Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Wengine wanakuwa wapo vizuri kweli ila hawana discipline ya pesa.

Mimi kuna kabinti nilisoma nako chuo. Kalikuwa kapo very smart, ila ndio kana wenge la bata na chuo hakaonekani hadi nyakati za mitihani au presentation. Unaweza kuongea nae muda huu yupo hapo chuo. Mtafute baade, ameshashika njia yupo njiani kuelekea Arusha,mara Dar, mara mwanza, yaani kama route utadhani sijui kitu gani.

Siku moja nakumbuka kalikula kwenye bata zake, kamevurugwa hakajui kasolve vipi huo msala. Akanijia na offer kuwa ataachia chumba chake (kizuri sana amepanga off campus) kina tv ndogo ya 32 inches, hometheatre ya lg, , kitanda na godoro, dressing table, kabati ya nguo, na kapeti zile za manyoya na kimeshalipiwa mwaka mzima....... Mtu ampe 2.5 milioni baadae akashusha hadi 2 milion.

Alikuwa desperate sana na pesa ile siku. Me nikamwambia, hebu tulia tulipe kwanza ada halafu mengine yatafuata. So makubaliano yakawa atanipa ufunguo wa chumba mimi nitashika, akatoa nguo zake tu na viatu vitu vingine vyote akaacha akahamia hostel za chuo na mwenzake maana alikuwa anahitaji kusoma kujiandaa na UE.

Nikaazima pesa kwa mshikaji baada ya kumpa hiyo settlement deal maana binti alitakiwa kulipa 1.1 milioni ya ada alipewa na mshua wake aliitafuna hakulipa hata mia ukiachia zile hela ndogo ndogo za usajili za awali.

So nikachukua kwa mwana na zangu nikamix tukamlipia nikampa payslip. Basi.....

Khaaaaaaaaaaah Ue inaisha bi badada amenyuti wala hanitafuti, namtafuta likizo kumkumbusha kuwa me natakiwa kusepa Dar tuje kuweka mambo sawa, ananiambia yupo Nairobi.

Ananiambia just nenda tu Dar ukirudi likizo tutaonana. Basi nikasepa. Kurudi likizo kama kawaida yake hana time ya kuonekana chuo. Huku na kule nakuja sikia amechukua nyumba sehemu nyingine na ameshanunua vitu vipya.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikasema hapa hamna mtu....

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15] aiseee.. mbona wanitisha sasa. Mbona si jambo la kawaida hili. Mbona kama unaokumbana nao wanafanana hizi mambo despite wewe giving ur all? I think kuna shida mahali aisee... na wewe hukuogopa haya mazingira unayomwona nayo na hizo trips zakw zote? How could u risk all that?

Deni ulijalisort vipi?
Ila sometimes we women tunapelekeaga wanaume kuwa this bad aisee... mimi tuu nimepata hasiraaa hv. Wewe ilikuaje[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Baadhi ya wanawake humpokea mtu jinsi anavyo kuja, mpaka hapoo? Ukijifanya matawi utageuzwa ATM mpaka hapoo? Ukijifanya mpole atakuona bado mshamba atakuingiza mjini mpaka hapoo na ukiwa muerevu atakuona uko mjanja kama mjanja wake Lucifer, na kwa Lucifer mwanamke huwa hawapinduki ni kama chatu na jibwa upoo?
But unajua kitu mbaya ni kupretend namna sivyo ndivyo. Mimi sina hiyo haiba. Nipo real but very private..... Katika jambo sipendi ni mtu kuingia deep katika maisha yangu bila kufuata ishara au taa za usalama barabarani.

Nikiwa comfortable na wewe utanijua kiundani ukiniingia vibaya sitakupa access ya taarifa.

Kuhusu kujishow off sinaga hiyo tabia maana mwisho wa siku inagharimu. Unasema upo vizuri una kipato cha milioni kumi kwa mwezi, why watu wasikufuate na shida in box kukuomba laki tano au milioni, ukichomoa umechafuka, ukikubali unaumia wewe....

Me nipo real.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaboa hata kumshirikisha dili za maendeleo huwezi coz maisha yake 90% ni fake. Anakwambia saivi nimepata appartment nzuri kumbe anaishi single room tu.

Kama wapo humu jamani tuambieni lengo lenu hasa huwa nini.??
Na kweli wafunguke tuu,uzur wa hii platform unafunguka hamna ataekujua so na ss tunakuwa tumeelewa,nna visa vingi hata kuhadithia naona uvivu man
 
Kwanza hawana nguvu za kike. Ukipiga mechi usiku mmoja kesho haendi hata kazini.Wamekuwa wavivu kitandani hata utafutaji. Uongo mwingi.

Enzi hizo unapiga game usiku kucha asubuhi mwanamke anaenda kukata kuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa. Mwanamke ana ujauzito kumi alfajiri ameamka.

Siku hizi ujauzito ni kama ugonjwa mahututi.... Wanavyojivuta.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi
Ma slay queens[emoji28][emoji28]
Ngoja nisimulie kisa kimoja kuna dada nilikutana nae vowet kulikuwa na maonyesho ya bidhaa na Mimi nilipeleka bidhaa zangu yeye tulijuana alikuwa ni jirani kwangu kwenye meza yake picha linaanza ameweka bidhaa sio zake ni brand name ya mtu mwingine ambae mimi namjua akanidanganya ni bidhaa yake mwenyewe nikaguna ila nikapotezea,tuka exchange number tukawa close alinizoea haraka sana akajua ninapo ishi nika mu introduce kwa circle yangu tena marafiki zangu wa maana kabisa,sad alikuja kutuvurugaa duh mpaka leo tumesambaratika
Aliwakopa hela alikuwa muongo ana project nyingiii za kufikirika
Mpaka leo sijui hata alikuwa anaishi wapi najua sinza madukani ila mtaa upi sijui nilikuwa naonana nae kituoni
Alikuwa na baba wawili kwa mtoto mmoja yani maisha yake mvurugiko mpaka huruma sijui alikuwa anapata nini kwa uongo uongo
So mleta mada nakuelewa
Nadhani huwa ni namna ya kuvutia watu waonekane ni high profile people kumbe hamna kitu
Wanaume wanao penda mtelezo ukijichanganya kwa wadada kama hawa you’re finished
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana address ya makazi kudadadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vinapenda kuishi maisha ya maigizo sana....

Kuna kimoja niliishi nacho, tabu tupu kila chakula nnachoamua tule analalamika, " eeh jamani ugali na samaki, eeh jamani viazi, eeeh jamani mihogo, kuna siku nikavurugika nikamuuliza hivi kwenu familia mnakulaga pizza, chips kuku?? Kikajibu hamna nakula tu kwasababu ndio vilivyopo.... nikakaambia good, na kwangu unakula kilichopo ukipata kwako utakula unachopenda.

Kakikaa story ni sijui nimeenda mall gani, sijui mlimani city bla bla wakati mi nakajua kabisa ni katoto ka mkulima... Ovyo sana.
Hahahahaha si ukichape makofi huko ndani aisee,kuna madogo fulani wa kiume nilikuwa naishi nao maskan ndg wa mshikaji wangu mmoja hivi,kuna mmoja alikuwa na tabia kike full mpaka siku nikamwambia ndg yake,dogo alikuwa na vikorombwezo vyote vya kujichubua,ila nashukuru na mm nilikuwa natumia nafasi yangu kumkemea kama alikuwa anamaindi atajua mwenyewe ila kwa ss naona yupo fresh hana zile tabia tena
 
Kwamba wewe unanifundisha vile natakiwa kubehave mbele ya mwanaume wa kiafrika anaenitongoza[emoji23][emoji23][emoji23] nalijua hilo kabla hujabalehe we dogo

Mazuri yao labda uyaandike leo sijawahi kuona popote humu jf kwa ID yako hii labda uwe na nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona unataka nifunguliwe uzi wa chuki binafsi..... Me sinakitu personal na wanawake by the way wanawake ni majembe yangu sana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bro.. thank you soo much for making my evening. Nimechekaa. Unawapata wapi hao watu? Umekutana nao wapi haswa?
Pole sana aisee... hata na kulala na mtu wa hivyo nayo yataka ujasiri. Hukuogopa? Hoping ulitumia protection...

Nilichojifunzaa ninkwamfano maybe basi huyu dada ni mdangaji alitakiwa hata kuonyesha efforts za kuwa a good girl hata kuamka na kuweka mazingira mapema asubuhi maybe hata ungemfikiria. Kitendo cha kuwa mvivu na kutofanya lolote na kuagiz vitu ndo lililokukera zaidi. Unamwaminije hata kumuacha mwenyewe ndani kwako.? Dont bwana. Nyumbani kwako ni pahali patakatifu sana. Wengine wana mikosi. Palinde sana. Bora mkamalizane mahotelini huko..

Ila kuwa halisia sisi imekua tatizo sana. Sijui tunaamini tukijiweka matawi sana ndo tutathaminika kwenye jamii hata sijui. Hivi ni huu utandawazi unatuharibu hv ama
Tena hiyo ni back in a day. Ni mtihani sana kuwa karibu na mtu wa hivyo kazi kukuagiza vitu..... Halafu hana hata ile huruma ya huyu mtu simjui, financially sijui anabudget mambo yake vipi au ana kipato gani yeye anafanya kama kukukomoa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee hili swala tuliangalie in a positive way sawa ? na kama in a positive way kwa namba moja au nyingine inabid tujenge na sio kubomoa na ili tujenge me ntaanza kukulaumu wewe mkuu, why associate yourself na watu wa design hiyo hiyo tu ? itakuja kukucost mkuu, you seem like a good person with a good heart, why are all these stupid girls all over you ? kwanini usiwakatae ? mbona wanawake wenye mipango mizuri trustworthy na loyal wako wengi sana ? Mkuu jitoe kwene zone ya fake girls, yan tena kama hujaoa there is a posibilty mkeo akawa kwene circle hiyo hiyo which means baadae itakuja kukukost, utaoa mwanamke zombie, hiyo circle ikatilie mbali mkuu kama unawakaza wakaze then wakatae, watakucost pakubwa siku moja utakuja kushangaa sababu labda sio wewe tu wanakufanyia michongo kama hiyo mpo wengi na watakuja kuwavuruga mshangae...I hope you will learn something out of this writing...
Hahahahaja kuna jamaa hapo juu kasema ndege wafananao?!,kwanin yy tuu ila teseme mabinti wenye tabia za hivyo wapo baadhi hata ww unaweza kukutana nae,umdhaniaye kumbe sio man
 
Mimi mimekuelewa sana Mkuu, na kweli sikuhizi hao wapo wengi sana na hata Washkaji pia wapo wenye tabia hiyo

Mimi Mara nyingi wananiambia unajua nalima ekari 10 za tikiti maji au sijui zao gani

Yaani wengi shughuli wanazofanya ni kilimo au kuagiza mzigo China kumbe hakuna kitu, sound tu.

Yaani hao wanakuambia hivyo ili kama ni kibomu wakupige kibomu kikubwa haswa.
 
Hiyo nayo ni changamoto kiukweli.
Majanga yalikuwa hivi..... Hiyo taa hapo ilinitoka tshs 90,000/=.

Sasa nani anataka hasara za kipuuzi. Machale yakikucheza usiwe mwepesi kukubali.

Mara nyingine mwenye gari huwa anamuamini mwenye gari sababu wote wanajua uchungu wa kulinda mali.
Screenshot_20210417-211647.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom