Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Bado haujaiva kwenye maeneo haya
1. Utunzi ( utunzi wako ni mwepesi)
2. Uandishi ( bado hujajua kuchagua maneno mazuri kisha unacheka cheka sana. Nadhani ukitaka hii iwe kichekesho au ukidhani ndo watu watapenda.

3. Uhalisia ( bado ni story nyepesi ambayo mwandishi hujatumia akili kutunga umesikia tu kwa watu ukaunganisha unganisha matukio na kuifanya yako


USHAURI; JITAHIDI USIKATE TAMAA ILA ZINGATIA HAYO NLIYOKUAMBIA. PIA PUNGUZA KUCHEKA CHEKA au KUTAKA IWE KICHEKESHO WAKATI HAKUNA KINACHOCHEKESHA. NI UJINGA UJINGA TU.
Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
 
Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
Daah.... Mi namtia moto unasema namkatisha tamaa? Namfanya ajifunze zaidi aandike kama mtu mwenye kujielewa. Je ameongeza episode? Kama bado atakuwa anataka mbata sasa... Huo ujinga huwa sitaki. Dogo Nelson Jacob Kagame njoo uendelee hapa watu wapate kiburudisho. Usianze udwanzi wa kuwa mvivu. Nisije kugeuzia kibao.
 
Daah.... Mi namtia moto unasema namkatisha tamaa? Namfanya ajifunze zaidi aandike kama mtu mwenye kujielewa. Je ameongeza episode? Kama bado atakuwa anataka mbata sasa... Huo ujinga huwa sitaki. Dogo Nelson Jacob Kagame njoo uendelee hapa watu wapate kiburudisho. Usianze udwanzi wa kuwa mvivu. Nisije kugeuzia kibao.
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee Wa kuwatia moto!
 
Utoto bwana.

So mtu bado hujamuuzia mzigo anakupa ganji?

Huyu mwingine hajapokea mzigo anakupa ganji?

Hawa wengine hawajamkamata mwizi bado wanakupa ganji?

Mudi hata hamkujua kama yupo Magomeni ila kajitokeza ili akupe laki 9?

Manina
 
Back
Top Bottom