Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dakika za jioni dhidi ya JKT Tanzania

Machache yaliyoonekana Simba ikiibuka na ushindi dakika za jioni dhidi ya JKT Tanzania

Hakikisheni tunapata ubingwa
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    33.1 KB · Views: 2
Kwenye hiyo mada namba 2 ninakubaliana na wewe kuwa huyo mchezaji wa JKT ni MWANAFAMILIA HALISI WA SIMBA.

Vilabu vyetu hivi unakuta mchezaji anachezea Mashujaa lakini Moyo upo Yanga
Ni vizuri kama na wengine mmelifikiria hilo.
 
1. Hii ni moja kati ya mechi ngumu msimu huu, JKT wamecheza kwa mbinu na nguvu nyingi dakika zote.

2. Refarii hajafanya kosa kutoa tuta, lile ni tuta, wa kulaumiwa ni mchezaji wa JKT kufanya utoto dakika za mwisho ( inawezekana ni mwanafamilia wa Simba).

3. Joshua mutale apewe mapumziko na program maalumu ili arejeshe fitness yake, hapaswi kupangwa huku akiendelea kuharibu hii itamtoa zaidi mchezoni.

4. Lionel atteba ameongezeka uzito, aambiwe aupunguze au benchi limuhusu.

5. Hii mechi ilimuhitaji zaidi Kibu Denis prosper na sio Joshua Mutale.

6. Naiona dalili ya ubingwa kwa Simba msimu huu, hizi ndizo mechi ambazo Simba ilikua ikipoteza au kutoa sare.

Simba nguvu moja

Soma
- FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024
Unatuona matako Yako siyo? 😂
 
Kocha aache ujinga kwani lazima Mutale acheze.
Pia anafanya sub bila kuangalia wapi panavuja.
Mavambo na Awesu waache kucheza na jukwaa na kukaa na mpira muda mrefu.
Chemalone apewe kipindi bado anarudia makosa yake.
Hamza naye aongeze umakini.
Kocha ashukuru tumeshinda Ila lawama zote zingekuea kwake.
 
Back
Top Bottom