Machimbo ya kupata mikopo rahisi kwa njia ya simu

Hii Kwa simu nyingi haina hii feature
 
Pesa x na lipesa mbona nikitu kimoja mtaalam
 
Mkuu hii pesaX ina mlolongo na ubabaishaji katika kujiunga na kukopa?
Ahaa mtani naona umetufokea kule kwenye sports sio mchezo
Mkuu kujiunga unajiunga Tu na inatoa mkopo kuanzia elf 20 Ila unalipa baada ya wiki riba mlima kwenye kujiunga pale kupiga picha kaa sehemu yenye mwanga Safi pia inakwambia u bendi kidogo shingo na usmile inakaa poa wahudumiaji wao wasumbufu Sana kabla aijafika siku washapiga simu naona nao ndio malipo Yao yanatokana na mtu anavyolipa

Hapa chini ni baadhi ya mikopo niliochukua na kulipa mpaka sasa japo saizi sijachukua bado ukishajisajili itakulazim usubiri zaidi kama siku tano au zaidi waki confirm identity zako kwangu ilikua ivyo kila la kheri
 
Nilichukua 15 nikalipa 18600
Nikachukua 25 nikalipa 31000
Nikachukua 30 nikalipa 37200
Nazani umeona izo riba
 
Mtani nashukuru ngoja nichukue chap nusu nilipe kiingilio nikawatazame mabingwa pale kwa mkapa nusu nimpe Yanga win & over 2.5 chap pesa inarudi nalipa deni 😀
 
Hii ni kampuni gani na mkopo wanaprocess baada ya muda gani ukisha jisajili???
 
Tupe namna ya kukopa
 
Hii nayo niyakitapeli

Hii ipo sawana
L PESA
KOPESHA POA na
MKOPO EXTRA


Imagine hata email na password ni Moja





Na hizi za chini yàke
Kuanzia MKOPO APP Hadi nufaika loan ni kitu kimoja Uhuni wa ajabu kabisa View attachment 2521410
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaan hamna siku nimecheka kama leo ,sasa mkuu hizo Apps zote za mikopo daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…