Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Alikuwa anaigiza tuKuna ndugu yangu aliacha form two, kila akienda shule anapandisha mapepo anakimbia kimbia tu, akakaa kitaa wakamtia mimba kazaa, hajawahi kupandisha mapepo tena tangu hapo... 🙌🙌