Sawa-sawa Mkuu!
Unaweza kutusaidia picha za wayahudi asilia hapa nasi tuweze kuziona.
Shukran!!
Ndugu wakati mwingine unatakiwa kujiuliza hivi inawezekana Katikati ya Bara la Africa kukawezekana kuwa na taifa la wazungu tupu kama ilivyo Poland au Ukraine?
Au katikati ya Ulaya kukawa na taifa la watu weusi tii kama Sudan ya kusini? inawezekana ?
Unapozungumzia Africa watu wote wanajua jamii ya kiafrica inakuwaje
Jamii za sehemu au bara moja zinatofautiana kwa
1Sura
2Maumbo ya mwili
3Tamaduni
So ni ngumu sana kwa jamii au bara moja wakatofautiana Rangi za ngozi au rangi za macho au nywele
So ukiangalia middle East jamii ya Pale wote wanafanana kama ilivyo jamii nyingine za sehemu kama Africa, Ulaya au Asia Pacific
lakini cha kushangaza katikati ya middle East kuwe na jamii nyingine ambayo ni tofauti na jamii nyingine za Middle East hakuna watu wa middle East wenye nywele za blonde au blue eyes wenye vitu hvyo yani blue eyes na blonde hair ni wazungu tu tena wazungu pure ambao wengi wanatoka Germany, Austria, Russia, Poland, Ukraine, Sweden na Denmark
Si kuzaliwa au kuwa bara la Ulaya au kuwa mweupe na nywele za singa na ww ukawa ni Mzungu wazungu wenyewe wanasema Spanish ,Turkey, Italy, Greece si wazungu pure ni mixed race ni kama vile leo sisi tunavyowaona makaburu wa kusini mwa Africa au wahindi au waarabu si waafrca pure lakini wenyewe wanajiona ni waafrca na wana Passport za nchi za Africa lakini hakuna Mzungu pure mwenye nywele nyeusi huyo ni mixed race
Edger Sr Daby