Litawauma sana,litawachoma sanaaaa ehn.
JPM alionyesha nini maana ya kuwa Rais.
Urais ni kazi na sio fahari ya mtu kutaka kuwa rais.
Trump alijenga ukuta kuzuia wazamiaji,biden kaachana na matumizi yake marekani ina hangaika na wahamiaji halamu.
Biden aliutaka urais kama fahari tu kaapishwa lakini hana sifa ya kupewa dhamana kubwa kama ninavyowaona wapinzani wa JPM.
Watu wameguswa,kiwalani ilikuwa haina thamani pita leo Ukaone lami.
Pita leo Temeke,pita leo gongola mboto pita njia ya sinza mwenge kutokea shekilango utaniambia .Kulikuwa na shida na ilikadiliwa sasa hali ingekuwa mbaya kwa wakazi wa maeneo hayo yote badala yake wako fresh sana.
Trump maadaui zake kawaua wenyewe tu na hakutaka vita Biden anaingia vitani na marekani inakuwa maskini ndani ya muda mfupi.
Trump hakuidhinisha mabilion ya covid ,Biden kaidhinisha mwisho wake mtauona.Furaha ya biden ni kuitwa mh rais kama alivyokuwa anapenda membe lakini sio kushughulikia matatizo ya nchi.
JK alisubiria urais kwa 10 na alipopewa bado hakuwa na malengo zaidi ya kuamua kuweka misingi ya elimu ,barabara na afya ambayo tunayo toka enzi za mwalimu.
Litawauma sana mnaotaka watu wamchukie JPM lkn kazi ya mikono yake tumeiona.
Nimefurahi kuona ameacha sahihi yake kwenye pango la SGR la chini ya mlima kule kilosa.Watu tutaenda kupiga nayo picha Kule KULE pangoni.