Maboresho katika sekretarieti ya ajira: Kwanini mtu wa 'degree' asiruhusiwe kuomba kazi za wenye 'diploma'?

Maboresho katika sekretarieti ya ajira: Kwanini mtu wa 'degree' asiruhusiwe kuomba kazi za wenye 'diploma'?

mwenye diploma ndiyo mzalishaji
nenda kiwanda chochote, angalia idadi ya wenye diploma mathalan, sekta ya uhandisi
unakuta mafundi ni 10 (diploma), engineer 1(degree) ambaye anajaza/saini logbook tu

theories kajaza ujinga ujinga wa electromagnetism , lakini kiwandani anakutana na PLCs, hata kuiprogram hajui
Wewe umefanyia utafiti wako kwenye kada ya ufundi, mimi nimefanyia utafiti wangu kwenye ELIMU kwa ngazi zote nimepita diploma na nimepita pia degree na nilicho kiona kwa ushahidi kabisa ni kwamba

walimu wengi wa diploma ndio wanao fanya vizuri zaidi kwenye ufundishaji na wanaeleweka vizuri na wanafunzi kuliko walimu wa shahada na hasa wale walimu walio toka form six moja kwa moja chuo kwakweli mwengi ni weupe sana sana hata kwenye student management ni zero kabisa.
 
Nani kakudanganya kuwa wenye degree wanaleta ufanisi mzuri zaidi?kwani kinacho leta ufanisi ni degree au ni hulka ya uwajibikaji aliyo nayo mtu? Usikalili mzee hizo PhD , Masters, degree ,diploma arrogances zinasumbua sana na kukwambisha hili taifa kwa miongo mingi sana matokeo yake nchi imejaza mavyeti
mavivu maofisini.
Hasira imekaa kifuani mwa mpumbavu point ni leave ye taaluma Kati ya diploma na bachelor huwezi linganishi maana yake mwenyewe degree kuna level amepita, .mtu akisema ufanisi ni kufanya jambo kwenye eneo lako kikamilifu, mitaala ya elimu inafanana sana sehemu kubwa ya dunia ndio maana yakawepo madaraja.

Usikalili mambo bwana mdogo sio wasomi wote wako serikalini Kuna wengine wamejiajili kwenye sector binafsi, wapo ma engineer, walimu, madoctor na kadhalika wanafanya vizuri kwenye fani zao, usipayuke wakati mwingine jifunze kuwa mstaarabu unaweza kuwa una hoja nzuri ili ukaharibu kwa maneno ya dharau na kibehi.
 
Kuna jambo gumu kidogo kuhusu sekretarieti ya ajira hususani kwenye ajira zinazowahusu diploma huku wenye 'degree' wakizuiwa kuomba wakati mwenye 'degree' anaweza kuleta matokeo na ufanisi mzuri zaidi.

Ombi langu kwa sekretarieti ya ajira na Serikali fanyeni mabadiliko ya sheria au utaratibu unaouzuia jambo hilo ili vipaji vya wenye "degree" vitumike mahali popote
Pia sekretariati ya ajira huwa haitangazi matokeo ya usaili wa mahojiano ili aliyefanya huo usaili aweze kuona matokeo yake na kama yanaakisi maksi alizopata. Hii ni njqma ya kuwatangaza watu kwa hila kuwa wameshindwa ili nafasi hizo zitolewe kwa upendeleo. Mbona .matokeo ya usaili wa mchujo yanatangazwa.? Kwa kawaida mtu akifanya .mtiihani wowote kutokana na alivyojibu maswali huwa anajua range ya maksi atakazopata sasa matokeo ya usaili wa mahojiano yakitangazwa yatampa .tu nafasi ya kupima maksi alizotarajia na zile alizowekewa na akiona hazienda i atakuwa na basis nzuri ya kulakamika.

Najua hili sekretariati ya ajira watalipinga kwa sababu linawapa mwanya wa kupendelea lakini sio haki kutotangaza maksi za matokeo ya usaili wa mahojiano.

Tangazeni matokeo kwa,kutoa maksi ili kuongeza ,uwazi
 
Diploma ni elimu ya chini kwa degree hivyo mwenye degree ana uwezo mkubwa kiufanisi na kiutendaji. Ndio maana nimesema Kama kuna sheria au utaratibu uangaliwe ili kupata watu wenye ufanisi makazini.

Haiwezekani tunawaacha wenye degree na Elimu za juu na kuajiri wenye diploma huku tunajua wanaweza wakaleta ufanisi zaidi.

Mashirika binafsi yanasema 'at least' awe na diploma maana hawafungi upande mmoja

Ulichosema hakina ukweli. Mahitaji ya kazi hutajwa na kama wamekusudia diploma basi wewe mwenye degree uko “overqualified”!! Ni sawa na hitaji la kazi ya degree aje kuomba mtu ana PhD. Ufanisi (efficiency) haipimwi wa kiwango cha elimu!! Kama uelewa wako uko hivi ndio maana unapata shida kuona kwanini wa diploma anaajiriwa na unaachwa! Degree mtu hawezi hata kujieleza, kuwa mbunifu ni afadhali ya diploma tu!
 
Wewe umefanyia utafiti wako kwenye kada ya ufundi, mimi nimefanyia utafiti wangu kwenye ELIMU kwa ngazi zote nimepita diploma na nimepita pia degree na nilicho kiona kwa ushahidi kabisa ni kwamba

walimu wengi wa diploma ndio wanao fanya vizuri zaidi kwenye ufundishaji na wanaeleweka vizuri na wanafunzi kuliko walimu wa shahada na hasa wale walimu walio toka form six moja kwa moja chuo kwakweli mwengi ni weupe sana sana hata kwenye student management ni zero kabisa.
Umeongea pumba sana bwana mdogo kwa sababu ume generalise hivyo kinachotokea ni misconception. Huwezi linganishi bachelor na diploma kwenye taaluma ya ualimu maana unalinganisha baba na mtoto sio nidhamu nzuri. Diploma wanaweza fundishwa na walimu wenye degree kwenye vyuo vyao huko hivyo kaa utambue laana haiwezi kutoka chini kwenda juu.

Kwa mfano mimi nimesoma bachelor of education with guidance and counseling na uwezo wa kuandaa counseling session kwa wanafunzi wenye psychological problem utanifanishaje na diploma

Pian ni uwezo wa kuandaa educational guidance program kwa wanafunzi kitu ambacho diploma hafundishwi na hawazi kufanya, acha dharau bwana diploma wenyewe wanajua hawatii miguu kwa mwenye bachelor wewe umekutana na walimu gani hao.
 
Hakika Rais Samia anaona na anapitia huku , kwa mabadiliko aliyofanya kwa kumuamishai waziri Simbachawene utumishi ninaamini ni kutokana na Jambo hili.

Nakuomba Mhe. Simbachawene ,wewe ni mwanasheria na unazijua sheria. Naomba kafanyie kazi suala la utumishi kuzuia wenye degree kushindwa kuomba kazi za diploma , Mungu akutangulie.
Msisahau swala la kurudia written interview,Wakati ulishapita oral interview,ikiwa ulifeli oral interview basi urudie hatua hiyo.Mpaka pale utakapo ingia Database.Kumbuka nauli za sisi kwenda kwenye mikando ni kubwa mno.
 
Hasira imekaa kifuani mwa mpumbavu point ni leave ye taaluma Kati ya diploma na bachelor huwezi linganishi maana yake mwenyewe degree kuna level amepita, .mtu akisema ufanisi ni kufanya jambo kwenye eneo lako kikamilifu, mitaala ya elimu inafanana sana sehemu kubwa ya dunia ndio maana yakawepo madaraja.

Usikalili mambo bwana mdogo sio wasomi wote wako serikalini Kuna wengine wamejiajili kwenye sector binafsi, wapo ma engineer, walimu, madoctor na kadhalika wanafanya vizuri kwenye fani zao, usipayuke wakati mwingine jifunze kuwa mstaarabu unaweza kuwa una hoja nzuri ili ukaharibu kwa maneno ya dharau na kibehi.
Mzee tunacho tofautiana mimi na wewe ni jambo moja tuu, wewe una degree arrogance wakati mimi naongea fact in field, nafanya kazi na makundi hayo yote, hata mimi nimeanzia huko chini kabisa hadi hapa nilipo fika , nina experience kubwa na makundi hayo yote ya taaluma katika utendaji na utii ,

Yawezekana wewe hujafanya utafiti wowote ila unatetea hako ka degree kako unaji value mbali wakati kimsingi utofauti wa diploma na degree ni mdogo sana hasa kitaaluma kwa sisi tulio pita ngazi hizo zote tunaelewa vyema kabisa

shida ipo kwenu ninyi ambao mmetoka form six moja kwa moja degree ndio huwa mnadhani na kujiona mnahitaji special care na mna unique knowledge tofauti kabisa na wenye diploma kumbe hakuna kitu kikubwa sana ambacho mwenye degree anamzidi mwenye diploma kitaaluma mzee , ungepitia level zote ungenielewa vizuri kabisa
 
Diploma ni elimu ya chini kwa degree hivyo mwenye degree ana uwezo mkubwa kiufanisi na kiutendaji. Ndio maana nimesema Kama kuna sheria au utaratibu uangaliwe ili kupata watu wenye ufanisi makazini.

Haiwezekani tunawaacha wenye degree na Elimu za juu na kuajiri wenye diploma huku tunajua wanaweza wakaleta ufanisi zaidi.

Mashirika binafsi yanasema 'at least' awe na diploma maana hawafungi upande mmoja
Nani kakudanganya kufanya ulinganifu wa namna hii? Degree or diploma are just papers...

Tofauti hapo ni majina tu kwamba huyu ni "degree holder" na huyu ni "diploma holder".

Lakini delivery si ajabu wakawa hawana tofauti yoyote na pengine diploma holder akawa efficient zaidi kuliko mwenye degree holder..

Hili mimi nimelithibitisha pasipo shaka yoyote. Degree au diploma are just papers
 
Tofauti ya Diploma na degree
1. Salary
2. Skills
Sasa mtu kama kaona anaweza kuomba kazi inayotaka Diploma kwanini asiruhusiwe si maamuzi yake??.

Mfano Dereva wa Bus umkataze asiendeshe IST, utumishi wanafeli sana hapa.
Kila kazi inahitaji sifa/qualification maalum. E.g. diploma au degree. Ukiomba kazi ya diploma na wewe una degree, ngazi ya mshahara watakulipa wa diploma na wakati una degree na sio diploma? Mwisho vigezo vinakataa
 
Tofauti ya Diploma na degree
1. Salary
2. Skills
Sasa mtu kama kaona anaweza kuomba kazi inayotaka Diploma kwanini asiruhusiwe si maamuzi yake??.

Mfano Dereva wa Bus umkataze asiendeshe IST, utumishi wanafeli sana hapa.
Nakubaliana na wewe kwenyw salary ila kwenye skills nakukatalia katakata mzee
 
Diploma ni elimu ya chini kwa degree hivyo mwenye degree ana uwezo mkubwa kiufanisi na kiutendaji. Ndio maana nimesema Kama kuna sheria au utaratibu uangaliwe ili kupata watu wenye ufanisi makazini.

Haiwezekani tunawaacha wenye degree na Elimu za juu na kuajiri wenye diploma huku tunajua wanaweza wakaleta ufanisi zaidi.

Mashirika binafsi yanasema 'at least' awe na diploma maana hawafungi upande mmoja
Haya endelee kuamini hivyo mzee arrogance zitawakalisha sana na njaa

Ila mimi kwa uhakika kabisa nakuhakikishia kiutendaji most of diploma holders wako very accountable kuliko degree , hili naliongea kwa uzoefu na uhakika kabisa

Tena katika utendaji hata certificate yupo more accurate kuliko hao wajuu wote na hii ni kutokana namna wanavyo andaliwa, hilo ndilo jibu sahihi kabisa.
 
Mzee tunacho tofautiana mimi na wewe ni jambo moja tuu, wewe una degree arrogance wakati mimi naongea fact in field, nafanya kazi na makundi hayo yote, hata mimi nimeanzia huko chini kabisa hadi hapa nilipo fika , nina experience kubwa na makundi hayo yote ya taaluma katika utendaji na utii ,

Yawezekana wewe hujafanya utafiti wowote ila unatetea hako ka degree kako unaji value mbali wakati kimsingi utoauti wa diploma na degree ni mdogo sana hasa kitaaluma kwa sisi tulio pita ngazi hizo zote tunaelewa vyema kabisa

shida ipo kwenu ninyi ambao mmetoka form six moja kwa moja degree ndio huwa mnadhani na kujiona mnahitaji special care na mna unique knowledge tofauti kabisa na wenye diploma kumbe hakuna kitu mzee, ungepitia level zote ungenielewa vizuri kabisa
Hahaha hii sio intellectual arrogance ndio ukweli mwenyewe huwezi kushindanisha bachelor na diploma waliounda hii mitaala sio wajinga iweje leo wewe uje na assumption zako, utafiti gani wewe imefanya kama sio gut feelings zako. Walimu wa degree ni watunzi wa mitaala pia wanakazi nyingi sio kuingia darasani, mambo ya measurement and education evaluation hapa wanasimama walimu wenye bachelor. Kuhusu kuwa deep class hata form six leaver anaweza kuwa vizuri ila kuna professional contexts anakosa, mwalimu banchelor anaandaliwa kuwa kiongozi pia.
 
Umeongea pumba sana bwana mdogo kwa sababu ume generalise hivyo kinachotokea ni misconception. Huwezi linganishi bachelor na diploma kwenye taaluma ya ualimu maana unalinganisha baba na mtoto sio nidhamu nzuri. Diploma wanaweza fundishwa na walimu wenye degree kwenye vyuo vyao huko hivyo kaa utambue laana haiwezi kutoka chini kwenda juu.

Kwa mfano mimi nimesoma bachelor of education with guidance and counseling na uwezo wa kuandaa counseling session kwa wanafunzi wenye psychological problem utanifanishaje na diploma

Pian ni uwezo wa kuandaa educational guidance program kwa wanafunzi kitu ambacho diploma hafundishwi na hawazi kufanya, acha dharau bwana diploma wenyewe wanajua hawatii miguu kwa mwenye bachelor wewe umekutana na walimu gani hao.
Umemjibu kwa hasira sana ila kakuelewa na siku nyingine aache ujinga . Yaani anataka kusema mtu aliyekaa darasani miaka 5 na mmoja wa internship ili awe MD ni sawa na mtu aliyeishia diploma, nabaki nacheka kwa sauti ndogo
 
Haya endelee kuamini hivyo mzee arrogance zitawakalisha sana na njaa

Ila mimi kwa uhakika kabisa nakuhakikishia kiutendaji most of diploma holders wako very accountable kuliko degree , hili naliongea kwa uzoefu na uhakika kabisa

Tena katika utendaji hata certificate yupo more accurate kuliko hao wajuu wote na hii ni kutokana namna wanavyo andaliwa, hilo ndilo jibu sahihi kabisa.
Kinachokusumbua ni inferiority complex kuona wenye bachelor wana intellectual arrogance kumbe ndio jinsi inavyotakiwa diploma anapaswa awe chini na bachelor awe juu maana kuna vitu diploma hawezi kufanya maana hajafundishwa.
 
Hahaha hii sio intellectual arrogance ndio ukweli mwenyewe huwezi kushindanisha bachelor na diploma waliounda hii mitaala sio wajinga iweje leo wewe uje na assumption zako, utafiti gani wewe imefanya kama sio gut feelings zako. Walimu wa degree ni watunzi wa mitaala pia wanakazi nyingi sio kuingia darasani, mambo ya measurement and education evaluation hapa wanasimama walimu wenye bachelor. Kuhusu kuwa deep class hata form six leaver anaweza kuwa vizuri ila kuna professional contexts anakosa, mwalimu banchelor anaandaliwa kuwa kiongozi pia.
Achana naye atakuharibia siku, hivi anadhani bachelor ni level ya mchezo mpaka kusema diploma ni bora kuliko degree.
 
Kinachokusumbua ni inferiority complex kuona wenye bachelor wana intellectual arrogance kumbe ndio jinsi inavyotakiwa diploma anapaswa awe chini na bachelor awe juu maana kuna vitu diploma hawezi kufanya maana hajafundishwa.
Mh! Basi Sawa uko sahihi wewe, maana hapa naweza nikawa najibizana na mwanafunzi wangu.
 
Achana naye atakuharibia siku, hivi anadhani bachelor ni level ya mchezo mpaka kusema diploma ni bora kuliko degree.
Ondokaneni kwanza na huo ujinga, nadhani baada ya hapo mtaiona faida ya elimu na mtaacha kulalama, kinyume na hapo mtaendelea kubishana nani bora kati degree na diploma , masters nk. jambo ambalo halina tija kwa maisha ya sasa
 
Hata
Ondokaneni kwanza na huo ujinga, nadhani baada ya hapo mtaiona faida ya elimu na mtaacha kulalama, kinyume na hapo mtaendelea kubishana nani bora kati degree na diploma , masters nk. jambo ambalo halina tija kwa maisha ya sasa
Hata nikiwa usingizini au ndotoni ukaniuliza nani bora kati ya mwenye degree na diploma nikakuambia bora ni mwenye diploma ninase makofi
 
Back
Top Bottom