Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

1. Tuende wapi sasa?
2. Unataka tukapange?
3. Mtoto wa kike kwenda kupanga ni balaa jingine hilo.
1. Tulieni nyumbani muwe na Heshima kwa wazazi, Walezi na Wakubwa wenu halafu mzingatie Ushauri wa bure mnaopewa mara kwa mara kutoka kwa waliowatangulia. Acheni na Epukeni ile tabia ya kujazana ujinga wa Rika lenu(Mashosti)e.g. binti anajigamba mbele ya wenzake "aah; Mm siwezi kuolewa na mtu kama yule mbona hana lolote, hajawahi kuninunulia hata ....hanitoi out.....n.k. .badala ya kuona mbali kwamba kwa hii fursa je, tunaweza kuyajenga kwa pamoja? Jiungeni katika vikundi vya Ujasiriamali, Vikoba au tafuteni mikopo halali muanzishe miradi midogo-midogo itakayo wakeep busy. Kama ni mtu wa Imani jiunge katika vikundi vilivyopo huko kwenye imani yako. Muwe na roho ya kupenda kujitoa kusaidia wengine e.g. kufundisha/kulea watoto au kuwatunza Wazee, n.k.. Acheni na Kataeni kwa nguvu zote kule kujiona kwamba kwa kuwa ww ni Ke ndo mtaji au ww ni wa kipekee sana. Acheni kupenda starehe na anasa kupita kiasi e.g. kwenda kulundikana baa/vilabuni au kujipitisha-pitisha maeneo huku mmevaa zile naniliu zenu.
2. Kama una kipato cha kukuwezesha, basi tumia kipato hicho kutoa support(wapige tafu) hapo unapoishi- hawatatamani uondoke.
3. Ni nini haswa kinachowasumbua/kera kiasi hata mdiriki kuwaza kwenda kupanga? au ni ile dhambi ya Adamu na Eva inawatafuna? 😳
 
"Mtu anaweza kimbilia kuolewa na yeyote,baadaye akaja kujuta".
Yes! Tena majuto makubwa sana. Ndo maana unakuta wengine ndoa zao hazidumu hata miaka 5 kutokana na yale Madhila, Kero na Mapungufu ambayo binti anayagundua baadaye ambayo mwanzoni yalifichika kwa huyo mumewe. Kumbuka wanaume wengi hujivika roho ya uungwana wakati wa kutongoza,kuchumbia lakini ikishakuwepo ndoa hapo wanaonesha makucha yao halisi. Wengine hufikia hatua ya kuwaua wake zao, kuwajeruhi n.k. achilia mbali kuchepuka kulikokithiri huku wakiwalazimisha wake zao wawe wavumilivu. Inasikitisha sana.
Inasikitisha sana.
Heri kubaki nyumbani kuliko kuolewa na yeyote tu, mwisho wa siku ni majuto.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa.

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa, mwanamke anaweza, mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya.

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa, tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe. Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa.

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao, ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli.

Mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume.
Fukuza binyi yako kwanza ili uonyeshe mfano,

Ila wakayi.mwingine juwa nawatafakari sana watu wa aina yako
 
Katika vitu ambavyo siwezi kuvifanya ni kufukuza mtoto wa kike, mwanangu wa kike ataondoka nyumbani pale atakapoolewa tu ata akifikisha miaka 40 hakuna kuondoka nyumbani.
Naomba niwe mwanao
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa.

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa, mwanamke anaweza, mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya.

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa, tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe. Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa.

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao, ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli.

Mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume.
Ndoa za sasa hazidumu pia kutokana na wazazi kudekeza mabinti zao, akiolewa utasikia "hujafukuzwa chumba chako kipo"!!! na kwa mume ataleta ujeuri kwa kuwa akirudi kwa wazazi wake anapokelewa, zamani ukiolewa ukirudi kwa mzazi wako unafukuzwa, sasa utoto na ujinga mwingi unaofanywa na wazazi kudekeza mabinti zao,
 
1. Tulieni nyumbani muwe na Heshima kwa wazazi, Walezi na Wakubwa wenu halafu mzingatie Ushauri wa bure mnaopewa mara kwa mara kutoka kwa waliowatangulia. Acheni na Epukeni ile tabia ya kujazana ujinga wa Rika lenu(Mashosti)e.g. binti anajigamba mbele ya wenzake "aah; Mm siwezi kuolewa na mtu kama yule mbona hana lolote, hajawahi kuninunulia hata ....hanitoi out.....n.k. .badala ya kuona mbali kwamba kwa hii fursa je, tunaweza kuyajenga kwa pamoja? Jiungeni katika vikundi vya Ujasiriamali, Vikoba au tafuteni mikopo halali muanzishe miradi midogo-midogo itakayo wakeep busy. Kama ni mtu wa Imani jiunge katika vikundi vilivyopo huko kwenye imani yako. Muwe na roho ya kupenda kujitoa kusaidia wengine e.g. kufundisha/kulea watoto au kuwatunza Wazee, n.k.. Acheni na Kataeni kwa nguvu zote kule kujiona kwamba kwa kuwa ww ni Ke ndo mtaji au ww ni wa kipekee sana. Acheni kupenda starehe na anasa kupita kiasi e.g. kwenda kulundikana baa/vilabuni au kujipitisha-pitisha maeneo huku mmevaa zile naniliu zenu.
2. Kama una kipato cha kukuwezesha, basi tumia kipato hicho kutoa support(wapige tafu) hapo unapoishi- hawatatamani uondoke.
3. Ni nini haswa kinachowasumbua/kera kiasi hata mdiriki kuwaza kwenda kupanga? au ni ile dhambi ya Adamu na Eva inawatafuna? 😳
Hee mkuu
Comment yangu umeielewa kweli?
Nampinga mtoa mada anayesema mfukuze binti,
Unafukuzaje mtoto wako.?
Binti akiishi nyumbani kwao ni safe zaidi kuliko kwenda kujitegemea kupanga.

Kila mtu na timing yake kuolewa,, si wote wataolewa under , 25

Na Miaka ya siku hizi ajira zenyewe hakuna
Vijana wa kuoa ndio kwanza bado wanajitafuta,,, mabinti nao hivyohivyo
Halafu eti umfukuze binti yako.

Unakuta mchumba wake ndo huyo wametoka wote kumaliza chuo, wote hata pa kuanzia hawana..halafu unataka umfukuze binti wakati yeye na mchumba wake bado hawajajipanga.
 
Hee mkuu
Comment yangu umeielewa kweli?
Nampinga mtoa mada anayesema mfukuze binti,
Unafukuzaje mtoto wako.?
Binti akiishi nyumbani kwao ni safe zaidi kuliko kwenda kujitegemea kupanga.

Kila mtu na timing yake kuolewa,, si wote wataolewa under , 25

Na Miaka ya siku hizi ajira zenyewe hakuna
Vijana wa kuoa ndio kwanza bado wanajitafuta,,, mabinti nao hivyohivyo
Halafu eti umfukuze binti yako.

Unakuta mchumba wake ndo huyo wametoka wote kumaliza chuo, wote hata pa kuanzia hawana..halafu unataka umfukuze binti wakati yeye na mchumba wake bado hawajajipanga.
Ndo maana nimezipa namba 1,2,3 ili nitoe nami koment kulingana na hoja hizo ulivyoziweka.
Mwisho lakini nimesema binti anaweza kufukuzwa nyumbani kama atamisbehave na hayuko tayari kuonywa. Hii ni conditional; Lakini kwa ujumla ufafanuzi ulioutoa nimekuelewa zaidi.
 
Hee mkuu
Comment yangu umeielewa kweli?
Nampinga mtoa mada anayesema mfukuze binti,
Unafukuzaje mtoto wako.?
Binti akiishi nyumbani kwao ni safe zaidi kuliko kwenda kujitegemea kupanga.

Kila mtu na timing yake kuolewa,, si wote wataolewa under , 25

Na Miaka ya siku hizi ajira zenyewe hakuna
Vijana wa kuoa ndio kwanza bado wanajitafuta,,, mabinti nao hivyohivyo
Halafu eti umfukuze binti yako.

Unakuta mchumba wake ndo huyo wametoka wote kumaliza chuo, wote hata pa kuanzia hawana..halafu unataka umfukuze binti wakati yeye na mchumba wake bado hawajajipanga.
Sema hawara yake
Mchumba haitwi bila kufuata taratibu
Sasa kujipanga maisha yake bado, ataweza kuchumbia?
 
Ndo maana nimezipa namba 1,2,3 ili nitoe nami koment kulingana na hoja hizo ulivyoziweka.
Mwisho lakini nimesema binti anaweza kufukuzwa nyumbani kama atamisbehave na hayuko tayari kuonywa. Hii ni conditional; Lakini kwa ujumla ufafanuzi ulioutoa nimekuelewa zaidi.
Akimisbehave anatakiwa aonywe kwa adhabu yoyote ila si kumfukuza

Msije kujaribu kuwafukuza watoto nyumbani nyie
Mtatengeneza bomu,,halafu imagine akakumbana na balaa huko nje akapoteza maisha..maumivu yake yatatopoa kamwe.

Ingekuwa wazazi wetu wangekuwa wanatufukuza nyumbani tukikosea basi pengine tungekuwa vibaka au machangudoa..
Mtoto akikosea muonye..
Kuna actions mama wa familia huwa anachukua ni adhabu tosha kwa binti.
 
Mkuu mtoa Mada tafuta chakula uwape watoto wale mkuu kuwafukuza watoto wangu wa kike kwa kuwakataa wanaume uchwara ambao hamjakua kihisia na hamna uchumi mzuri siwezi

Mimi watoto wangu siwez kuwafukuza hata awe kiume au wa kike nyumbani ataishi miaka buku
Kama dada zako tu walivyozalia nyumbani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hapa umenifurahisha sana aisee. Imebidi nicheke. Eti pona yangu ni kuto-comment.

Huu ni uzi wako na bila shaka ulipouweka ulitegemea mawazo tofauti tofauti. Sasa tusipo-comment uzi si utadoda?

Unapokomaa kuwa hiyo style yako ya ulezi na kufukuza mabinti home ndiyo sahihi, si ndo kupangiana kwenyewe huko? [emoji16]



Kila mzazi bila shaka anamtakia mema na mafanikio mtoto wake. Na kila mzazi anapambana sana katika malezi yake ili kuutimiza huu wajibu mtakatifu aliojivika. Je, kuna njia moja ya kufikia jukumu hilo? Hapo ndipo tunapotofautiana. Kila mzazi anapambana kivyake...kwa mafanikio tofauti tofauti....

Na hoja yako mama (kama kichwa cha uzi wako kinavyosema) ni kwamba binti aliyefikisha umri wa kuolewa inabidi afukuzwe nyumbani. Na hapa ndipo tunapingana sana - pengine kuanzia katika kiwango cha kifalsafa tu.

Kwangu mimi thamani na upendo kwa binti yangu havina gharama, bei, matakwa wala mikatale. Ni ile wanaitaga priceless!

Na siamini kwamba eti ni lazima aolewe ndiyo malezi yangu mema kwake yajidhihirishe. Kwamba asipoolewa eti ndiyo nimefeli. Kwamba asipoolewa thamani yake kwangu inashuka mpaka nifikie hata kumfukuza. Nimfukuze aende wapi? Akatafute hao wanaume wa kumuoa kwa nguvu? Hao waoaji wenyewe wako wapi?

Wa kwangu huyu nimeshamwambia. Priority yake maishani iwe ni kuishi maisha yenye furaha. Afanye kitu anachokipenda. Kinachompa ridhiko. Kuanzia kazi na mengineyo. Bila presha kabisa. Huku akijua kuwa babake ni supporter wake nambari wani. Akiamua kuolewa ni sawa. Asipoamua kuolewa pia ni sawa. Cha muhimu tu awe na uwezo wa kuendesha maisha yake bila kutegemea watu lakini hapa kwa baba yake ni kwake pia na anaweza kurudi wakati wo wote akitaka. Na chumba chake kipo vile vile kama alivyokiacha....

Hii nimeipenda maana nadhani imemwondolea mzigo mabegani mwake. Usiwaone hivi. Mabinti hawa wana presha kubwa sana vichwani mwao. Jamii inawategemea waolewe kabla hawajavuka 30 wakati hata statistically tu hili haliwezekani maana wao ni wengi kuliko wanaume. Ukijumlisha na hizi changamoto zingine zinazokikabili hiki kizazi chao (wavulana kutotaka kuoa ili kukwepa majukumu, ushoga, wanaume legelege, sijui ukosefu wa nguvu za kiume...), ni wazi kwamba si mabinti wote wataolewa hata kama wakifikia umri wa kuolewa na wanatamani kuolewa. Na kuwanyanyapaa mpaka kuwafukuza majumbani sidhani kama ni suluhisho.

Hakuna kitu kinachompa mwanamke thamani kama kuwa na uhuru wake wa kiuchumi. Ule uwezo wa kuendesha maisha yake bila kumtegemea mwanaume wala mzazi wake. Nadhani juhudi zetu kama wazazi tungezielekeza huko badala ya kuwaongezea presha kwamba ni lazima waolewe wakifikia umri fulani; na wasipoolewa basi tunafikia hata kuwafukuza majumbani mwetu.

Huyu wangu amepambana mwenyewe amepata ma-scholarships yake huko anafanya Pre-Med. Ndoto yake ni kuwa pediatric cardiologist maana anapenda watoto sana. Na mpaka ninapoandika hapa anafanya kazi nzuri tu inayompatia mahitaji yake yote. Anajiamini. Ana mwanga katika maisha yake. Akiamua kuolewa sasa au baadaye ni sawa. Akiamua kutoolewa sasa na hata baadaye napo ni sawa. Akiamua kukaa nyumbani sasa na hata hapo baadaye napo ni sawa.

Bila presha yo yote...

Upendo wa baba [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Mkuu pamoja na sifa unazompa mwanao wa kike ukae ukijua hayo malezi umem spoil sana . Hao ndo madaktari wenye frustration tulionao makazini. Kifupi ni kwamba mzazi ukilea Binti afu asiolewe na ameshafika umri wa kuolewa na amewezeshwa kielimu na kiuchumi kama ulivyo describe ujue umefeli sana. Wote wazazi na mwanao mtakua na stress sana.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Wazazi wamekua wakijitahidi kulea mabinti zao vyema japo Lipo wimbi kubwa sana la wanawake kubweteka na kua malimbukeni kupita kiasi, hali hii imesababisha kujiona wao ni wao na wanaweza kuishi wenyewe bila kua na mwanaume atakae kua kichwa.

Mtazamo huu umechangia sana wanawake wengi kukataa wanaume wanaokuja kuwa chumbia kwa lengo la kuwa oa na kuweka ndani kama mke halali, na hili limechangiwa sana na kuiga wanawake wenzao hasa wanao wadanganya ndoa ni chungu, ndoa ni karaha, mwanamke ni jeshi kubwa, mwanamke anaweza, mwanamke ni mpambanaji na nguvu kubwa sana inayotoka kwa masingle maza walio zalishwa na kuachika kutokana na tabia zao mbaya.

Mabinti wengi sana wameharibika na kuwaharibu wale wenzao wachache walio salia salia na tabia njema, inasikitisha sana kukuta binti wa miaka 15+ anao mtazamo wakuja kuishi mwenyewe bila mwanaume naye anasema hataki kuolewa, tena anafika mbali zaidi ana kuambia nitazaa tuu na nitalea mwenyewe. Hebu jiulize hii elimu au huu mtazamo kaupata wapi kama sio kutoka kwa wanawake wenzake/ mabinti wenzake / hawa hawa masingle maza wanao ongoza kuharibu mabinti kwa kuwaambia kuishi na mwanaume ni utumwa.

Swala hili limesababisha sana wanawake wengi/ mabinti wengi kwa sasa kukataa wanaume pale wanapotongozwa kwa nia ya kuolewa na wengine kufikia mbali kutaka tuu mbegu na ukimpa mbegu hapo anakuona wewe huna thamani tena na sio kitu. Wengine wanakataa wanaume mpaka wanakuja kujutia ukubwani anapopita umri wa kuolewa nakuja kugundua kwamba walidanganyika na hawawezi tena kurudisha siku nyuma kutokana na kupoteza mvuto kwa mwanaume na hivyo kubaki kwa wazazi wao, majumbani au kwenye himaya za koo zao, ndugu jamaa na marafiki wakiwa magroup kwa magroup huku wakiendelea na kuharibu mabinti wanao chipukia wenye nia na ndoto za kuolewa na kuishi mume na mke.

Hivyo kama unaye binti au unaye mwanamke ambae hajaolewa nayupo katika umri wa kuolewa huyo ni hatari kwa kizazi cha mabinti wa sasa huyo mfukuze nyumbani acha maramoja kumchekea chekea hakika kwa kufanya hivyo ulimwengu utamchapa na hamu ya kuolewa itamjia na atajifunza mengi sana kuhusu maisha ya upweke kwa kweli.

Mfukuze kabisa nyumbani mwache ulimwengu ukamfunze thamani ya kuwa na mwanaume na kuolewa na ukamshape namna ya yeye kubehave kama mwanamke mbele ya wanaume.
Siyo sahihi
 
1683395753981.jpg
 
Hizi mentality ndo zimeharibu wanawake wa sasa. Mwanamke anaenda kuolewa ila ana uhakika akiviruga huko atapokelewa mikono miwili nyumbani kwanin asiwe na kiburi na jeuri kwa mme wake ndio maana ndoa nyingi hazidumu

In short wanaoharibu watoto ni wazazi wenye akili kama hizi
Sasa binti akivuruga utamfukuza nyumbani au kumkanya? Na vipi mwanaume ndo akiwa jeuri napo utamgomea mtoto asirudi nyumbani?
 
My daughter will always be my daughter, whether she is 15 or 90...and my home is her home forever!

Ataondoka akitaka na atarudi wakati wo wote akitaka. This is her safe place akichoshwa na dunia huko anarudi kwenye usalama wa baba yake.

Aamue kuolewa au kutoolewa huo ni uamuzi wake!

Sio kila mtu ataelewa usemalo. Wanawake wengi sana wanapitia unyanyasaji wa kijinsia na kuvumilia hadi wengine kufariki kwa kuhofia kutopokelewa makwao na kuhukumiwa na jamii.
 
Kwanini wahenga waliweza kuishi na wake zaidi ya mmoja na wakaelewana kwa muda mrefu? Walifundwa.

Pitia uzi kwa kubofya hapo chini ujifunde kwa kina na upana zaidi kuhusu wanawake / wanaume 👇🏾

 
Mkuu nikweli kabsa, ndoa nyingi zinadumu kwasababu wanawake hawana kipato na hawana njia nyingine ya kuishi zaidi ya kumtegemea mwanaume, na inapelekea mateso makali sana kwa wamama wengi,
Kwa hiyo kumtegemea mume kwa mtazamo wako ni mateso ingawa kama ndivyo unavyoona yafaa zaidi ili izo ndoa zidumu kwa masilahi ya taifa na kizazi kijacho.

Kamwe huwezi mridhisha mwanamke kivyovyote, anatakiwa Aisha bila uhuru uliopitiza ambao kwa mtazamo wako unauita mateso.
 
Back
Top Bottom