Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Hii habari nimeileta hapa kama tetesi ili kujilinda na watu wapumbavu ambao hao kila kitu utawasikia wanauliza source au kutaka utaje jambo direct.
Kuna baadhi ya mambo hayapaswi kuwekwa wazi kwa % nyingi hasa kipindi hayajaiva.
Ni kwamba viongozi wateule wanajichotea pesa za umma kupitia akaunti za watu binafsi, wazabuni na wakandarasi wanaopewa vikandarasi katika idara na ofisi zao.
Sasa CAG aongezewe meno kuweza kuingia kila Ofisi ya umma.
Hii habari nimeileta hapa kama tetesi ili kujilinda na watu wapumbavu ambao hao kila kitu utawasikia wanauliza source au kutaka utaje jambo direct.
Kuna baadhi ya mambo hayapaswi kuwekwa wazi kwa % nyingi hasa kipindi hayajaiva.
Ni kwamba viongozi wateule wanajichotea pesa za umma kupitia akaunti za watu binafsi, wazabuni na wakandarasi wanaopewa vikandarasi katika idara na ofisi zao.
Sasa CAG aongezewe meno kuweza kuingia kila Ofisi ya umma.