Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

Mabinti wenye umri wa kuolewa na hawajaolewa wafukuzwe nyumbani haraka

Unavyoongea ni kama vile ndoa zote ni paradiso ndogo. Huko ndoani kuna watu wametiwa ulemavu wa kudumu, kuna watu wamekatishwa uhai kikatili, kuna watu wapo jela kwa sababu ya matukio ya ndoani, kuna watu wamegeuka mizoga inayotembea kisa mambo wanayokutana nayo huko. Sikatai ndoa ni muhimu lakini hai - guarantee furaha kwa kila anayeingia...ni kama kubeti tu unaweza kula au kuliwa
Tatizo lako unaogopa maisha changamoto wameumbiwa wanadamu hakuna sehemu ambapo hakuna changamoto
Usiogope maisha mwanamke

Na kitingine hakuna mtu anayechagua aina ya tatizo analotaka kulikabili yanakujaga tu by suprise sikufindishi maisha bali huo ndo uhalisia
 
Aende akaolewe na kujitegemea na awe na uwezo wa kujikwamua kiuchumi, Acheni uoga wafukuzeni msiwalundike lundike majumbani hovyo.. wana changia sana kuharibu mabinti wanaojielewa.

Mzazi ukisha mkingia binti yako kifua hawezi kuolewa ndio atakua anakataa wanaume wanao mposa na kuwajibu hovyo.. pia ikumbukwe mzazi kumkingia binti kifua ni kumwekea security kwamba hata akiolewa atarudi nyumbani na ndio maana hawadumu kwenye ndoa cz wanajua wazazi wapo..
Exactly wanakua na kiburi, jeuri hawatimizi wajibu wao kwenye ndoa wakijua nyumbani bado vyumba vyao vipo na watapokelewa
 
Aende akaolewe na kujitegemea na awe na uwezo wa kujikwamua kiuchumi, Acheni uoga wafukuzeni msiwalundike lundike majumbani hovyo.. wana changia sana kuharibu mabinti wanaojielewa.

Mzazi ukisha mkingia binti yako kifua hawezi kuolewa ndio atakua anakataa wanaume wanao mposa na kuwajibu hovyo.. pia ikumbukwe mzazi kumkingia binti kifua ni kumwekea security kwamba hata akiolewa atarudi nyumbani na ndio maana hawadumu kwenye ndoa cz wanajua wazazi wapo..
Mkuu, kuolewa ni bahati,Binti anaweza akachumbiwa na wengi lkn asiolewe kwa sababu hajaona anayeweza kuishi naye,tunaweza tukawalaumu Binti zetu kuwa wanachagua wanaume lkn tuangalie pia maamuzi yao,bint hawezi kumkataa kijana pasipo sababu,kumbuka yy ndo anayeenda kuishi na huyo mtu,ndio maana akimkataa lazima tukubali maamuzi yake,imagine mtoto wako wa kike umemlazimisha aolewe na mtu ambaye hajampenda kwa sababu tu umemlazimisha,then siku anarudi nyumbani ana alama au amewekewa kilema kabisa utajiskiaje kama mzazi wake?? Mi nafikiri tu tuwaombee mabint zetu wapate wenzao wema,na kama hajataka kuolewa tusiwalazimishe Bali tuwakemee pale watakapoonesha mienendo mibaya kwa wazazi.
 
Mkuu, kuolewa ni bahati,Binti anaweza akachumbiwa na wengi lkn asiolewe kwa sababu hajaona anayeweza kuishi naye,tunaweza tukawalaumu Binti zetu kuwa wanachagua wanaume lkn tuangalie pia maamuzi yao,bint hawezi kumkataa kijana pasipo sababu,kumbuka yy ndo anayeenda kuishi na huyo mtu,ndio maana akimkataa lazima tukubali maamuzi yake,imagine mtoto wako wa kike umemlazimisha aolewe na mtu ambaye hajampenda kwa sababu tu umemlazimisha,then siku anarudi nyumbani ana alama au amewekewa kilema kabisa utajiskiaje kama mzazi wake?? Mi nafikiri tu tuwaombee mabint zetu wapate wenzao wema,na kama hajataka kuolewa tusiwalazimishe Bali tuwakemee pale watakapoonesha mienendo mibaya kwa wazazi.
Mim binti afikishe miaka 30 hajaolewa anaishi nyumbani namfukuza tu unless awe haishi na mimi anajitegemea na sio binti hata mtoto wa kiume
 
Mkuu, kuolewa ni bahati,Binti anaweza akachumbiwa na wengi lkn asiolewe kwa sababu hajaona anayeweza kuishi naye,tunaweza tukawalaumu Binti zetu kuwa wanachagua wanaume lkn tuangalie pia maamuzi yao,bint hawezi kumkataa kijana pasipo sababu,kumbuka yy ndo anayeenda kuishi na huyo mtu,ndio maana akimkataa lazima tukubali maamuzi yake,imagine mtoto wako wa kike umemlazimisha aolewe na mtu ambaye hajampenda kwa sababu tu umemlazimisha,then siku anarudi nyumbani ana alama au amewekewa kilema kabisa utajiskiaje kama mzazi wake?? Mi nafikiri tu tuwaombee mabint zetu wapate wenzao wema,na kama hajataka kuolewa tusiwalazimishe Bali tuwakemee pale watakapoonesha mienendo mibaya kwa wazazi.
Nakataa kuolewa sio bahati wanachagua sana na huo nauhakika 100 alafu kitu kingine mwanamke hapendagi in first place anapendaga mbele ya safari

Huu ujinga wa wanawake wapende basi na wao watongoze kama wanaume ili wawapate wanaume wawapendao
 
Waoaji wapo wengi.. tatizo mnawafuga mwisho wa siku wanakua wamejazana nyumbani tena kwa dharau wanawaletea na vitoto ambao hawajui hata baba zao ni kina nani.. Acha mara moja hiyo tabia ya kuwa kingia kifua okoa kizazi na Fukuza akafunzwe na ulimwengu...
HATUTAWAFUKUZA. FUKUZA WA KWAKO WAKAWE MACHOKORAA
 
HATUTAWAFUKUZA. FUKUZA WA KWAKO WAKAWE MACHOKORAA
Nani aliyekudanganya kila aliyefukuzwa atakua chokoraa, mtoto anayejitambua iwe me au ke lazima atajiongeza ataondoka nyumbani mapema
Ukishaona mtoto wako anangangania nyumbani ujue huna mtoto bali zoba
 
Nani aliyekudanganya kila aliyefukuzwa atakua chokoraa, mtoto anayejitambua iwe me au ke lazima atajiongeza ataondoka nyumbani mapema
Ukishaona mtoto wako anangangania nyumbani ujue huna mtoto bali zoba
Hata iweje hatutawafukuza. Habari ndo hiyo
 
Nani aliyekudanganya kila aliyefukuzwa atakua chokoraa, mtoto anayejitambua iwe me au ke lazima atajiongeza ataondoka nyumbani mapema
Ukishaona mtoto wako anangangania nyumbani ujue huna mtoto bali zoba
Huu ni ukweli mchungu na inabidi nami nikimaliza chuo nisepe kwa njia yoyote ile sina jinsi kabisa 😢😢
 
Wewe pambana tu na umasikini wako. Watachagua wanayemtaka na msipowataka ni sawa pia hata wasipoolewa haina tatizo. Ni maamuzi...ndoa haijawahi kuwa lazima.
Nilishakuambia mim ni maskin au nilishakuja kukulia shida
Jikite kwenye mada tatizo ukweli una uma
 
Hata iweje hatutawafukuza. Habari ndo hiyo
Kama wewe ni mzazi hakuna kitu kinachouma kuona mtoto wako yuko nyumbani anaogopa kujitegemea ni kitu ambacho kinaumiza sana wazazi

Na kwenye familia mtoto anayejitegemea anapewa heshima kubwa sana zaid ya yule ambaye yuko nyumbani
 
Kama wewe ni mzazi hakuna kitu kinachouma kuona mtoto wako yuko nyumbani anaogopa kujitegemea ni kitu ambacho kinaumiza sana wazazi

Na kwenye familia mtoto anayejitegemea anapewa heshima kubwa sana zaid ya yule ambaye yuko nyumbani
Kujitegemea atajitegemea lakini si kumfukuza eti akaolewe? Ndoa zenyewe hizi🙄
Ataenda kujitegemea akitaka na ataolewa akitaka. Asipotaka akae hapo nyumbano hadi azeeke.
 
Back
Top Bottom