Machinga kuwashikashika wanawake inakera sana!

Kumbe yule ilikuwa ni wewe?? 🀣🀣🀣
 
Hii ni kweli mkuu me nilivyofanya kwenye mwendo kasi ni kuvalia begi kwa mbele tofauti na hapo na ugumu wa miaka 20 ningejichafua bure demu hana hata habari.
 
Alikuonea tu huruma πŸ˜†
 
Tatizo ujuzi wangu kichwani hauakisi ule wa vitendo.
Nina uwezo wa kupiga flying kick kama Van Damme ndani ya kichwa ikija katika uhalisia sasa ni mambo mengine🀣🀣🀣
Mkuu kama una imagination, ukijiunga Taekwondo class you will the best student, maana utakua unaweka imagination kwenye vitendo, ndani ya miezi miwili utakua na uwezo wa kugaragaza kijiji kizima
 
Mkuu kama una imagination, ukijiunga Taekwondo class you will the best student, maana utakua unaweka imagination kwenye vitendo, ndani ya miezi miwili utakua na uwezo wa kugaragaza kijiji kizima
Hunitakii mema wewe🀣🀣🀣.
Unajua jinsi mfupa wa mtu mzima unavyochukua muda kuunga ukivunjika.
I think it's wise to let the skills in my head remain there only. Kihalisia tutatumia mawe, fimbo na bunduki tu.
 
Hunitakii mema wewe🀣🀣🀣.
Unajua jinsi mfupa wa mtu mzima unavyochukua muda kuunga ukivunjika.
I think it wise to let the skills in my head remain there only. Kihalisia tutatumia mawe, fimbo na bunduki tu.
Ni muhimu kuwa skills si unaona hawa jamaa wajinga jinga kama machinga au makonda wakisumbua huna haja ya kutumia fimbo wala bunduki, kuna vibaka uchwara pia ambao huwa wanayisha watu, kwanza unakuta hujatembea na hivyo vitu wakati tukio linatokea, ila ukiwa uko fiti yaani muda wowote unapambana, fita ni fita mraa
 
Mda huu nakatisha hapa mwenge muuza viatu amenishika bega eti oya sister viatu tujaribuu...nkamjibu hadi unishike jaman? Akajibu nimependa mwili wako....kwa hasira nkamjibu kapende wa mkeo
Hutaki kusifiwa 😁
 
Wale wamachinga hawanaga adabu hata uwe umevaa dera au gunia watakushika tu acha kupotosha, hat uwe umetoka kanisani umevaa kama sista watakushika tu, by the way wasiwe sababu ya kuwanyima watu kuvaa kwa uhuru
 
Mda huu nakatisha hapa mwenge muuza viatu amenishika bega eti oya sister viatu tujaribuu...nkamjibu hadi unishike jaman? Akajibu nimependa mwili wako....kwa hasira nkamjibu kapende wa mkeo
Mtembezee teke na ngumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…