Hatuchezi kombe.Hatuwezi bishana sijui mnacheza kombe gani huko kimataifa mpo kundi gani ili tubishane!
Simlaumu sana kochaKocha aache ujinga kwani lazima Mutale acheze.
Pia anafanya sub bila kuangalia wapi panavuja.
Mavambo na Awesu waache kucheza na jukwaa na kukaa na mpira muda mrefu.
Chemalone apewe kipindi bado anarudia makosa yake.
Hamza naye aongeze umakini.
Kocha ashukuru tumeshinda Ila lawama zote zingekuea kwake.
NuttyHatuchezi kombe.
Tunacheza michuano ya ligi ya shirikisho barani Afrika.
Huku tumeshuka kuirudisha heshima ambayo mwanzo ilipotea baada ya vinabo wachache kuchafua hadhi ya mashindano.
Lipo jukwaa maalum la kujadili michuano ya shirikisho/ kombe la kina mama.Hatuchezi kombe.
Tunacheza michuano ya ligi ya shirikisho barani Afrika.
Huku tumeshuka kuirudisha heshima ambayo mwanzo ilipotea baada ya vinabo wachache kuchafua hadhi ya mashindano.
Mi nahisi wachezaji nao walikuwa wamechoka Jumamosi walikuwa Bukoba wakicheza na Kagera Sugar wasafiri kutoka Bukoba hadi Dar kwaajili ya mechi itakayochezeka Jumanne ambayo ni leo.Ina maana walikuwa na siku tatu za safari,mapumziko na mazoezi kwaajili ya mechi dhidi ya Jkt ambao hawakuwa na safari yoyote au mechi yeyote hivi karibuni.Isingeshinda kwa ku struggle kiasi hiki
Kwani lazima amuingize Mutale, Chasambi ameanza kuchezeshwa baada ya kelele za mashabiki.Simlaumu sana kocha
Kuna namna anakujakuja
Umeanza kukimbilia kung'ata?Nutty
Kipindi chenu ndio lilikuwa lina hadhi hiyoLipo jukwaa maalum la kujadili michuano ya shirikisho/ kombe la kina mama.
Nenda kalitafute.
Walioweka hiyo sheria unadhani hawana akili?Hakunaga Ubingwa wa penalty, fanyeni usajili dirisha lipo wazi.
Uko Burundi mnapo amia hakuna mambo ya Kila mechi penalty.Walioweka hiyo sheria unadhani hawana akili?
Wajinga ndio watakao lalamika kuwa haikuwa penaltyHukuangalia Kombe la dunia la msimu ulioisha
Sio kosa lako
By the way kila kitu kilitabiriwaView attachment 3184117
sikatai Mutale kapotea na anazidi kupoteaKwani lazima amuingize Mutale, Chasambi ameanza kuchezeshwa baada ya kelele za mashabiki.
Labda unisaidie ni mechi gani Mutale amesaidia baada ya kuingizwa sub.
Sahihi kabisa Tena anapaswa kuadhibiwa kijeshi huko kambini kwa kusababisha penati dakika za mwishoAliyewahujumu ni mchezaji wao
Ila kuna ubingwa wa magoli ya mkono kama la Baca au magoli ya offside kama la Baleke?Hakunaga Ubingwa wa penalty, fanyeni usajili dirisha lipo wazi.
Hivi hii mechi iliishaje?
Hizo hasira kwani sio penalty halali?Hakunaga Ubingwa wa penalty, fanyeni usajili dirisha lipo wazi.
Ukweli ni kwamba Mutale hajawahi kuwa na game nzuri toka amekuja Simba. Rudi kaangalie hiyo Simba Day na sijui mechi gani nyingine mnazosema, utakuta Mutale wa mechi hizo ndiyo tunayemuona sasa.sikatai Mutale kapotea na anazidi kupotea
Kocha anafanya vile kurudisha confidence yake, mechi iliyohitaji matokeo kama hii ingetosha kabisa kumrudisha mutale mchezoni
Ninachokataa ni mashabiki kusema mutale hana kiwango, mutale wa mechi za mwanzo alikua ni mchezaji pekee anaepress kuanzia eneo la timu pinzani, alikua analeta kashkash mpaka wanajichanganya, hudhuria mazoezi bunju utanielewa kuhusu mutale.