamarekani

Sirya hujui ndege za Marekani na Israel ndizo zinazofanya nchi isilalike.

Palestine hujui inapigwa na Israeli inayokalia kimabavu kwa msaada wa marekani.

Tatizo mko contaminated thru disimformation
Somalia Waislamu watupu wanapigana wenyewe Kwa wenyewe

Sudan Waislamu watupu wanapigana wenyewe Kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom