Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Mabraza wa Kariakoo na dili zao

Inaonekana walikuwa wahuni kwelikweli na polisi walikuwa na usongo nao sana kupoteza karibu ukoo wote.

Nahisi hata kama kuna waliobaki walibadilisha surname polisi wasiwawinde.
ULIZIA KWA WATU KOMANDO YOSSO WALIKUA WATU WA AINA GANI....WALIKAMATWA NA KUSAMBAZWA JELA ZOTE NGUMU ZA TANZANIA BARA..!!!
WENGINE WALIKUFA KWENYE MATUKIO KAMA WANANGU HAPO JUU...!!
NB: YOSSO SIO UKOO BALI NI NEMBO YA GENGE LA UHALIFU KAMA MAFIA AU MUNGIKI
 
broo hawa machiz wa chai achana nao we tupia mambo tujifunze, nikwambie tu ki2 hapa jf hakuna mtu mpuuz kama mimi hakuna mtu anaejua kudislike kama me, na weng wame ni block wasione hata comment zangu nikisimamia ukucha nakusimamia haswa hata hawa wanaokuletea fujo kwenye huu uzi hawana madhara ni wapuuz tu wanajifunza na hata kule milembe 2020 mm ndio nilikuwa rais wa vichaa tz nzima kwahy umebahatika na kukubalika na mtu kama mimi sio mwingn ni mimi mr pipa aka nabii wao kuwa na aman leta story watu tuelimike
 
EXTRA...02!!!!
Nilinusurika kufa baada ya mabraza kuwaibia wamasai mawe afu wakanipa mzigo niiufiche nirudi nao dar...!!
Hapo tupo singida kwenye harakati za kuelekea babati.....kumbe mabraza wamewapiga wamasai mawe afu wametoroka babati tukakutana nao singida mjini mitaa ya utemini karibia na shule ya msingi utemini.
Mabraza wakanipa kifurushi niwashikie dogo janja kumbe wamewapiga wamasai afu wanafuatiliwa.....Sasa mimi umri wangu wamasai hawakunishitukia kama nilikuwepo katika ule mchongo,,,wao wananiona ""NDITO""sina madhara!!
Mabraza walifumwa nikiwa nao na wakala kichapo heavy na kupigiwa kelele za wezi......kilichowaokoa wakakimbilia polisi kituoni.....mimi pale njiani sikuguswa japokua nilikua nimeongozana na mabraza....🤣🤣🤣🤣 ikabidi niingie kwa wanangu wanyaturu kuna kijiji kinaitwa KASELIYA nikaenda kujificha huko na mzigo wa mawe wa mabraza sikuutupa...!!
Baada ya wiki narudi dar....na mabraza ule msala uliwapelekea jela miaka saba kila mmoja wote watatu...!!
Nilitunza ule mzigo wa mawe kwa uaminifu mkubwa mpaka walipotoka wote maana walitumikia vifungo nusu!!!
Mabraza hawakuamini kama kweli ningeweza kuwatunzia mawe huku nikiwa nasoma sekondari mambo mengi......na walinizawadia ardhi a.k.a kiwanja!!!
Sisi watoto wa kitaa tulikua waaminifu sana kwa mabraza.....imagine nimekaa na mawe ya mamilioni miaka minne na hakuna mtu anaejua....nimeyaficha sehemu najua ipo siku mabraza watatoka..
SIKU HIYO NILISHUHUDIA MABRAZA WAKIPIGWA KAMA MBWA NA WALE WAMASAI NA RAIA HAKUNA KUINGILIA....WAMASAI WANATAKA MAWE YAO....WALIKUA NA VISU NA VIRUNGU.....ILA MABRAZA WALIPONEA CHUPUCHUPU SABABU KITUO CHA POLISI KILIKUA KARIBU.
MIMI NIPO PEMBENI NASHUHUDIA DOGO JANJA NA MZIGO NINAO"""KIDOGO NISEME BASI WASAMEHENI MZIGO NINAO MIMI"""""🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna braza yeye alikua anatengeneza noti bandia afu jioni anawapiga sana wamachinga.......walimshitukia wakamwekea mtego na walipomkata walimpiga kiberiti na story zikaja tu maskani...OYAAH MFAUME AMECHOMWA MOTO NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI KEKO DARAJANI.......!!!!!
Nimeshashuhudia mabraza wanapanga mabegi yao kwa ajili ya safari ya kwenda mombasa kuzamia meli...na hawakurudi....story zikawa walitoswa baharini na wagiriki.
Kuna siku jamaa yangu braza wa kitaa akiniweka bondi dukani na akatapeli mzigo....mimi sijui....afu kawaambia kaeni na mdogo wangu mimi nakuja sasa hivi....kumbe ndio anasepa....
Mm aliniambia dogo janja nisindikize dukani..kumbe braza yupo kwenye misheni ya kusaka minoti.
Ponea yangu ilikua baada ya kukaa sana,nikawaambia.
MBONA BRAZA ANACHELEWA NGOJA NIKAMWANGALIE NA MIMI SIKURUDI,TUKAKUTANA MASKANI NIKAWADITHIA MABRAZA IKAWA BONGE LA UGOMVI,,,,,KWANINI UNATAKA KUMTIA MATATIZONI DOGO JANJA.
Nakumbuka kuna siku mabraza wamekuja na matenga ya samaki wameiba feri na kuyaleta maskani magomeni..
MWENYE MALI KULE FERI KATISHIA KUSOMA ALBADIRI WATU WAFE BAADA YA SIKU TATU. BASI MABRAZA WAKANIOMBA NIWASAIDIE KUYARUDISHA FERI NA NIWAOMBEE MSAMAHA KWA NIABA YAO
MIMI NIKAMTAFUTA USTAADHI MUGISHA MJOMBA WANGU PALE PALE KITAANI MAGOMENI NIKAMPA STORY AFU YEYE AKAENDA KUYARUDISHA KWA NIABA YA MABRAZA NA KUWAOMBEA MSAMAHA MCHANA KWEUPE HADHARANI.....ILA WAKAPEWA ADHABU YA KUTOONEKANA KULE FERI KAMBI YA WAVUVI MWAKA MZIMA NA WAKIJIFANYA WABISHI BASI WATACHEZEA KICHAPO TOKA KWA WAVUVI WA SAMAKI🤣🤣🤣🤣😂.
Enzi hizo barabara ya jangwani to magomeni ipo namna hii pichani.
Screenshot_20231128-161159_1.jpg
Maisha yalikua magumu ukilinganisha na sasa ila tulikua tunaishi hivyo hivyo.
Kuna siku jamaa braza wa kitaani aliuza shamba lake la urithi ili aende south....lakini alipouza tu lile shamba akawa kichaa.....ila ndugu zake walipochukua ile hela na kumrudishia aliyenunua shamba basi akawa mzima.🤣🤣🤣🤣 mpaka leo braza hataki kuuza vitu vya urithi tena.
Kuna jamaa braza wa kitaa yeye alikua maskani haongei kiswahili bali kingereza na kihindi tu.....eti anafanya mazoezi ya kuja kuzamia Goa india..!!
Maskani utawakuta mabraza na paspoti za burundi na rwanda wakijifanya wakimbizi wapewe fursa na UNHCR ili waende CANADA.
Nakumbuka siku ya kwanza mabraza kuninywesha pombe dogo janja......nililewa afu nikaenda kumfanyia vituko bi mkubwa 🤣🤣🤣😂 kesho ikawa msala mpaka shule na nikawataja mabraza ndio walinipa kilevi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ENZI ZA KABLA YA CHAI MAHARAGE
ENZI ZA UDA LEYLAND
ENZI ZA KUVAA MITUMBA NDIO FASHENI.
ENZI ZA KUTOKUKUNJA KOLA
ENZI ZA SODA YA FAHARI
ENZI ZA JEANS ZA MAICKO JACKSON
ENZI ZA MABRAZA NA KALIKITI 🤣🤣
ENZI ZA MABRAZA NA PASI ZA MKAA
ENZI ZA MABRAZA NA MAGGOT
ENZI ZA MABRAZA NA RTD
ENZI ZA MABRAZA NA PICHA ZA STUDIO
MWISHO WA EXTRA 02
ITAENDELEA......!!!!
 
broo hawa machiz wa chai achana nao we tupia mambo tujifunze, nikwambie tu ki2 hapa jf hakuna mtu mpuuz kama mimi hakuna mtu anaejua kudislike kama me, na weng wame ni block wasione hata comment zangu nikisimamia ukucha nakusimamia haswa hata hawa wanaokuletea fujo kwenye huu uzi hawana madhara ni wapuuz tu wanajifunza na hata kule milembe 2020 mm ndio nilikuwa rais wa vichaa tz nzima kwahy umebahatika na kukubalika na mtu kama mimi sio mwingn ni mimi mr pipa aka nabii wao kuwa na aman leta story watu tuelimike
Be blessed mdogo wangu
 
Be blessed mdogo wangu
broo hapa sasa unaharibu mi kukuita bro haimaanish mi ni dogo wa kuitwa dogo nina miaka ya kutosha tu nina wajukuu pia sasa mjukuu wangu akisikia umeniita dogo?? Na msijisahau kwamba hz comment hazitojulikana kuna siku kila mwenye comment na uzi atajulikana hadharan kumbuken teknolojia inakua, sasa kesho mjukuu wako anakuta mambo yako si tayar umedharaulika miaka yote
 
sawa mkuu ila kuna mwamba kanitus sana sijapenda,, nimeahid lazima nimtafute nimvalie condom hawez kuninanga vile yaan anasahau kama mimi popobawa kwakwer toka niwe popobawa sijawah kudharauliwa na binadamu kama alivyo nidharau kale kajamaa we ngoja mbona katanogaaa, kanajua wote binadamu kanasahau huu mtandao tunautumia viumbe wengi oya maxmelo., niongeze cheo hiyi expert members wadau wananidharau,, sasa turud kwenye hoja huyu mtoa mada nimemwelewa na kinachokuboa wewe ni kuweka story ndefu na amaliz ila kwa niaba ya vichaa wote tunaotoka muhimbili namwombea kwa vichaa wenzangu kama wewe, na chizi maarifa tumsamehe mana anasimulia kwa uchungu,, ila yule mwamba alie nitus mwambien namnunulia redbull, baadae namtembelea
[emoji23] msamehe saba mara sabini mkuuu
 
broo hawa machiz wa chai achana nao we tupia mambo tujifunze, nikwambie tu ki2 hapa jf hakuna mtu mpuuz kama mimi hakuna mtu anaejua kudislike kama me, na weng wame ni block wasione hata comment zangu nikisimamia ukucha nakusimamia haswa hata hawa wanaokuletea fujo kwenye huu uzi hawana madhara ni wapuuz tu wanajifunza na hata kule milembe 2020 mm ndio nilikuwa rais wa vichaa tz nzima kwahy umebahatika na kukubalika na mtu kama mimi sio mwingn ni mimi mr pipa aka nabii wao kuwa na aman leta story watu tuelimike
Pipa achana na saundi lete code tumpige muhindi bilioni [emoji23]
 
Back
Top Bottom