Sio mtaji ni mauzo kwa mwaka.Anayestahili kupewa kitambulisho ni mfanyabiashara mdogo yoyote aliye na mtaji wa -4000,000/=. Mengine hayo ni tafsiri yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mtaji ni mauzo kwa mwaka.Anayestahili kupewa kitambulisho ni mfanyabiashara mdogo yoyote aliye na mtaji wa -4000,000/=. Mengine hayo ni tafsiri yako.
Hii hata Kariakoo ipo kwa wale wauza Simu,utaina duka moja lina vikabati vingi ujue hapo kila Mtu na kikabati chake anafanya biashara. Sasa nashangaa hawa ndugu zetu wanaopanga biashara zao barabarani na kwenye mitaro.Mjini Kampala ukienda luwum street utaamini hili
Machinga wanajiunga wanne mpaka watano wanakodisha frame ila ndani ya fremu kila mtu anauza chake
Pia hapa Tanzania
ifike mahali machinga waungane wakodi fremu na sio kuhodhi brbr za watembea kwa miguu
Wapi tunafeli kuwapanga machinga kila wakati makundi ya machinga yanaongezeka
Tusitumie nguvu kubwa kuwapeleka kwenye masoko la hasha wapewe elimu ya namna ya kupanga frame kwa watu wanne watano ili nao walipe kodi
Kariakoo mbona wauza simu wanaungana watu zaidi ya watatu wanakodi fremu na biashara wanafanya?HAIWEZEKANI watu wa kaliba tofauti muungane mkodishe fremu Kariakoo ya 1,000,000 muuze sidiria mwingine madera, haya mawigi nk hamtaelewana chumba kimoja, km mama ntilie tu kuuza chapati mwingine mihogo au maharage mtaa mmoja hawapatani sembuse Machinga
Dawa ni kuwatoa wakatafute mbali na maduka ya wenzao wanauza vifaa vya electronics, au vya umeme huwezi weka Wamachinga
Vingunguti Scania
Kata Kiwalani Dar es Salaam
Tanzania
WAMACHINGA WAANZA KUTII AMRI, WAPANGWE UPYA
Sasa wapita kwa miguu wanatembea katika maeneo yao bila hatari ya kugongwa na magari. Kuvunjwa kwa vibanda mji unaanza kurudisha sura yake na pia usalama waongezeka. Shukrani ziuwendee uongozi wa mkoa chini ya RC Amos Makala na timu yake kwa uthubutu.
Machinga walia kwa kulaani hatua hiyo, lakini hawajali hali na haki za wakaazi wengine wa jiji hili maarufu la Dar es Salaam.
Kwani sheria ya mipango miji inasemaje?...Haya ni mawazo yako, hebu tuwasikie na wao huenda wana hoja zenye mashiko zaidi ya wewe
Mliwapelekea kodi wakagoma kulipa?Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi?
Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana?
Mpaka wakae kila Kona ya mtaa. Ebu tuache ushamba basi
Nashauri Machinga wathibitiwe Kama wanagoma vibanda vyao vyote vichomwe hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiolipa Kodi, kufuata Sheria na katiba ya Nchi .
Mbaya zaidi kupoka haki za wengine hii haikubaliki hata kidogo lazima tuwe taifa la mfano.
Na mikoa yote ondoeni Machinga wenye mitaji mikubwa wakapange fremu wauze online bidaa zao wafanye derivali.
Wenye mitaji midogo watengewe viwanja vikubwa viwe Kama minada wafanye uko mbona kila mkoa unayo maeneo?
Makala nakushauri vunja kabisa kila kitu maana wabongo Ni wabishi Sana bila kuwavunjia hawataondoka kwa heri.
Tujenge Nchi tuache kufanya kila kitu siasa. Siasa ndio imetufikisha hapa tulipo.
Maeneo kuyapata ni mtihani maana ni wengi sana. Serikali iboreshe tu miundombinu ya kilimo ili influx ya vijana kurlekea mijini ipungue.Mkuu, hao ndio wanarudi kitaa kutafuta pesa kwa ngeta!
Hivyo tukae mkao wa kutulia, tusubiri yajayo.
Nadhani kungekuwa na smooth transitiin ya maeneo wanayopaswa kufanyia biashara zao, na si kibabe kama ilivyokuwa leo vingunguti.
We Chief vp? Kwa nini isiwezekane? Lakini je, lazima iwe Kkoo?HAIWEZEKANI watu wa kaliba tofauti muungane mkodishe fremu Kariakoo ya 1,000,000 muuze sidiria mwingine madera, haya mawigi nk hamtaelewana chumba kimoja, km mama ntilie tu kuuza chapati mwingine mihogo au maharage mtaa mmoja hawapatani sembuse Machinga
Dawa ni kuwatoa wakatafute mbali na maduka ya wenzao wanauza vifaa vya electronics, au vya umeme huwezi weka Wamachinga
Na kujisaidia piaMitaro imekua dampo yao ya kutupa takataka
Usitete ujinga mkuu, nyeupe iwe nyeupe na nyeusi sema nyeusi. No matter machinga ana mtaji wa aina gani, lazma tuzingatie madhari na usafi wa miji yetu. Huwezi kufanya biashara popote pale utakapojiskia. Iyo haikubaliki.Wachache sana wenye mitaji hiyo mkuu wengi tunaona wanabangaiza tu tena juani kwa shida mm naona serikali iwekeze sana kwenye kilimo kiwe na tija uone km vijana watakia wanajianika juani kama hivi ila kwa kiwavunjia na kupola mali zao kwa hali ilivo ngumu na colona ilivo shusha uchumi ni lazima tu wananchi wajenge chuki na serikali
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Hakuna kunuka Bali mtanukiaMmetugusa ngoja tunuke
Watanzania wanapenda kuishi kwa ujanja ujanja tu.Thanks ok,hata Mimi nimejiajiri na nalipaga Kodi na mtaji wangu Ni kama milion 5 tu na Nina fremu
Hapo Kuna Machinga kasema mtaji wake Ni milioni 15 lakini Cha kishangaza ameanika vitu vyake nje.
Huu Ni upumbavu kuwa na mfanyabiashara mwenye mtaji mkubwa vile na alipi Kodi.
Masoko na minada ipo kila Mkoa/Wilaya/ mpaka ngazi ya kata. Haya ndio maeneo yanapofanyika biashara za namna hiyo, Ukisema watafutiwe na nani tena wakati Maeneo yapo tangu enzi na enzi.Watafutiwe maeneo ya kufanya biashara
Umezuunguka Sana,Hawa waliruhusiwa kwenye utawala uliopita,utawala uliopita ulikuwa haujali Mambo madogo madogoWatu wanalalamika kuhusu wamachinga lakini kiukweli hii ishu ni funzo kwetu sote. Vijana tumekosa ubunifu wenzetu machinga wapo lakn si sana kama huku kwasababu watu wamafanya biashara nyingi online. Huku ukitaja online wanakwambia changamoto kubwa ni uaminifu kuna biashara isiyo na changamoto? Solve hyo changamoto na tunaishi kwa mazoea na kuwaamini wana siasa haijalish ni chama gani ila wanasiasa si sakuwaamini......
Uvunjwaji wa Sheria na Katiba unafanywa na machinga tu? Polisi, Bunge na Serikali huoni wanachofanya kwa raia na makundi mbali mbali?Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi?
Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana?
Mpaka wakae kila Kona ya mtaa. Ebu tuache ushamba basi
Nashauri Machinga wathibitiwe Kama wanagoma vibanda vyao vyote vichomwe hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiolipa Kodi, kufuata Sheria na katiba ya Nchi .
Mbaya zaidi kupoka haki za wengine hii haikubaliki hata kidogo lazima tuwe taifa la mfano.
Na mikoa yote ondoeni Machinga wenye mitaji mikubwa wakapange fremu wauze online bidaa zao wafanye derivali.
Wenye mitaji midogo watengewe viwanja vikubwa viwe Kama minada wafanye uko mbona kila mkoa unayo maeneo?
Makala nakushauri vunja kabisa kila kitu maana wabongo Ni wabishi Sana bila kuwavunjia hawataondoka kwa heri.
Tujenge Nchi tuache kufanya kila kitu siasa. Siasa ndio imetufikisha hapa tulipo.