Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tupandishe mapepo maaana ata tukisoma hamna ajira tunaishia tu kuuza mihogoNimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.
Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.
Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Niliwahi seme hili.hakunaga hayo mapepo.ni uvivu tuNimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.
Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.
Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Mkuu uko sawaHii inawezekana nakwaasilimia kubwa ni watoto wamaskini
Hako kanahitaji fimbo za kutoshaKuna katoto hapa mtaani jirani kenyewe kakienda shule tu lazima kazimie eti mapepo ila kakirudishwa tu nyumbani unakaona kanazurura mtaani na bodaboda wamekapakia.
Nikasema laity angekuwa mwanangu mbona historia ingeandikwa Tanzania
Sasa wakiacha shule ndyo hawa tunawaona mitaani wanaishia kuwa single mothersAcha tupandishe mapepo maaana ata tukisoma hamna ajira tunaishia tu kuuza mihogo
Sijui kuna siri gani kati ya mapepo na watu wa pwaniNi kweli hasa mabinti wa Pwani
Uvivu na kuendekeza imani za kishirikinaNiliwahi seme hili.hakunaga hayo mapepo.ni uvivu tu
Wanakapeleka boarding ila hakamalizi week wanapigiwa simu kanazimiaHako kanahitaji fimbo za kutosha
Hapo wazazi wajiongeze tu, hakataki shule hakoWanakapeleka boarding ila hakamalizi week wanapigiwa simu kanazimia
Kila kitu kinatokana na uamuzi wa mtu either kupandisha mapepo au kuwa single motherSasa wakiacha shule ndyo hawa tunawaona mitaani wanaishia kuwa single mothers
Nadhani kuna muhuni anakazuzuq sana maana hakataki shule kabisa halafu mtaani hazimii ila shule aaahHapo wazazi wajiongeze tu, hakataki shule hako
Sasa wakiacha shule na kubaki mtaani nini kinafuata kama sio kubeba mimba?Kila kitu kinatokana na uamuzi wa mtu either kupandisha mapepo au kuwa single mother
Wazazi wake nao wanasemaje? Au wanaamini ni mapepo kweli?Nadhani kuna muhuni anakazuzuq sana maana hakataki shule kabisa halafu mtaani hazimii ila shule aaah