Machinga wanapotoa Somo, Makamanda tunakwama Wapi?

Hao wamachinga wakati wanabebwa na Serikali hiyohiyo walikuwa wanakata viuno, hawakuwa na time na wapinzani. Sasa wamegeukwa wanalialia. Upinzani hauna kitu cha kujifunza kutoka kwa hao wahuni.

Serikali inawaogopa machinga na boda boda. Wanachotaka wanapata. Hao wakitaka mchakato wa katiba mpya uanze kesho unaaanza.

Kwanini inawaogopa? Kwanini serikali haituogopi sisi?

Yet hatuna cha kujifunza?

Waungwana kujifunza hata kwa chizi hakuna maana ya kuchukua yote.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Machinga ni ng'ombe wa maziwa wa CCM; CDM ni competitor wa maziwa. Can't you see a difference? Wewe upo tayari Ng'ombe wako wa maziwa afe?! Maziwa utapata wapi?
 
Kweli mapenzi ya BINTI KIZIWI HAYA SIJUI KAMA MIIMILI HAIJAONGEA KWA AJILI YA SPECIFICATION ZA MIILI YA WATU LAANA NUKSI (WANACHAFUA MIJI NA KUTUUZIA VITU VILIVYOOZA NA WANA MAPENZI YA KUFA NA KUOZA - WATOTO WAZURI HAWATAKIWI KUFIKIRI HATA SALAMU)
 
Kweli mapenzi ya BINTI KIZIWI HAYA SIJUI KAMA MIIMILI HAIJAONGEA KWA AJILI YA SPECIFICATION ZA MIILI YA WATU LAANA NUKSI (WANACHAFUA MIJI NA KUTUUZIA VITU VILIVYOOZA NA WANA MAPENZI YA KUFA NA KUOZA - WATOTO WAZURI HAWATAKIWI KUFIKIRI HATA SALAMU HOYEE)
 
uko nje ya mfumo mkuu ndio maana unaongea kiurahisi, siku ukabidhiwe nchi kila kijiji na kila idara inakuskiliza wewe ndio utakapokufa kwa presha kabla hata hujatekeleza ilani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…