Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
 
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Hapo kuna mambo 2.....hakuna msukumo wa wazazi hasa kaya masikini na mikoa yetu Pwani anziaTanga hadi Mtwqra wazazi wanataka wawaozeshe....faster....sababu huwa nyingii.......pressure wanaume kudanganya kuwaoaaa
 
Hapo kuna mambo 2.....hakuna msukumo wa wazazi hasa kaya masikini na mikoa yetu Pwani anziaTanga hadi Mtwqra wazazi wanataka wawaozeshe....faster....sababu huwa nyingii.......pressure wanaume kudanganya kuwaoaaa
Hizo pia ni sababu za mabinti kuacha shule mapema, ila hili la mapepo limekuwa tatizo sugu.
 
Sijui mtazamo wako na imani yako katika hili,Ila omba isiwe nyumbani kwako, Hao matajiri hukutwa pia tena sana sie masikini tunajulikana haraka sababu ya ile hali ya kutafuta msaada mwisho tunaonekana hatupendi shule,Tuna singizia mapepo.
SIKU LIKIWA KWAKO UTAELEWA
 
Sijui mtazamo wako na imani yako katika hili,Ila omba isiwe nyumbani kwako, Hao matajiri hukutwa pia tena sana sie masikini tunajulikana haraka sababu ya ile hali ya kutafuta msaada mwisho tunaonekana hatupendi shule,Tuna singizia mapepo.
SIKU LIKIWA KWAKO UTAELEWA
Hata watoto wa matajiri wapo ambao hawapendi shule, wanaweza kuigiza mapepo ili wasiende shule.
 
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Ulishawahi kusikia genius anaanguka na mapepo? Hao janjajanja wanawaza ngono wanàtaka kwenda kufànya uzinzi tuu.
 
Back
Top Bottom