Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Kuna katoto hapa mtaani jirani kenyewe kakienda shule tu lazima kazimie eti mapepo ila kakirudishwa tu nyumbani unakaona kanazurura mtaani na bodaboda wamekapakia.

Nikasema laity angekuwa mwanangu mbona historia ingeandikwa Tanzania
 
Ukweli mchunguuuu.....anziaTqnga malizia Ntwarq
1731648308806.jpg

Takbir
 
Hivi hayo mambo ya mapepo bado yapo šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€

Kuna jamaa yangu mmoja alikua ni mwenyekiti wa kikundi cha dini pia ni headboy, shule ya sekondari (x) jirani kabisa na anapoishi mwandosya , walienda joint mass vitoto vya kike wacha vianze kudondondoka nk, waliporudi shule headmaster mmoja wa kuitwa matujo alitembeza stiki kuanzia huyo mwenyekiti wao ile hali haikurudia tena
 
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Acha tupandishe mapepo maaana ata tukisoma hamna ajira tunaishia tu kuuza mihogo
 
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Niliwahi seme hili.hakunaga hayo mapepo.ni uvivu tu
 
Kuna katoto hapa mtaani jirani kenyewe kakienda shule tu lazima kazimie eti mapepo ila kakirudishwa tu nyumbani unakaona kanazurura mtaani na bodaboda wamekapakia.

Nikasema laity angekuwa mwanangu mbona historia ingeandikwa Tanzania
Hako kanahitaji fimbo za kutosha
 
Back
Top Bottom