Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

Huyu hata akitokea mtu akamuambia muda huu njoo tuishi wote anaenda.
binti kama huyo uwa wanajilengesha ili apate mimba atoke kwao aje kwako sasa ukizingua ndio unaambiwa wanaume tuna nyanyasa watoto wa watu kumbe mwamba hukuwa na mpango ila dem shida zake anataka na wewe uhusike..
 
Inasikitisha kwa kweliii.
 
Sio kwa usawa huu, ilikua zamani wallah.
 
Sasa ajitongozeshe ihiiiii...hao wazee vipi!
 
Mmoja anafanya kazi ila still home wanaona kama "BADO HAITOSHI".... Yani mama mtu ana kitu moyoni anatamani akiseme lakini ndo ivo hawezi kukisema directly..
🤣🤣🤣Walijua mtoto wao atakuwa mkurugenzi nini akaishia kuwa mkata tiketi wa mwendo kasi!
 
Huo ndio umasikini wa fikra sasa.
Huyo ndege kabla ya kumfukuza kinda wake anahakikisha amemfundisha kila kitu kujitafutia, kujilinda na kujenga kiota pia kila kitu anafundishwa kwanza ndio anafukuzwa

Sasa turudi huku kwetu wewe umepelekwa shule kusoma ualimu au kozi yyte ile then kwa situation ya sasa ilivyo huna connection wala elimu ya mtaa then unafukuzwa tu.

Mentor wa wakwanza ni wazazi au walezi wako ukiona umefail ujue wao kuna sehemu wamefail juu yako pia..
Na hili lipo wazi kabisa!
 

Kibongobongo wazazi wanajua wakishakupeleka shule na kukulipia ndio washakumentor hivyo, baada ya kukua ukiwa kwenu mkuu! Na wewe ukienda shule ukadesa ukarudi home na makarai yako ujue huna tena chumba! Washachukua wadogo zako. Tukiacha unafiki mzazi gani anamentor mwanae mkuu? Mzazi anajua mtoto akitoka kwake anaenda kujitafutia maarifa ya maisha yake na harudi tena, so ukirudi wanakuona mzigo tu, ndio fact hata tukiwa nyuma ya keyboard tukajitoa ufahamu!
 
Hii ni pande zote hata kwa vijana wakiume inawatokea
hasa wanapomaliza vyuo na kushindwa kupata kazi kwa haraka wananyanyapaliwa,kuchekwa na ndugu zao na kudhihakiwa pia
Sisemi kama inafaa ila mdomaana baadhi ya vijan wakishapata kazi au mishe nzuri huwa wanawapotezea baadhi ya ndugu zao
 
Ni kweli
Mambo hubadilika ghafla
 
Acha tu! Mi nishaambiwa nina laana ndio maana sifanikiwi kila nikifanyacho ...maneno haya niliambiwa na mama yangu mzazi niliporudisha mpira kwa kipa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ngoja upate hela utaona mkuu. Huyo huyo aliyesema,kila mwezi atakuwa anakuja kwako kupumzika(ili aondoke na chochote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…