Nadhani cha kufanya wajiunhe hata 10 ikibidi, wachukue fremu na wafanye bishara rasmi
Mbona hata wauza simu kariakoo wanafanya hivMjini Kampala ukienda luwum street utaamini hili
Machinga wanajiunga wanne mpaka watano wanakodisha frame ila ndani ya fremu kila mtu anauza chake
Pia hapa Tanzania
ifike mahali machinga waungane wakodi fremu na sio kuhodhi brbr za watembea kwa miguu
Wapi tunafeli kuwapanga machinga kila wakati makundi ya machinga yanaongezeka
Tusitumie nguvu kubwa kuwapeleka kwenye masoko la hasha wapewe elimu ya namna ya kupanga frame kwa watu wanne watano ili nao walipe kodi
Hayo uliyosema ni kwa mujibu wa Sheria gani?.Anayestahili kupewa kitambulisho ni mfanyabiashara mdogo yoyote aliye na mtaji wa -4000,000/=. Mengine hayo ni tafsiri yako.
Sielewi kama vitambulisho vya wajasilia mali wadogo kuna sheria ama kanuni gani iliyoasisi kuanzisha vitambulisho hivyo.Hayo uliyosema ni kwa mujibu wa Sheria gani?.
Hakutumia Sheria yoyote...Sielewi kama vitambulisho vya wajasilia mali wadogo kuna sheria ama kanuni gani iliyoasisi kuanzisha vitambulisho hivyo.
Mi niliona tu Rip Jpm akivipromote.
🖕Kwani sheria ya mipango miji inasemaje?...
Ndio maana mnamaliza vyuo mkiwa hamna akili kichwani
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi?
Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana?
Mpaka wakae kila Kona ya mtaa. Ebu tuache ushamba basi
Nashauri Machinga wathibitiwe Kama wanagoma vibanda vyao vyote vichomwe hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiolipa Kodi, kufuata Sheria na katiba ya Nchi .
Mbaya zaidi kupoka haki za wengine hii haikubaliki hata kidogo lazima tuwe taifa la mfano.
Na mikoa yote ondoeni Machinga wenye mitaji mikubwa wakapange fremu wauze online bidaa zao wafanye derivali.
Wenye mitaji midogo watengewe viwanja vikubwa viwe Kama minada wafanye uko mbona kila mkoa unayo maeneo?
Makala nakushauri vunja kabisa kila kitu maana wabongo Ni wabishi Sana bila kuwavunjia hawataondoka kwa heri.
Tujenge Nchi tuache kufanya kila kitu siasa. Siasa ndio imetufikisha hapa tulipo.
Magereza yapo yanawasubilia kwa watakaobahatika kufikishwa polisi, nadhani wengi wao ule wimbo palapanda litalia, utawahusu!!yaani waachwe tu kwa wanayofanya eti kisa watakuwa wezi?!!hao ukitumia siasa sana hawataenda, huko wao wanataka sehemu wanayopenda wao na sio sehemu inayowaruhusu kufanya biashara, sehemu ambapo watu wanapita pita na sio sehemu ambayo mtu itabidi kuwafuata!!hao wa vingunguti usione serikali imekaa kimya, ni kuwa kwa chini chini imebariki kutendo hicho, na zamu hii hutamsikia Mh.rais anawapiga mkwara watendaji!!kwani hujasikia huko songwe eti maeneo waliyoonyeshwa ni nje ya mji, hawaendi, wanataka serikali inunue nyumba hapo hapo mjini ndio wawekwe, watu hawa ndio utumie siasa??zamu hii hata kama ni makomandoo wa JWTZ, watatakiwa kutumika watatumika tu!!ndio kilio cha kumlilia mwendazake kisikike vizuri.Mkuu, hao ndio wanarudi kitaa kutafuta pesa kwa ngeta!
Hivyo tukae mkao wa kutulia, tusubiri yajayo.
Nadhani kungekuwa na smooth transitiin ya maeneo wanayopaswa kufanyia biashara zao, na si kibabe kama ilivyokuwa leo vingunguti.
Kumbe hata wewe hujui unachokitetea, yaani mtu mwenye mtaji wa milioni 4, huyo ni machinga?kitambulisho hicho hakihusiani na mtaji wa biashara bali mapato(turnover)ya mwaka.ki uhalisia ukitaka kutenda haki hata muuza kahawa, mama lishe, muuza machungwa, genge hastahili kuwa na hicho kitambulisho bali anatakiwa kwenda TRA, na kukadiliwa kodi ya mapato.ilikuwa ni siasa tu kuona hawa lazima nao wachangie kodi serikalini kutokana na nature ya biashara zao, ni ngumu kuwasimamia.yestahili kupewa kitambulisho ni mfanyabiashara mdogo yoyote aliye na mtaji wa -4000,000/=. Mengine hayo ni tafsiri yako.
Huna njaa! Huna shida wewe. Ukijaribu kuchangia jaribu kujiweka kwenye nafasi za hao majamaa.
Hayo ni maisha ya watu na ni wapi huko frem hazina watu kama kkoo mbona frem zimejaa tatizo mnataka watu wahangaike wakati wamejiajiri kutafuta riziki.Kama serikali ingekua imewekeza kwenywe viwanda na kilimo vijana wengi wangekua wako kwenye ajira.Hili ni bomu kubwa sana linaandaliwa
Nyie watu mliokulia kotoz mnanyodo Sana hamjui nini maana ya shida
Mji unaonekana mchafu kutokana na wamachinga kuingia adi barabarani. Inakuwa ngumu kama mnapishana na magari mzehe. Kwangu mimi ingependeza wakatafutiwa uwanja. Nchi zilizoendelea uwezi kuta haya.
Huyu msukuma ni ni kutoka kwenye kundi la sukuma gang kwa hiyo hatumshangai ,,awaelekeze chatoSIASA ZA MACHINGA
Msukuma: Samia ameteua watu wa ovyo, alikubaliana na Magufuli Machinga waachwe, leo amewageuka,
Source : Bongo Sihami