Mabinti wengi wa umri wa miaka 30-35 ambao hawajaolewa bado hadi sasa wanapambana zaidi kupata watoto, kulikoni?

S
Sasa huyo alieoa ana majukumu lazma iende hm ila huyu alienda kubet mkeka ukitiki je..
 
Gentleman Tlaatlaah sijajua unatoa wapi guts za kusema 30-35 ni binti Ebu twende kibaolojia na kihesabu
Binti wa miaka mwanadada wa 1995 mwaka huu katimiza miaka 30 it means 2010 alikuwa na miaka 15 Sasa kama balehe ya wasichana ni 12-14 kuanzia 15 years kizazi kinakua kishakomaa,
πŸ‘‰Sasa ashumu 2010 angekua amezaa it means binti yake wa kwanza angekua na Miaka 15 tu assume Huyu binti naye kazaa mwaka huu January, it means Huyu mama yake ataitwa bibi

Same applies kwa 35 woman 2005 alikuwa na miaka 15 kama angezaa mwaka 2005 binti sahivi angekua na miaka 20 Sasa binti wa miaka 20 anazaa watoto ata watatu simultaneously

Hitimisho 30-35 watoe kwenye kundi la Mabinti, hawa ni mashangazi na Grand mother's to beπŸ˜…
 
Ukichanika hana hasara,ila family unalisha mke na unagongewa ya nn sasa.
Kuhudumia familia yako ni Jukumu letu Wanaume, hilo la kugongewa ni matokeo tu ambayo huweza kumtokea yeyote
 
saa zingine bana,
huwa wanawake wanajipaga pressure wao kwa wao kwenye kupeana ubuyu huko kwenye masaluni au vikoba,

unakuta kabinti kalikoolewa kakiwa na miaka 20 au 22 na kana watoto wawili au watatu hivi sasa, halafu kanapiga stori na hao wenye umri wa miaka 30-35 kwamba akifikisha miaka 32 hangependelea kuzaa tena akiwa mzee wa miaka35, kanasema mimba za uzeeni zinasumbua sana,

wakati anasema hayo, huyu mwenye miaka 30-35 hata kushika ujauzito ni tabu na wala hana mtoto hata moja, stori hizo ndiyo humchanganya na kumpa stress zaidi πŸ’
 
Upo sahihi kabisa kaka.
 
Hisia za kuoa na kuolewa ki asili ya kihisia ya binadamu, inakuwa nje ya uwezo wa mtu.
 
Nini hasa huchochea hali hii ambayo pia wengi wao hufanikiwa kupata ujauzito kwa tabu sana, lakini wengine huhangaika kila mahali na kuambulia patupu, na hatimae hujikatia tamaa kabisa?πŸ’

naskia huruma sana.

Mungu Ibariki Tanzania
Unamuonea huruma mtu aliyecheza na maisha yake mwenyewe tena kwa kujitakia?
 
Sababu wanaona kabisa kitu kinaelekea kuota kutu maana sasa wameshatembea kilometres nyingi bilabila
Wengi wao walikitombesha sana ujanani mwao na kutoa mimba hovyo, wanazeeka ndipo wanakumbuka shuka ya kujifunikia uzeeni.
 
Wakati walio kwenye ndoa umri huo wanachezea ndoa kwa kuwavuruga waume zao
 
Kivipi maana hakuna ajuaye kesho yake kila mtu anataka mtu sahihi
Unakuta mwanamke / msichana yuko bize anakula maisha yake ya ujana bila kujali ushauri wa watu wanaomjali, atombana hovyo na kutoa mimba kiholela kisha anakuja kuharibu kizazi chake. Uzeeni anasuswa na wanaume wale wale aliokuwa anawakataa kipindi yupo sokoni, mwishowe anachanganikiwa na kuanza kuvaa vitu vya hajabu ili aonekane relevant kumbe ndiyo dalili ya kuchanganikiwa uzeeni baada ya kuona hakuna mwanamme amtakaye tena kwani kishakuwa used vya kutosha. Sasa unamuoneaje huruma mwanamke kama huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…