Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

Kuna Dogo alikuja Field...Eti Site akawa anakuja na Jeans kubwaa na mayeboyebo makubwaa kichwani kanyoa kiduku
Nikamwambia Dogo peleka Ujinga huko nisikuone na mavazi hayo.
Hakurudi asee sjui alienda kupatia wapi field.
 
Punguzeni Umwinyi Hizi Si Zama Za Mawe Za Kati Mambo Yamebadilika,,Nyie Ndio Mnabidi Muachie Ofisi Kwa Sasa Tuondoe Fikra Za Kizamani Na Za Kizee Ili Kukimbizana Na Dunia Na Elimu Zenu Za La 7 Zilizojaa Uchawi,Majungu Na Chuki Ndani Yake..###SiWoteBaadhi###Mjifunze Kuishi Kwa Maandilizi Na Kuheshimu Nyakati Hakuna Kinachodumu Milele.
 
Kabla ya kukatisha mkataba wake, mlikaa mkaongea naye?? Fresh graduates ni wadogo zetu tuwapende..
 
maboss uchwara hao japo ni kweli kabisa

mimi nikienda hospitali nikute daktari ni gen-z basi nachomoka haraka kwenda pharmacy
 
Hizo ni stages tu za makuzi. Tuwapende fresh graduates. Tuwalee wadogo zetu wa Generation Z, 2000
 
Kuna Dogo alikuja Field...Eti Site akawa anakuja na Jeans kubwaa na mayeboyebo makubwaa kichwani kanyoa kiduku
Nikamwambia Dogo peleka Ujinga huko nisikuone na mavazi hayo.
Hakurudi asee sjui alienda kupatia wapi field.
Kwanini haukumuita na kumuelekeza kwa lugha ya upendo ewe mungu mtu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ