Mabosi punguzeni unoko duka linavyostawi mauzo, Binafsi ninajua kijana ananiibia kiasi kidogo lakini nimepiga kimya, nikimtoa ni ngumu kupata mbadala

Mabosi punguzeni unoko duka linavyostawi mauzo, Binafsi ninajua kijana ananiibia kiasi kidogo lakini nimepiga kimya, nikimtoa ni ngumu kupata mbadala

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Kuna vijana unawaweka dukani unaona kabisa uwepo wao ndio unachangamsha biashara kuanzia kutafuta wateja, ku negotiate, kutangaza biashara, kazoeleka na wateja, n.k. yaani wewe kila ukienda kufunga hesabu unakuta daftari la mauzo linameremeta.

Sasa kijana kaiba lets say elf 5 au 10 kwenye kila faida ya laki 1 unaanza komgombeza na kelele, Brother / Sister punguza unoko huo !! cheza nae kwa akili win win situation

Fanya kufumba jicho tu ukijua anakupiga kiasi kidogo sana cha kwenye faida yako ila akizidisha mbane

Mimi ninajua kabisa kijana wa dukani huwa ananipiga kiasi flani kidogo sana, huwa namzuia asikizidishe lakini akiwa kwenye limits nafumba jicho tu,

Hawa vijana wenye vipaji vyao vya kuuza kuwapata huwa ni kama zali, sio wote wana huo uwezo, ukimfukuze kisa buku 5 kwenye faida ya laki waweza kuleta bomu wiki inapita kauza vitu viwili tu
 
Hasa kwetu ambao tumeajiriwa ama tuna shughuli nyingezo tunamuacha kijana dukani anasimamia mauzo, sie ni kufunga hesabu na kukagua stock.

Nyuma ya haya maduka huwa kuna nguvu kubwa ya hawa vijana wanaoshinda asubuhi hadi jioni, Unakuta kijana anajua sana kuuza kuanzia kutafuta wateja, ku negotiate, kuitangaza biashara, kauli nzuri, kismati, n.k. anakuingizia pesa nzuri tu.

Sasa kijana kaiba lets say elf 5 au 10 kwenye kila laki 1 anayokurudishia, Kelele zinaanza kibao !! Brother / Sister punguza unoko !! cheza nae kwa akili win win situation

Fanya kufumba jicho tu ukijua anakupiga kiasi kidogo sana cha kwenye faida yako,

Mimi ninajua kabisa kijana wa dukani huwa ananipiga kiasi flani kidogo sana, huwa namzuia asikizidishe lakini akiwa kwenye limits nafumba jicho tu,
Sasa kama hiyo 10 ndio faida akae kimya?
 
Faida ya duka 15%ya muazo ndio faida Yako
Let's say ukiuza 150000 faida Yako hapo ni 15000?
Ww unaonaje akauza 300000 then akalamba hapo 20000? Then ukija kupiga hesabu ww unakuta 280000 na ww unachukua hapo zako 18000?
You won't make it
 
Ni kweli, muache aibe kidogo.

Nani asiyeiba? Sisi sote ni MAJIZI kwa namna moja ama nyingine.

Unafumba macho ili sote tule.
Huu ndo ukweli kwanza majizi yanasifiwa mfano ni mafisadi na wala rushwa, utasikia ana akili sana yule, amejua kutumia nafasi vizuri, ana bahati bla bla nyingi ili kubariki wizi
 
Faida ya duka 15%ya muazo ndio faida Yako
Let's say ukiuza 150000 faida Yako hapo ni 15000?
Ww unaonaje akauza 300000 then akalamba hapo 20000? Then ukija kupiga hesabu ww unakuta 280000 na ww unachukua hapo zako 18000?
You won't make it
Kama faida ya duka ni 15% sio mbaya yeye akichukua 2%, hapo ni kwamba anakuuzia duka vizuri unafumba jicho tu, sio wale hata kufungua duka wanachelewa kuondoka wanawahi wanakaa kusubiri mshahara tu
 
Kuna vijana unawaweka dukani unaona kabisa uwepo wao ndio unachangamsha biashara kuanzia kutafuta wateja, ku negotiate, kutangaza biashara, kazoeleka na wateja, n.k. yaani wewe kila ukienda kufunga hesabu unakuta daftari la mauzo linameremeta.

Sasa kijana kaiba lets say elf 5 au 10 kwenye kila faida ya laki 1 unaanza komgombeza na kelele, Brother / Sister punguza unoko huo !! cheza nae kwa akili win win situation

Fanya kufumba jicho tu ukijua anakupiga kiasi kidogo sana cha kwenye faida yako ila akizidisha mbane

Mimi ninajua kabisa kijana wa dukani huwa ananipiga kiasi flani kidogo sana, huwa namzuia asikizidishe lakini akiwa kwenye limits nafumba jicho tu,

Hawa vijana wenye vipaji vyao vya kuuza kuwapata huwa ni kama zali, sio wote wana huo uwezo, ukimfukuze kisa buku 5 kwenye faida ya laki waweza kuleta bomu wiki inapita kauza vitu viwili tu
Naunga mkono hoja.... we mtu unamlipa laki halafu utegemee ataishi kwa hiyo laki. Mimi as long as faida naiona mzigo uko sawa, kijana kuchukua change ndogo ndogo fresh tu.
 
Issue ni kubalance mambo anabidi apambane biashara ikue kwanza

Biashara ikikuwa means atapata hizo 5k au 10k Ila akianza kula 5K na 10K kipindi cha ukuaji ataua biashara mapema.

Then ni vizuri zaidi MTU aandaliwe vizuri kwa kujua kuwa na yeye siku moja anabidi kuwa na Empire yake so kuiba kutamfanya asiwe smarter
 
Faida ya duka 15%ya muazo ndio faida Yako
Let's say ukiuza 150000 faida Yako hapo ni 15000?
Ww unaonaje akauza 300000 then akalamba hapo 20000? Then ukija kupiga hesabu ww unakuta 280000 na ww unachukua hapo zako 18000?
You won't make it
Mtoa mada tunaomba majibu ya hii hoja hapa.







KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kukubali kuibiwa huku unajua unaibiwa na una ushahidi usiotia shaka ni ujinga na upumbavu uliokithiri. Ukimfuma na ushahidi kuwa kaiba mpe onyo la nguvu. Akirudia FUKUZA. Wakati unafungua duka ulijua utakutana na huyo kijana? Saa nyingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mafisadi serikalini. Kijana kama huyo akipata nafasi serikalini lazima awe fisadi.
 
Wabongo wagumu sana kuelewa aisee, mmeambiwa kwenye faida ya laki Moja na sio mauzo
 
Faida ya duka 15%ya muazo ndio faida Yako
Let's say ukiuza 150000 faida Yako hapo ni 15000?
Ww unaonaje akauza 300000 then akalamba hapo 20000? Then ukija kupiga hesabu ww unakuta 280000 na ww unachukua hapo zako 18000?
You won't make it
Hesabu zako zipoje we jamaa?
 
Back
Top Bottom