Pigania Katiba mpya kwanza,
Majibu na suluhisho la KERO yako hii itapatikana mle ndani.
Katiba hii tulonayo
Ndo inatoa mianya hiyo unayolalamikia sasa, Na mianya Hii inawanufaisha zaidi wanasiasa hawa walioko madarakani.[emoji4]
Sent using
Jamii Forums mobile app