Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
 
Kama kawaida yako. Mzee wa kukatisha tamaa watunzi. Unazingua wewe chizi Chizi Maarifa
Daah.... Mi namtia moto unasema namkatisha tamaa? Namfanya ajifunze zaidi aandike kama mtu mwenye kujielewa. Je ameongeza episode? Kama bado atakuwa anataka mbata sasa... Huo ujinga huwa sitaki. Dogo Nelson Jacob Kagame njoo uendelee hapa watu wapate kiburudisho. Usianze udwanzi wa kuwa mvivu. Nisije kugeuzia kibao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee Wa kuwatia moto!
 
Utoto bwana.

So mtu bado hujamuuzia mzigo anakupa ganji?

Huyu mwingine hajapokea mzigo anakupa ganji?

Hawa wengine hawajamkamata mwizi bado wanakupa ganji?

Mudi hata hamkujua kama yupo Magomeni ila kajitokeza ili akupe laki 9?

Manina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…