Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WADAU WANAOMBA NIWASAIDIE CONNECTION MIMI SINA HIYANA WALA NYONGO.......ILA MAMBO SIO RAHISI KAMA YANAVYOSIMULIWA HUMU.....KAMA HAUNA UJASIRI NA UTHUBUTU USITAMANI KUINGIA HUKU HIVI VITU NI HATARI HATARI HATARI HATARI MNO KULIKO MAELEZO YA MWANDISHI MNGEJUA MSINGEOMBA CONNECTION SABABU NI HATARI MNO.
NB: Kwa wale wanaoniomba conection za waganga wa kienyeji na wachawi wa nyungu ili..wapate utajiri.....kusema kweli nawaonea huruma sababu risk zake ni kubwa kuliko utajiri wenyewe....jifikirieni mara mbili mbili msiingie sehemu mbaya na za hatari kwa tamaa za mda mfupi wadogo zangu.
Biharamulo........kuna pori hapo....kisumo au kisumi???Kaka heko kwa upambanaji wako mimi Naomba connection roho kwatu nipo Biharamulo mda huu.
Kasindaga??Biharamulo........kuna pori hapo....kisumo au kisumi???
Wenyeji wanaliitaje vile..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mambo humo ndani
Naomba tu mwongozo Kaka kabla sijarudi mjini niweke mambo sawa.Biharamulo........kuna pori hapo....kisumo au kisumi???
Wenyeji wanaliitaje vile..🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna mambo humo ndani
Nitarudi kuweni wavumilivuMbangubangu unazingua Nelson Jacob Kagame
Nitarudi....kuweni na subiraMwandishi kafa
Haha kahakufa jamaaa na mafurikoJamaa kasombwa na mafuriko
Umefanikiwa?Wow,hongera na pole nyingi mkuu,.....nimesoma yoote nimejiona junior kwenye hustle zangu
Japo nipo kwenye mchakato wa kuzamia Korea kusini nikachakalike
Hongera mwanangu.