Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Chizi anafurahisha akiwa sio ndugu yako.
Mapepo yapo na kuna watu yanawasumbua.
Nimesoma na watu wenye hali hizo miaka ya nyuma ikifika wiki ya mitihani anaanguka kabisa.
Akipelekwa hospitali haumwi anarudi sawa kesho tena anarudi shule anazimia.
Kuna ambao ni mapepo na mengine wanasingizia.
Kwa wale wenye mapepo suluhu yao ni kuwaombea na mapepo yanatolewa kabisa anarudi kuwa mzima wa afya.
 
Niliwah soma shule moja ya wasichana IPO mwanga daah sikuelewa ule ugonjwa mpaka Leo yaan unakuta wanafunz wanalegea kuanzia kiunon had miguun hawajiwez kutembea Wala kutambaa na ikitokea sio mmoja utashangaa Kila darasa wanapatwa na Hali iyo
 
Chizi anafurahisha akiwa sio ndugu yako.
Mapepo yapo na kuna watu yanawasumbua.
Nimesoma na watu wenye hali hizo miaka ya nyuma ikifika wiki ya mitihani anaanguka kabisa.
Akipelekwa hospitali haumwi anarudi sawa kesho tena anarudi shule anazimia.
Kuna ambao ni mapepo na mengine wanasingizia.
Kwa wale wenye mapepo suluhu yao ni kuwaombea na mapepo yanatolewa kabisa anarudi kuwa mzima wa afya.
Mapepo yapo lakini kwanini wanafunzi ndyo wahanga wakubwa wa hayo? Kwanini waumwe wakiwa shuleni tu?
 
Kuna mmoja alikuja kwangu kama house maid eti hakufanya mtihani wa form four kwa sababu mapepo yalikua hayataki...eti akisoma anasinzia au anaumwa kichwa...nikashangaa sana
 
Kuna mmoja alikuja kwangu kama house maid eti hakufanya mtihani wa form four kwa sababu mapepo yalikua hayataki...eti akisoma anasinzia au anaumwa kichwa...nikashangaa sana
Huyo pepo lake lilikuwa na ugomvi na vitabu
 
Sera yangu ni Moja tu mnawafundisha wanawake Ili iweje? Hao wanaojifanya kuwa na maoepo wanajitambua wanakataa majukumu yasiyokuwa Yao ya kutafta pesa, Sahihi kabisa japo wengi hamtaelewa, mwisho wa kusoma mwanamke ni darasa la Saba baada ya hapo Mume anawahi siti mapema kabisa.
 
Sera yangu ni Moja tu mnawafundisha wanawake Ili iweje? Hao wanaojifanya kuwa na maoepo wanajitambua wanakataa majukumu yasiyokuwa Yao ya kutafta pesa, Sahihi kabisa japo wengi hamtaelewa, mwisho wa kusoma mwanamke ni darasa la Saba baada ya hapo Mume anawahi siti mapema kabisa.
Wazee wa zamani waliona mbali sana, unasimesha kwa gharama mwisho anaolewa na vyeti anafungia kabatini
 
Ni kweli wanandamwa na mapepo ambayo wanayatengeneza wenyewe.

Maana unakuta MTU yupo form two haujui what is Civics hapo lazima Mapepo yapande kichwani.
Na and mimba au mnyororo wa 'wafadhili'
 
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Kuna ndugu yangu aliacha form two, kila akienda shule anapandisha mapepo anakimbia kimbia tu, akakaa kitaa wakamtia mimba kazaa, hajawahi kupandisha mapepo tena tangu hapo... 🙌🙌
 
Kuna ndugu yangu aliacha form two, kila akienda shule anapandisha mapepo anakimbia kimbia tu, akakaa kitaa wakamtia mimba kazaa, hajawahi kupandisha mapepo tena tangu hapo... 🙌🙌
Kubeba mimba ndyo wanacho ambulia wakikataa shule
 
Subiri akue aanze kutafuta kazi, alagu aandamwe na pepo la ungekuwa na cheti ningekufanyia mpango wa kazi.
Kisingizio cha wabo go wakikua hauna vyeti flani
 
Back
Top Bottom