Abdallah M. Nassor
JF-Expert Member
- Mar 20, 2008
- 600
- 620
hawajakuzidi. Ww ni mrembo zaidi yao
Mbona wakawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wakawaida
uko mrembo kuliko wote duniani. Mwaaah😛😛😛😛😛 tusifieni na mabinti wa ktz basi,hta mie mzuri
Sio yule malaika mtoa roho mzee!!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Israel Ehhhh???[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tehehehe hhahahaha mkuu umenichekesha kweli AHSANTE KUBWAAAAAA, khaaa huku kusifiwa nmekushtukia mkuu unanisifia huku unasema lol mbaya kama Dr Remmyuko mrembo kuliko wote duniani. Mwaaah
Angalia vizuri basinishambulieni lakini sijaona mzuri hapo...
Mh sasa nikikutokea tu tayari unaanza kunitangazia shida ooh nimechoka kuishi buguruni naomba beb nitafutie nyumba masaki, ooh beb nataka kutembelea V8 hii r 4 mashogazangu wananicheka.Hahahahahaha tutake radhi mkuu , ulijuaje kama cc matapeli kama na ww sio tapeli???
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ogopa hiyo makitu hiyo, anakunyonga ingali muziki wa injili unapigwaWamachame ni noma aisee
Unauhakika ndio hao?Hao ni mabinti sayuni kwa msio jua biblia
nishambulieni lakini sijaona mzuri hapo...
Nadhani unajiseme bila kuwa na uhakika ! nilikuwa safarini Transit pale Switzerland nikamuona Mzee wa kiyahudi amevaa koti lake refu na vikofi vyao vile na vinywele vinaning'inia kilichonifurahisha ni kumuona mkewe amevaa nguo yake yenye mikono mirefu na nguo ndefu mpaka chini na juu ana kitambaa kisichomuonesha nywele zake! Tembea uone halafu ufanye research yako ndio uje hapa !Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.
Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.
Tehehehe hhahahaha mkuu umenichekesha kweli AHSANTE KUBWAAAAAA, khaaa huku kusifiwa nmekushtukia mkuu unanisifia huku unasema lol mbaya kama Dr Remmy
Ndugu wakati mwingine unatakiwa kujiuliza hivi inawezekana Katikati ya Bara la Africa kukawezekana kuwa na taifa la wazungu tupu kama ilivyo Poland au Ukraine?Sawa-sawa Mkuu!
Unaweza kutusaidia picha za wayahudi asilia hapa nasi tuweze kuziona.
Shukran!!