Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Kuna siku nimetoka mjini na rafiki yangu nampeleka home wamfahamu, asa kufika mbezi mwisho stend wapiga debe wakaanza kumsumbua rafiki yangu naona walipenda dredi zake walikuwa wanamshobokea rasi rasiiii, wakaanza kumshika mkono heee😲😲 saa ngap rafiki yangu asikasirike, et akataka kupigana na njemba watanoπŸ™†πŸ™†πŸ™†.

Mimi mda huo pozi limeniisha nawaza akipigana nao ataweza? afu Mimi ni Kama best yke nitamsaidiaje na niweng siwawezi pia. Ilibidi nim bembeleze ila asira akanomalizia mimi kwann nawatetea πŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Kwahiyo picha lilimalizikaje sasa
 
Sijawahi shuhudia huo udhalilishwaji unaosemwa na kama ipo hivyo inasikitisha sana. Ila pamoja na yote lakini muonekano wa mtu nao nadhani unachangia
 
Uliikosea sana,ningekua mimi hapo ningeinunua shoo yaani tungeungana wawili tungegaragaza hizo njemba mpaka ziite maji mma
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Daah napendaga marafiki wa hivi baaalaaa
 
Ninaona kama umekatwa mikono kiasi kwamba huwezi kusugua kucha zako bidada
Kusuguliwa kucha hapana, naona kinyaa, yaani mtu mikono yake inasugua kucha za kila mtu halafu na mimi nimuwekee miguu yangu kana kwamba mie kilema, hapana huwa nanunua vifaa vyangu najisafisha mwenyewe na kujipaka rangi

Wale vijana sijui hata hygine yao ipoje, huwa hawavai hata gloves, na hawachukui pre cautions wanapodeal na wateja, imagine yeye anaosha miguu ya machangudoa, mashangingi na aina mbalimbali za watu kwa kutumia kibeseni hichohicho, mikono hiyohiyo ambayo hata hatumii gloves, na vifaa hivyohivyo, halafu na wewe unaenda unaweka miguu yako hapo
 
Wewe nimwanamke anaejielewa. Vipi shemeji hajambo
 
Picha ikwapi sasa, ungeshikwa na Diamond ungekuja kufoka huku mxieeeeeeeeeeeeeeeuuuuuuuu, any way kuna jamaa siku moja napita mwenge pale akakutana na pisi kali inakuja kwa mbele akazuga hana kwa kupita akaisogelea akaanza kuichezea titi pisi kali ikapigwa na butwaa kwa sababu jamaa anamvuto ikavunga angekuwa mpiga debe tungesikia kelele.
 
Mhhh!!! Bila shaka ushashikwa matako wewe. Sasa dada, kama unajitembeza barabarani nusu uchi unataka nini? Kama sio tango? Skuzote jinsi unavojiweka ndo watu watakuchukulia hivohivo.

Ukija mahakamani kushtaki Huku umenivalia ovyo na Tako lako kubwa lazma na mie nilishike tuu, hamna namna Si ndo mnavotaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…