OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuweni na adabu na utii kwanzaTusiajiriwe tukale wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweni na adabu na utii kwanzaTusiajiriwe tukale wapi?
Hayo ni matatizo yake, hakuna mtoto hapo. Mbona sisi tulikuwa na utii na adabu kwa wote kazini. Kwani shule na chuo alijifunza nini, alijifunza kiburi?Ndio maana nimekwambia hao bado ni watoto kazini, fresh from college. Usitumie lugha za ukali. Don't take advantage of your maturity and working experience to start bullying or scolding at the them.
Atafunzwa na Ulimwengu angetaka kuelekezwa angerudi kesho yake.Kwanini haukumuita na kumuelekeza kwa lugha ya upendo ewe mungu mtu??
Kivipi?Kuweni na adabu na utii kwanza
Hawa watoto ni wapuuzi kweli yani nidhamu na unadhifu mtu umemaliza college ni mpaka ufundishwe tena.Hayo ni matatizo yake, hakuna mtoto hapo. Mbona sisi tulikuwa na utii na adabu kwa wote kazini. Kwani shule na chuo alijifunza nini, alijifunza kiburi?
Utii ni nini?? Unataka junior cashier akupe pesa pasipo kuandika katika kitabu na sahihi ya signatory na akigoma ndio useme kuwa hana utii??..Hayo ni matatizo yake, hakuna mtoto hapo. Mbona sisi tulikuwa na utii na adabu kwa wote kazini. Kwani shule na chuo alijifunza nini, alijifunza kiburi?
Wewe ni mungu mtu na unapenda sana kuabudiwa na vijana wadogo fresh from college.Atafunzwa na Ulimwengu angetaka kuelekezwa angerudi kesho yake.
Na ww ni wale vijana mnaopenda kuonewa huruma itakuwa.
Boss ni neno la kitumwa, ulimwengu wa sasa hauna hio una family au team work na office zipo mtindo wa panel yaani boss na staff mnakaa room moja.Hahaha sasa Gen z mmetoka shule juzi, huna experience ya kazi then unajuaje kama maboss wanaendesha ki local? Halafu hili neno local naona kama linatafsirika tofauti na wengi. Anyway, tuyaache hayo; binafsi pia sipendi sana kutumia au kutumiwa neno BOSS, ni kama kujipendekeza au kutafuta sifa tu. Anyway, tulitawaliwa na Uingereza, sawa tu na wana siasa, mtu hana heshima yoyote, haheshimiki lakini eti "mheshimiwa" stupid.
Mfikirie yule aliyemtumbukizia chupa ya soda yule dogo, mtu kama yule anakuaje mheshimiwa?
Sawa Baby Boy....Endelea kudeka eehWewe ni mungu mtu na unapenda sana kuabudiwa na vijana wadogo fresh from college.
Acha kufokea watoto wadogo kwa lengo la kuwajengea hofu. Wafundishe kazi kama ambavyo wewe ulifundishwa.Kuna Dogo alikuja Field...Eti Site akawa anakuja na Jeans kubwaa na mayeboyebo makubwaa kichwani kanyoa kiduku
Nikamwambia Dogo peleka Ujinga huko nisikuone na mavazi hayo.
Hakurudi asee sjui alienda kupatia wapi field.
Endelea kufokea watoto wadogo na kuwajaza hofu ewe mungu mtu.Sawa Baby Boy....Endelea kudeka eeh
Kifupi wanataka haki bila kutimiza wajibu.Kivipi?
Hivi unaweza ukamuagiza Gen Z kazini na akagoma? Au apite bila kukusalimia?🤔
Kujituma nakubaliana 100% huku vyuoni tumekimbizana na assignments siku ya deadline.Kifupi wanataka haki bila kutimiza wajibu.
Gen Z kwanza wengi wao wanajua kila kitu hata kama kaajiriwa juzi, jeuri, hawajitumi. Naandika kwa experience
Utii kwenye utaratibu sahihi. Utii wa kanuni. Anajikuta yupo negative kwenye kila kitu kiasi kwamba hata akikosea watu wanamuacha tu aingie kwenye 18Utii ni nini?? Unataka junior cashier akupe pesa pasipo kuandika katika kitabu na sahihi ya signatory na akigoma ndio useme kuwa hana utii??..
Imagine mpaka unamaliza chuo hujui dress code za fani yako. Mtu aliyeelimika kabla ya kwenda anadodosa kwanza utaratibu wa vitu vidogo vidogoAtafunzwa na Ulimwengu angetaka kuelekezwa angerudi kesho yake.
Na ww ni wale vijana mnaopenda kuonewa huruma itakuwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikuhizi maintern wanamuona Chief Zuchu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hujaweka Ujuaji [emoji12][emoji28] hawashauriki hao na visuruali vyao vichupa