Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tatizo gani ukiwaita na kuwaelekeza njia nzuri ya kufanya biashara zao kuliko kuwawinda na kuvunja meza na kupora mali zaoNchi /nyumba isiyokuwa na mpangilio ni jalala.
Yah!! Ili wakome na wasirudi tena maamae!! Ngoja nikafue zile kombati zangu za mgambo sasa, hazijafuliwa miaka 7 maanina zake!!Kuna tatizo gani ukiwaita na kuwaelekeza njia nzuri ya kufanya biashara zao kuliko kuwawinda na kuvunja meza na kupora mali zao
Ni wa korofi!! Wajue kuna taratibu na sheria!! Huwezi weka vitu vyote sebuleniKuna tatizo gani ukiwaita na kuwaelekeza njia nzuri ya kufanya biashara zao kuliko kuwawinda na kuvunja meza na kupora mali zao
Kama hujui taratibu za miji bora ukakaa kimya tu maana hamna unachojua.SHAME ON YOU.
Sure.Strong institutions are made by strong persons
Inawezekana kukawa na strong Institutions already lakini akaja kiongozi/ strong person akazi-weaken hizo institutions kwasababu ya matakwa yake.Sure.
Tujifunze kuishi kwa kufuata sheria, kuwa machinga hakukupi haki ya kufanya biashara popote bila kufata utaratibu. Bado wale wa Kariakoo na stendi ya mbezi.Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Inawezekana tulikuwa na strong Institutions tangu siku nyingi!!!Yop!! We do have strong persons already,now we need strong institution!! Got it?
Ni waharibifu snHao Machinga nao uwa sio wastaarabu
Kabisa miji inakuwa michafu snTujifunze kuishi kwa kufuata sheria, kuwa machinga hakukupi haki ya kufanya biashara popote bila kufata utaratibu. Bado wale wa Kariakoo na stendi ya mbezi.
Lazima tubadilike tuwe na majawabu ya kudumuMachinga kufanya biashara popote haikuwa solution ya muda mrefu bali ilikuwa opinion ya mtu mmoja na hakuna mtu anaishi milele ila systems zinaishi milele.
Nadhani department husika zitatafuta solution ya muda mrefu ili kutatua hiyo changamoto once and for all.
Suggestion yangu ni serikali itenge budget ya kujenga miondombinu bora kwenye maeneo maalum na hawa machinga wakafanye biashara zao huko.
Hiyo ndio best solution.
Hakika ni mambo ya ajabu snkama wanasababisha uchafu, fukuza kabisa ili wajifunze. kuna mambo usipokuwa mkatili kidogo hayatakuja yawe mazuri. Tz ukitoka nje ukishuka tu hadi harufu ni tofauti uchafu all over. watengenezewe mazingira maalumu, ila mtu kuamua kutenga sufuria la wali pembeni mwa barabara, hakuna choo, hakuna sehemu ya kutupa taka, mara anaosha mavyombo, utakuta mwingine ameamua kupanga matunda chini barabarani, mwingine amepanga nguo sijui nini, hakuna utaratibu. tutaishije bila utaratibu?
Hasa huku Mwanza machinga wameziba barabara zote, serikali tiifu imulike na huku Mwanza.Kabisa miji inakuwa michafu sn