Serikalini kuna wezi wengi kuliko waadilifuSasa wanaambiwa muachane na Biashara ya simu mbaki na mkongo wa Taifa tu unategemea nini? Mbona "Rudi nyumbani kumenoga" ilishika kasi! Na kweli kweli tukarudi, Sasa isiweje tuambiwe Tena Leo imepoteza wateja laki mbili?
IGA ina ukomo ndugu yanguIGA haina ukomo, mikataba ya kibiashara ina ukomo unaotegemea ni biashara ipi hapo bandarini.
Kumbuka huyo mwekezaji anaweka pesa zake ambazo ni mtaji wa mabilioni hivyo ni lazima atazame faida inarudi vipi.
Haina ukomo, mikataba ya biashara ndio inakuwa na ukomo.IGA ina ukomo ndugu yangu
Hivi kuna siku na sisi tutaenda kuwa wawekazaji kwa wenzentu kweli?Ninawaelewa sana wenye mawazo kama haya uliyowasilisha hapa, ila huwa nashindwa kabisa huwa hamuendi mbele zaidi na kutaja tatizo la haya yote hasa ni nini?
Hivi serikali zetu hizi na viongozi wao, wao hufanya kazi zao vizuri sana kiasi kwamba huko hatuwezi kuhimiza wawepo wawekezaji ili tupate ufanisi mkubwa huko pia?
Ninavyojua mimi, matatizo yote ya akina TPA, TRA na wengineo chimbuko lake ni huko huko serikalini, kama ulivyogusia mwenyewe.
Mimi nashindwa kabisa kuelewa, inakuwaje mwekezaji afanye kwa ufanisi, kwa msukumo wa kupata faida; lakini mtu wetu mwenyewe, mzalendo wa nchi hii yeye awe ni mtu wa kuharibu tu?
Kwa kweli somo hili hapa huwa silielewi kabisa.
Labda siku moja italazimu nitafute msaada wa 'brain transplant" toka kwa magwiji kama nyinyi, ili nami nipate kulielewa hili jambo vizuri zaidi.
Kwa mwendo huu mnaotupeleka sasa ni kwamba hakuna jambo hata moja tunaloweza kufanya kwa ufanisi sisi wenyewe, bila ya kuwategemea wawekezaji, na hasa hao toka nje!
Ni ajabu sana.
Haiwezekani.Je Mkataba una override Katiba ya either the parties?
Unakwenda mbali sana huko kwenye kuwazia vita.Kwa hivyo nchi zenye IGA between zikawa vitani kupigana. IGA bado inakuwa valid hapo?
Tanzania haina vita kwanini utengeneze wazo la kuiona ipo vitani kisa tu uweze kuhoji juu ya IGA?.Kwa kuwa haiwezekani au IGA imekupiga dafrao?🤣
Aliyekwambia inamilikishwa ni Nani?Mkuu punguza mawenge.
Bandari ni yetu. Tutaingia ubia na siyo kuitoa kwa hao jamaa wanaotaka kujimilikisha
As a private investor yes Ila sio kama public enterprises, akina Azam wapo Rwanda, Burundi na Uganda so InawezekanaHivi kuna siku na sisi tutaenda kuwa wawekazaji kwa wenzentu kweli?
Kwa mjibu wa hawa wenzetu wenye visomo vya vitabuni tu, hilo ni jambo lisilowezekana kabisa.Hivi kuna siku na sisi tutaenda kuwa wawekazaji kwa wenzentu kweli?
Wewe umekwisha changanyikiwa, akili yako haifanyi kazi tena sawasawa!Hizi ni blah blah tupu. hiyo IGA ya DPW inaongelea juu ya kupandisha uwezo wa wafanyakazi wa sekta nzima ya usafiri wa majini, maana yake ni kwamba nguvu kazi yetu ya bandari bado ina uwezo mdogo na hili ni tatizo la afrika nzima.
Tunakuwa na ufundi mwingi wa kuongea lakini ile output yetu inakuwa ni sifuri kabisa.
Hakika umeongea jambo nyeti Sana, hili shirika libinafsishwe Ili hata kwetu huku vijijini tupate umeme si umeme kupewa watu wa mijini tu. Hata TTCL ingekuwa pekee yake Hadi Sasa, wengi tusingekuwa na uwezo wa kumiliki simu.Binafsisheni TANESCO ili tunufaike wote sio bandari ambapo hatujui raia sisi wa chini tumepata nini?
Nchi hii ina IGA ngapi zilizo kazini muda huu?. Umezifahamu zote zilivyo kifungu kwa kifungu?. Kuna IGA nyingine mbili zinakuja hapo hapo bandarini mwezi ujao, unazifahaamu zipo vipi?.Wewe umekwisha changanyikiwa, akili yako haifanyi kazi tena sawasawa!
Utarudia rudia kuandika unayofikiri kichwani mwako, lakini hayatabadili yote yaliyomo ndani ya IGA yenyewe, ambayo sisi wengine wote tumeyasoma na kuyaelewa.
Na bado, mambo makubwa ndio kwanza yanaanza.