Machinga waanza kunyanyaswa rasmi hawatakiwi huu si wakati wa wanyonge

Machinga waanza kunyanyaswa rasmi hawatakiwi huu si wakati wa wanyonge

Soko la Ndugai plale Dodoma halina watu kisa watu wote wako barabarani no wakati sasa nchi iwe nchi
 
Baba JPM aliwadekeza kupitiliza ndio maana mnaona kuwa wanadekezwa wakati ndivyo ilivyopasa kuwa.

Vv
 
mtazamo wangu...

serikali ya Tanzania inajichanganya sana kwenye swala la kuwa socialist ama capitalist state!

Mnachanganya wananchi! majukwani mnasema sisi masikini tujikakamue tutoke baada ya muda mfupi mmegeuka mnawakumbatia 'makatipalisti'. kigeugeu chenu kina sababisha 'sintofahamu' kwa wananchi wenu.

hasira zao kwa sasa kama percentage zipo 9999% tukizingatia kuanzia uhuru wa nchi!
 
Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..

View attachment 1759457
Sasa nchi lazima irudi kwenye sheria na sio matamko ya mtu mmoja!!na zoezi hilo naomba liende na dar kwani ndio baba lao kwa kero hiyo, yaani service road zote ni wao mwenye haki ya kupita kagongwe na magari huko!!!na aliwatumia hao kama kichaka chake cha wanyonge!!!mtu unawekewa biashara mbele ya duka lako, ukisema kosa!!
 
Mwandazake alitaka kura zao tu na kuwatumia kisiasa tu.Angekuwa anawapenda angewaboreshea mazingira mazuri ya kufanya biashara
 
Biashara ufanyika sokoni na sio barabara ni kwa ajili ya magari.
 
Back
Top Bottom