Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Huo kimsingi ni utoto tu na kuji β€œkukuz” kuna limoja nilikutana nalo humu humu jeiefu nikasema hiiiiiii!~ in hayatiz voice

Tabia hizo hizo za kujikweza unaweza dhania ni mtu wa maana kumbe jau tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ !!! Mambo ya kishamba hayo kama unazo zitakutangaza wala huna haja ya maigizo na upambe!
 
Akili nusuπŸ˜‚πŸ˜‚ ila acha mkome maana tulio real mnatuonaga washamba na mnatutapeligi sana,

Wanajiweka hivyo ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kupiga mizinga mikubwa mikubwa
Hahahahah na mademu wa hivyo ndio ma Mogul wa kudanga! Kuna mtu humu namuonaga ana Taizi hizo ila namchuniaga tu 😸😸😸 but what i know atakuwa hewa tu ila mtu wa mipango kweri kweri!!!
 
2017 au 2018 nilikutana na kamoja kwenye Viunga vya jiji la Makonda enzi hizo nikaauliza most of your time unakua wapi kakasema kanasoma Nursing UDSM nikaambia na Mimi ninasoma Medical Doctor chuo cha DUCE, cha ajabu kakafurahia sana hilo.
Mbwa kala mbwa
 
Umeanza kututangaza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nomaaa
 
Hahahahah na mademu wa hivyo ndio ma Mogul wa kudanga! Kuna mtu humu namuonaga ana Taizi hizo ila namchuniaga tu 😸😸😸 but what i know atakuwa hewa tu ila mtu wa mipango kweri kweri!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Inaitwa jichanganye uliwe mbwembwe nyiiingi kumbe hola,,

isije kuwa Ni mimi hebu nije chemba uniambie vizuri
 
Yaan mkuu walitaka kukuiba gari bila shaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana kidogo nimtag ila nikajisemea hataupita akiuona lazima atie neno tu na kweli imekuwa
Hawezi kukosekana we, na atatambaa nao huu hadi kurasa zikatike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi unajua mtoa mada huwa mnafanana miandiko kiaina sema wewe umezidi ubaharia, itakuwa mna undugu hebu tafutaneni mnaweza kuwa marafiki wazuri,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…