- Mar 29, 2016
- 251
- 496
Chizi Maarifa na shadrackAmri nawaonya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipiChizi Maarifa na shadrackAmri nawaonya
Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi MaarifaBado haujaiva kwenye maeneo haya
1. Utunzi ( utunzi wako ni mwepesi)
2. Uandishi ( bado hujajua kuchagua maneno mazuri kisha unacheka cheka sana. Nadhani ukitaka hii iwe kichekesho au ukidhani ndo watu watapenda.
3. Uhalisia ( bado ni story nyepesi ambayo mwandishi hujatumia akili kutunga umesikia tu kwa watu ukaunganisha unganisha matukio na kuifanya yako
USHAURI; JITAHIDI USIKATE TAMAA ILA ZINGATIA HAYO NLIYOKUAMBIA. PIA PUNGUZA KUCHEKA CHEKA au KUTAKA IWE KICHEKESHO WAKATI HAKUNA KINACHOCHEKESHA. NI UJINGA UJINGA TU.
Hela kuitafuta lazima uumize kichwa mkuusio poa hela ngumu
Upo sahihi kabisa.Chizi Maarifa na shadrackAmri nawaonya
Daah.... Mi namtia moto unasema namkatisha tamaa? Namfanya ajifunze zaidi aandike kama mtu mwenye kujielewa. Je ameongeza episode? Kama bado atakuwa anataka mbata sasa... Huo ujinga huwa sitaki. Dogo Nelson Jacob Kagame njoo uendelee hapa watu wapate kiburudisho. Usianze udwanzi wa kuwa mvivu. Nisije kugeuzia kibao.Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
Mpuuzi anapuuzwaKama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee Wa kuwatia moto!Daah.... Mi namtia moto unasema namkatisha tamaa? Namfanya ajifunze zaidi aandike kama mtu mwenye kujielewa. Je ameongeza episode? Kama bado atakuwa anataka mbata sasa... Huo ujinga huwa sitaki. Dogo Nelson Jacob Kagame njoo uendelee hapa watu wapate kiburudisho. Usianze udwanzi wa kuwa mvivu. Nisije kugeuzia kibao.
Pamoja tajiriNelson Jacob Kagame together tunawakilisha......tupo pamoja
Usibishe kanisani kwetu tumeletewa computer zaidi ya 30 kutoka ujerumani kama msaada ila mpka sasa mchungaji hajasema zipo wapi vikao vinaendelea kimya kimyaChai. Kanisa na used computer wapi na wapi. Ungesema shule au chuo.
Kanisa gani?Usibishe kanisani kwetu tumeletewa computer zaidi ya 30 kutoka ujerumani kama msaada ila mpka sasa mchungaji hajasema zipo wapi vikao vinaendelea kimya kimya
Mpuuzi unampuuziaUsibishe kanisani kwetu tumeletewa computer zaidi ya 30 kutoka ujerumani kama msaada ila mpka sasa mchungaji hajasema zipo wapi vikao vinaendelea kimya kimya
winning faithKanisa gani?