Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuacheni kutetea vitu ambavyo havina tija.waende wanapoelekezwa sisi walaji tutawafuata mji umechafuka mnooHayo ni maisha ya watu na ni wapi huko frem hazina watu kama kkoo mbona frem zimejaa tatizo mnataka watu wahangaike wakati wamejiajiri kutafuta riziki.Kama serikali ingekua imewekeza kwenywe viwanda na kilimo vijana wengi wangekua wako kwenye ajira.Hili ni bomu kubwa sana linaandaliwa