Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

c6da1b210f7033595a10efca99d8b9ea.jpg
7d405151c8695746d6bd03b26dda3ced.jpg
bf16901b190ae4615670a5343e2496b3.jpg
54c8efe4351b5a08fdcbc88332a59b2b.jpg
b71f2739ff5901b8102967c3c560e9f8.jpg
9dd6c9530758a56c65b15564ac5e2ba5.jpg
77322226c590790083d7e176204fa814.jpg



Israel Ehhhh???[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sio yule malaika mtoa roho mzee!!!!
 
Hahahahahaha tutake radhi mkuu , ulijuaje kama cc matapeli kama na ww sio tapeli???
Mh sasa nikikutokea tu tayari unaanza kunitangazia shida ooh nimechoka kuishi buguruni naomba beb nitafutie nyumba masaki, ooh beb nataka kutembelea V8 hii r 4 mashogazangu wananicheka.
Sa ndo mapenzi gani hayo?!! Kama sio utapeli kumbe nini sasa.
 
Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.

Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.
Nadhani unajiseme bila kuwa na uhakika ! nilikuwa safarini Transit pale Switzerland nikamuona Mzee wa kiyahudi amevaa koti lake refu na vikofi vyao vile na vinywele vinaning'inia kilichonifurahisha ni kumuona mkewe amevaa nguo yake yenye mikono mirefu na nguo ndefu mpaka chini na juu ana kitambaa kisichomuonesha nywele zake! Tembea uone halafu ufanye research yako ndio uje hapa !
 
Tehehehe hhahahaha mkuu umenichekesha kweli AHSANTE KUBWAAAAAA, khaaa huku kusifiwa nmekushtukia mkuu unanisifia huku unasema lol mbaya kama Dr Remmy

Sifa zimetoka ndani tena chini ya sakafu ya moyo wangu mie nisie na bahati. Kwa hakika naona aibu tu kuingia PM, kiukweli ila hao dada zake Yuda Iskariot hawakufikii hata robo.
 
uzuri gani unaozungumzia maana hapo sijaona
 
Sawa-sawa Mkuu!

Unaweza kutusaidia picha za wayahudi asilia hapa nasi tuweze kuziona.
Shukran!!
Ndugu wakati mwingine unatakiwa kujiuliza hivi inawezekana Katikati ya Bara la Africa kukawezekana kuwa na taifa la wazungu tupu kama ilivyo Poland au Ukraine?

Au katikati ya Ulaya kukawa na taifa la watu weusi tii kama Sudan ya kusini? inawezekana ?

Unapozungumzia Africa watu wote wanajua jamii ya kiafrica inakuwaje
Jamii za sehemu au bara moja zinatofautiana kwa
1Sura
2Maumbo ya mwili
3Tamaduni
So ni ngumu sana kwa jamii au bara moja wakatofautiana Rangi za ngozi au rangi za macho au nywele

So ukiangalia middle East jamii ya Pale wote wanafanana kama ilivyo jamii nyingine za sehemu kama Africa, Ulaya au Asia Pacific
lakini cha kushangaza katikati ya middle East kuwe na jamii nyingine ambayo ni tofauti na jamii nyingine za Middle East hakuna watu wa middle East wenye nywele za blonde au blue eyes wenye vitu hvyo yani blue eyes na blonde hair ni wazungu tu tena wazungu pure ambao wengi wanatoka Germany, Austria, Russia, Poland, Ukraine, Sweden na Denmark

Si kuzaliwa au kuwa bara la Ulaya au kuwa mweupe na nywele za singa na ww ukawa ni Mzungu wazungu wenyewe wanasema Spanish ,Turkey, Italy, Greece si wazungu pure ni mixed race ni kama vile leo sisi tunavyowaona makaburu wa kusini mwa Africa au wahindi au waarabu si waafrca pure lakini wenyewe wanajiona ni waafrca na wana Passport za nchi za Africa lakini hakuna Mzungu pure mwenye nywele nyeusi huyo ni mixed race
Edger Sr Daby
 
Back
Top Bottom