Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Ila nilichogundua hapa wadada wanabagua
Yaani ni machinga na bodaboda tu ndio wanalalamikiwa hapa
Kuna wengine naamini wanaendaga sehemu za starehe na wanakumbana na dhahma kama hizi sema kule sabb mtu anakuwa ameshika remy martin na funguo ziko kiunoni basi kimyaaaaaaaa 😁
 
Nitumie picha yako ili niwakataze machinga wenzangu wakikuona wasikuguse
 
Ila nilichogundua hapa wadada wanabagua
Yaani ni machinga na bodaboda tu ndio wanalalamikiwa hapa
Kuna wengine naamini wanaendaga sehemu za starehe na wanakumbana na dhahma kama hizi sema kule sabb mtu anakuwa ameshika remy martin na funguo ziko kiunoni basi kimyaaaaaaaa 😁
Machinga wanalalamikiwa kwa sababu wadada wengi wanaenda sokoni kununua bidhaa na wanakutana na bugdha za hao machinga, ukija upande wa bodaboda pia ni mazingira ya vituo vya mabasi au sehemu ambazo watu wanapita, tofauti na maeneo mengune sio kila mtu anaenda bar au disco au kwenye kumbi za starehe za hovyo hovyo zisizo na staha
 
Hao watu wanakera sana huko masokoni. Mi huwa nakuwa mkali sanaa, sitaki kuguswa na huwa sigeuki. Hata wale wapiga debe wa stendi ya magufuli, wanakulazimisha kukata tiketi, hata kama unaenda kumpokea mtu. Siwajibugi kabisaaa, Ila wanaboa sana.
 
Picha ikwapi sasa, ungeshikwa na Diamond ungekuja kufoka huku mxieeeeeeeeeeeeeeeuuuuuuuu, any way kuna jamaa siku moja napita mwenge pale akakutana na pisi kali inakuja kwa mbele akazuga hana kwa kupita akaisogelea akaanza kuichezea titi pisi kali ikapigwa na butwaa kwa sababu jamaa anamvuto ikavunga angekuwa mpiga debe tungesikia kelele.
Kama kwako unaweza kubali kudhalilishwa na huyo Diamond ni wewe, mimi kushikwa bila ridhaa ni udhalilishaji bila kujali aliyenishika sipendi na itanikera kama navyoshikwa na mpiga debe tu.
 
Kama kwako unaweza kubali kudhalilishwa na huyo Diamond ni wewe, mimi kushikwa bila ridhaa ni udhalilishaji bila kujali aliyenishika sipendi na itanikera kama navyoshikwa na mpiga debe tu.
Unajichetua tu hapa kujipa thamani we akushike Justin Bieber we uongee acha zako, hizo tabia za kushikwa mnazo nyie wadada wavaa hovyo kwa wakaka huwa haitokei akashikwa nyonyo sijui tako hizo ni tabia zenu kwa namna mnavyojiweka me mwenyew nikiri tu hapa nisiwe mnafiki ukinivalia kimini lazma nikushike tako, wenzako nishawashika nikiwa maji sio mmoja hata na hawajishengendui wanatulia tuli.
 
Wanakera sana
Huu ni udhalilishaji wa kijinsia mbona? Tanzania bado watu wanaishi kama wako zile zama za mawe. Machinga wanaposhika wanawake lengo hasa siyo kutangaza bidhaa bali ni kupunguza tamaa zao angalau kwa kushika. Hii imeshakuwa kama culture yetu na kuja kuiondoa tena ni vigumu mno.
 
Back
Top Bottom