Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Mabinti wengi wanaacha shule kwa kisingizio cha kuandamwa na mapepo au mashetani

Hivi hayo mambo ya mapepo bado yapo 😀😀😀

Kuna jamaa yangu mmoja alikua ni mwenyekiti wa kikundi cha dini pia ni headboy, shule ya sekondari (x) jirani kabisa na anapoishi mwandosya , walienda joint mass vitoto vya kike wacha vianze kudondondoka nk, waliporudi shule headmaster mmoja wa kuitwa matujo alitembeza stiki kuanzia huyo mwenyekiti wao ile hali haikurudia tena
Sir Majuto hakupenda masikhara kabisa, sema tu akianza kuhutubia shule basi mtakaa assembly ground kama two hrs hivi siku za ijumaa.

kumbe ulisoma Lufilyo mkuu!
 
Hata mimi sijawahi kuona mkuu, Inaonyesha watoto wa kike wengi hawapendi shule.

Nafikiri ule umri wa balehe, zile tamaa za kimwili wanakua wanawaza waza kuolewa...

Labda 🤔🤔🤔
Ni kweli kwamba wengi wao hawapendi shule wanawaza kuolewa tu
 
Kuna kamoja kapo form 2 jana kamepandisha maruhani hata hakaeleweki wanataka wakapeleke Hospital hakataki kanataka kanunuliwe maji ya Zamzam sijui eti ndo katakaa sawa kumbe ndo pogo zao
 
Kuna kamoja kapo form 2 jana kamepandisha maruhani hata hakaeleweki wanataka wakapeleke Hospital hakataki kanataka kanunuliwe maji ya Zamzam sijui eti ndo katakaa sawa kumbe ndo pogo zao
Afadhali hako kanataka maji, wengine wanasemaga eti wanataka damu
 
  • Kicheko
Reactions: M45
Nimegundua mabinti wengi hawamalizi elimu ya sekondari, wakiona shule imekuwa ngumu wanaanza kujifanya wanapandisha mapepo, ajabu mapepo hayo hupanda siku za shule tu wala sio weekend.

Wazazi nao wanaamini kwamba watoto wao wana matatizo, watapeleka kwenye maombi lakini hawaponi, wanaamua heri waache shule wakae nyumbani, na hapo ndipo mapepo hayo hupotea na kutokomea kusiko julikana.

Wito wangu kwa wazazi ni kutokuendekeza watoto hasa wakifanya udanganyifu huu, wakipandisha hayo mapepo dawa ni fimbo tu mpaka akili ziwarudi.
Unahitaji kujifunza zaidi kuhusu maisha pia natilia shaka sana kuhusu umri wako na akili zako.
 
Unahitaji kujifunza zaidi kuhusu maisha pia natilia shaka sana kuhusu umri wako na akili zako.
Mkuu mashaka juu ya umri wangu yanakuja kivipi? Em niambie ni kipi napaswa kujifunza kuhusu maisha
 
Back
Top Bottom