rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Amempa nafasi Mara nyingi Sana, Karabaka Yuko wapi, Manura mbona hapewi nafasi, Kama timu imeshinda ni muhimu apewe nafasi na sio kucheza kamarisikatai Mutale kapotea na anazidi kupotea
Kocha anafanya vile kurudisha confidence yake, mechi iliyohitaji matokeo kama hii ingetosha kabisa kumrudisha mutale mchezoni
Ninachokataa ni mashabiki kusema mutale hana kiwango, mutale wa mechi za mwanzo alikua ni mchezaji pekee anaepress kuanzia eneo la timu pinzani, alikua analeta kashkash mpaka wanajichanganya, hudhuria mazoezi bunju utanielewa kuhusu mutale.