Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
- Thread starter
- #221
Rais Samia aliwaomba mabalozi wakaulize nchi walioendelea walitumia uchawi gani...Mpaka sasa nyie watz mmeshashindwa mnataka mshindwe mara ngapi ndo mkubali hamuwezi? TPA inaendesha bandari zote tz Kwa mwezi analeta bilioni 700 na ajiendesha Kwa bilioni 600 so obviously Kwa mwezi anatengeneza faida ya bilioni Mia tu, sasa linganisha na tict kakodishwa gati moja tu lkn kila mwezi analeta faida ya bilioni Mia tatu, njoo Kwa DP world world anakuhakikishia kuwa bandari pekee ya dar atakuwa analeta faida tilioni 26 Kwa mwaka sasa unapingaje dili tamu hili ukiwa na akili timamu kisa wimbo wa uzalendo? Haya nyie wamutumbi mnaojisifu mnaweza kuendesha miradi yenu wenyewe hebu nambie kamradi kadogo tu kamwendokasi kanawatoa jasho kila siku mnasondeka watu na kuku, soko la abiria ni la uhakika kuongeza tu mabasi mmeshindwa kila siku abiria wanapiziana sababu ya mbanano.
Anauliza hilo wakati ripoti ya CAG kaifungia kabatini