Huu ndio ushajaa wenyewe sasa maana waamuzi wote hawakuona wala wachezaji wa Prison hawakuona na walikuwa karibu na Baka. Pia hakuna malalamiko kutoka Prison ila sisi wa Nkuhungu ndio tumeona na tunalalamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio ushajaa wenyewe sasa maana waamuzi wote hawakuona wala wachezaji wa Prison hawakuona na walikuwa karibu na Baka. Pia hakuna malalamiko kutoka Prison ila sisi wa Nkuhungu ndio tumeona na tunalalamika
Umekimbilia hukuSawa
Hukuangalia Kombe la dunia la msimu ulioishaHakunaga Ubingwa wa penalty, fanyeni usajili dirisha lipo wazi.
Ni vizuri kama na wengine mmelifikiria hilo.Kwenye hiyo mada namba 2 ninakubaliana na wewe kuwa huyo mchezaji wa JKT ni MWANAFAMILIA HALISI WA SIMBA.
Vilabu vyetu hivi unakuta mchezaji anachezea Mashujaa lakini Moyo upo Yanga
Unatuona matako Yako siyo? 😂1. Hii ni moja kati ya mechi ngumu msimu huu, JKT wamecheza kwa mbinu na nguvu nyingi dakika zote.
2. Refarii hajafanya kosa kutoa tuta, lile ni tuta, wa kulaumiwa ni mchezaji wa JKT kufanya utoto dakika za mwisho ( inawezekana ni mwanafamilia wa Simba).
3. Joshua mutale apewe mapumziko na program maalumu ili arejeshe fitness yake, hapaswi kupangwa huku akiendelea kuharibu hii itamtoa zaidi mchezoni.
4. Lionel atteba ameongezeka uzito, aambiwe aupunguze au benchi limuhusu.
5. Hii mechi ilimuhitaji zaidi Kibu Denis prosper na sio Joshua Mutale.
6. Naiona dalili ya ubingwa kwa Simba msimu huu, hizi ndizo mechi ambazo Simba ilikua ikipoteza au kutoa sare.
Simba nguvu moja
Soma
- FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024
Malekani ni wapi?Kibu aliomba likizo fupi yuko malekani
Muda si mrefu mtaanza habari za GSM mara mnahamia Burundi.ushauri wa kusajiri mpe injinia
Simba imetimia
Ulitaka niwe wapiUmekimbilia huku
Unaumwa maviUtopolo hamchukui ubingwa msimu huu..ubaya ubwela
Najua wewe sio bismini mpaka ukae sehemu moja ila hizi mbio zako ndio zinazonitatanisha.Ulitaka niwe wapi
Ndugu yangu peleka pendelezo FIFA kua penati zifutwe.Kubwa zaidi mbeleko mmebebwq
Nyie rukeni rukeni tu ikifika muda mtazileta point zetu either kwa kuchomekewa au mnajichomekea wenyeweNajua wewe sio bismini mpaka ukae sehemu moja ila hizi mbio zako ndio zinazonitatanisha.
Kwanza sibishani na mtu ambaye timu yake ina pointi 1 kimataifa.Nyie rukeni rukeni tu ikifika muda mtazileta point zetu either kwa kuchomekewa au mnajichomekea wenyewe
Hatuwezi bishana sijui mnacheza kombe gani huko kimataifa mpo kundi gani ili tubishane!Kwanza sibishani na mtu ambaye timu yake ina pointi 1 kimataifa.
Umekosa vigezo.