Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Nilikua dogo janja nimetokea zangu na mabraza nimewasindikiza kusaka nyoka i mean kusaka dhahabu Kongo.......na kipindi hicho james ana 30 something hv.....kule Nyangwe kivu kusini 2001
Sema huyu James ni noma, siwapendagi wanyarwanda ila huyu mwamba huwa bamkubali sana. Maana nasikia sikia kle operation kitona jamaa aliiongoza akiwa na 25yrs tu.. sasa imagine umri huo si tuko kukariri madesa tu huyu mwamba anapigo mzigo msituni watu wanamhanya
 
Duuu nakubali mwanangu
Story tamu,hustle na harakati kibao hii inatia motisha sana,
Maana watu mna uthubutu sana!
Ila kwa jinsi Congo DRC ilivyo wale watu wangejitambua wangekua wanaishi kwenye paradiso moja matata
Imagine Marekani ingekua Tropical rainforest country include natural resources kama Kongo DRC! loh maskini ila ndio hivyo ni half hell,
akili za Mwafrika ni nyani aliyechangamka! Nelson Jacob Kagame
Mpaka now Congo dili kibao tu ukipata wenyeji sahii.
 
Ukifikisha 40 itabidi tufanye sherehe
MIsukosuko yote hiyo ila now haupo jela wala kaburini
MUNGU NI MWEMA......MDOGO WANGU.....HATUKUSOMA SANA ILA MAISHA YA MTAANI YALITUSOMESHA NA TUKAPATA PHD ZA UTAFUTAJI.....TULICHOKIPATA TULITOSHEKA NA KURIDHIKA NA KUMSHUKURU MUUMBA WETU....UKIWS NA TAMAA NA UJUAJI HAUFIKI MBALI......SHUKRANI JF TUNAELEZEA MAPITO YETU.
 
Sema huyu James ni noma, siwapendagi wanyarwanda ila huyu mwamba huwa bamkubali sana. Maana nasikia sikia kle operation kitona jamaa aliiongoza akiwa na 25yrs tu.. sasa imagine umri huo si tuko kukariri madesa tu huyu wanaume wana hanya
Amekaa sana Ngara pale .......yeye na bosco Ntaganda a.k.a teminator .....huyu bosco yupo jela ulaya....alikimbia kigali baada ya kuzinguana na Kagame miaka ya 1990,s ......mm nipo dogo kabisa mwaka 1996 nakumbuka kukutana nao sehemu inaitwa Mulushaka...!!!
Nadhani walikua wanaenda rusumo......ndio maana tulipokutana 2001 akanikumbuka kupitia kwa mshikaji wangu braza wetu dalali Oswald Ndarubahe......!!!
Story ni ndefu ila nimefupisha
 
Sema huyu James ni noma, siwapendagi wanyarwanda ila huyu mwamba huwa bamkubali sana. Maana nasikia sikia kle operation kitona jamaa aliiongoza akiwa na 25yrs tu.. sasa imagine umri huo si tuko kukariri madesa tu huyu wanaume wana hanya
James katesa sana wakongomani.....kawaua sana.....na makundi yake ya banyamulenge
 
Amekaa sana Ngara pale .......yeye na bosco Ntaganda a.k.a miaka ya 1990,s teminator.......mm nipo dogo kabisa mwaka 1996 nakumbuka kukutana nao sehemu inaitwa Mulushaka...!!!
Nadhani walikua wanaenda rusumo......ndio maana tulipokutana 2001 akanikumbuka kupitia kwa mshikaji wangu braza wetu dalali Oswald Ndarubahe......!!!
Story ni ndefu ila nimefupisha
Wakitafuta nini Ngara. Hiv hawa jamaa(top official kama James) huwa nataman kujua mtazamo wao kuhusu Bongo ukoje? Are they really dreaming of fighting us?
 
Wakitafuta nini Ngara. Hiv hawa jamaa(top official kama James) huwa nataman kujua mtazamo wao kuhusu Bongo ukoje? Are they really dreaming of fighting us?
Nilikua dogo 1996 sikujua....ila nadhani walikua kwenye mishe zao za kawaida kama yalivyo majukumu mengine ya makachero.....Hata huyo braza Oswald Ndarubahe nahisi alikua kachero wa RPF .....maana now yupo kwenye president guards unit ya special elite force ya RPF.....Mpakani watu wanaingiliana sana....na huwezi kuzuia hilo as long as hawavunji sheria ya nchi husika
 
Wakitafuta nini Ngara. Hiv hawa jamaa(top official kama James) huwa nataman kujua mtazamo wao kuhusu Bongo ukoje? Are they really dreaming of fighting us?
They take us tanzanians as weak people in military and political......wanatu dharau sana kwa sekta hizo......ila katika sekta ya biashara wanatukubali sana.....kuliko waganda.
Utawasikia ""Tanzanian are very tricky dont trust them completely"""🤣🤣
 
They take us tanzanians as weak people in military and political......wanatu dharau sana kwa sekta hizo......ila katika sekta ya biashara wanatukubali sana.....kuliko waganda.
Utawasikia ""Tanzanian are very tricky dont trust them completely"""🤣🤣
NAfikiri ni muhimu siku wapelekewe moto wawe na adabu.
 
NAfikiri ni muhimu siku wapelekewe moto wawe na adabu.
Tatizo la kule ukabila....tofauti na hapo ni watu poa.....James sasa don....yupo huko kigali na hata akiniona atakua amenisahau....akishakua hadi makamu wa raisi.....yupo na mshikaji wetu Oswald......SISI TUKIENDA RWANDA NI FULL SHANGWE....SEMA NA SIE WATU WA MISALA.....BORA TUTULIE TANZANIA NCHI YETU YA AMANI.
KAMA HUSOMI SHULE AFU UNA CONNECTION NYINGI....UTAZURURA SANA....NDIO ILIVYONITOKEA....!!!Shule inachukua mda mwingi wa mtu katika kutafuta maisha
 
NAfikiri ni muhimu siku wapelekewe moto wawe na adabu.
Tatizo sisi watu wa misara ila kidogo now umri umetufanya tutulie.Mwanangu Ndagara alitaka kuiba roli la jeshi akawauzie waasi wa kikongo....kule miduha burundi.....ndio kisa cha kujiunga na chama tawala cha akina nkurunziza....huu mkasa aliufanya juzi juzi tu wakati nkurunziza hajafariki...🤣🤣🤣🤣
Sasa huyo ukimkutanisha na James si ndio atataka kuiba au kuwatia mimba wadogo zake wa kike....na walivyo wazuri mpaka kero.....wapo huko kigali washaolewa now.
Na kuna wana kibao wamepiga kimya hawataki kuongelea harakati zao za utafutaji
 
Tatizo sisi watu wa misara ila kidogo now umri umetufanya tutulie.Mwanangu Ndagara alitaka kuiba roli la jeshi akawauzie waasi wa kikongo....kule miduha burundi.....ndio kisa cha kujiunga na chama tawala cha akina nkurunziza....huu mkasa aliufanya juzi juzi tu wakati nkurunziza hajafariki...🤣🤣🤣🤣
Sasa huyo ukimkutanisha na James si ndio atataka kuiba au kuwatia mimba wadogo zake wa kike....na walivyo wazuri mpaka kero.....wapo huko kigali washaolewa now.
Na kuna wana kibao wamepiga kimya hawataki kuongelea harakati zao za utafutaji
Bro umepitia mengi aiseee
 
Hata wa Msumbiji wanaogopa wa Tanzania tunaonekana wajanja wezi 😁ukijifanya mganga wanaita kurandelo ndo kabisa utaogopwa
Tatizo sisi watu wa misara ila kidogo now umri umetufanya tutulie.Mwanangu Ndagara alitaka kuiba roli la jeshi akawauzie waasi wa kikongo....kule miduha burundi.....ndio kisa cha kujiunga na chama tawala cha akina nkurunziza....huu mkasa aliufanya juzi juzi tu wakati nkurunziza hajafariki...🤣🤣🤣🤣
Sasa huyo ukimkutanisha na James si ndio atataka kuiba au kuwatia mimba wadogo zake wa kike....na walivyo wazuri mpaka kero.....wapo huko kigali washaolewa now.
Na kuna wana kibao wamepiga kimya hawataki kuongelea harakati zao za utafutaji
 
Sema enzi hizo hatufahamiani.....siku mzee anauawa mm nipo kibondo sehemu inaitwa mabamba naitafuta Burundi kulikua na dili za kuleta maparachichi kahama....mkuu....nakumbuka sana!!
BARABARA ZA KIBONDO MBOVU KWELI ENZI HIZO......DUUH NIMEMKUMBUKA MZEE KABILA......DUUUH
Sasa hiyo siku anauwawa mie mie niko kigoma..tunatakiwa kuvuka .kwenda upande wa pili tufike mji wa Tanganyika then niliyekua nae anatakiwa afike lubumbashi..hayo masasi yalikuwa yanasikika usiku kucha ila tulifika

Kifupi sipendi kukumbuka huko na ndio maana huwa sitaki hata kuandika kitu
 
Back
Top Bottom