Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Mabinti wa kisasa hebu acheni uongo usio na maana

Kuna rafiki yangu aliambiwa mwakaa huu tuu kalima mpungu hekari za kutosha nikamwambia Jamaa kijana utasubiri huo mpunga mpka ukatakuwa Wali hutouona maishani mwako watoto wako watazeeka hawatauona huo mpungu
 
Ila si ndo mnavyopenda jamani?

Jamii imatufanya tuwe waongo. Mmeshaweka this standard kwamba mwanamke anatakiwa kuwa hivyo na mkikutana nao wanawapanga kweli ili mvutiwe.
Labda hawa wanaume marioo wanaotegemea mwanamke awape chochote. Mwanaume anaejitambua kwake mwanamke ni mtu tegemezi, rafiki, mshirika, mpenzi, mwaminifu, mshauri, partner in crime, na mama watoto.
 
Dah hii ni kweli kabisa mi mwenyewe nina scenarios nyingi za vi binti vinajiona vijanja ni ulimbukeni unavisumbuaga sijui, njaa kali ila maneno sasa
Sasa ulimbukeni huwa unagharimu sana watu...
 
Kweli JPM aliwatia adabu watanzania, kipindi cha JK wengi wadada walikuwa wanategemea waume za watu wenye pesa, wengi walikuwa nyumba ndogo , mzee baba alivyoingia michongo na wizi wote kwishinei, wadada wakawa Kama kuku waliofunguliwa kwenye Banda lao, nyumba ndogo zote zikaisha. Mambo ya uongo uongo yakaanza hili kusogeza maisha.
Bora lakini walipata akili ya maisha kidogo tofauti na kipindi hicho wanakuja stuka imeshakuwa toolate....
 
Back
Top Bottom