Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu
Bridger Fang huyu mtu kachafua uzi na malink yake ya hovyo karibia uzi mzima.
Embu fanyeni kitu sio ustarabu.
Wana jamii forums wengi sana na watanzania wengi sana wamefaidika na hivi vitabu tunavyo post. Wewe kama hufaidiki na hizi post zetu za matangazo ya biashara ni vyema ukawaachia wenzako wafaidike. Tunataka wanajamii forum wafaidike na jukwaa hili. Tupo seriously hatupo kuchekacheka kwenye hili jukwaa.
 
Wana jamii forums wengi sana na watanzania wengi sana wamefaidika na hivi vitabu tunavyo post. Wewe kama hufaidiki na hizi post zetu za matangazo ya biashara ni vyema ukawaachia wenzako wafaidike. Tunataka wanajamii forum wafaidike na jukwaa hili. Tupo seriously hatupo kuchekacheka kwenye hili jukwaa.
Sawa meneja uchwara, hucheki na wowote
 
Sawa meneja uchwara, hucheki na wowote
Kitabu kimejaa namba za simu za suppliers wanao uza bidhaa Kariakoo kwa bei nafuu na mitaa yake. Hicho kitabu lazima kifungue milango ya biashara kwa wanajamii forum walio seriously na biashara.
 
Kama kuna mfanyabiashara anataka kuenda hiyo mitaa tajwa hapo juu alafu hajui aanzie wapi kijana wangu anaweza kuenda nae atampoza kidogo baada ya matembezi mafupi na kumuonyesha machimbo.
Inbox please tuyajenge mkuu
 
Back
Top Bottom