Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wengi walipata corona pale , usiombe upate corona halafu haujala !Nasikia wamesababisha maafa huko taifa watu 4O na Zaid hatunao duniani CCM n janga la taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi walipata corona pale , usiombe upate corona halafu haujala !Nasikia wamesababisha maafa huko taifa watu 4O na Zaid hatunao duniani CCM n janga la taifa
..You are comparing apples to oranges.
..Umati wa Magufuli wamekwenda kwa uhuru na kujiachia.
..Umati wa Lissu walikwenda kwa kujiiba-iba kwani walishakatazwa na kutishwa.
..Magufuli lazima apate watu wengi kwasababu, kwa nafasi yake kama kiongozi wa nchi, alikuwa mtu maarufu kuliko Watanzania wote.
we pia umeenda kushangaa?Watu wanakwenda kwa sababu nyingi, kuaga, kushangaa ni kweli .....
That's the truth. Sisi wananchi wa kawaida, walalahoi, makapuku tulimpenda sana kwa sababu alikuwa anatusemea, anatusikiliza, alitamani kuona shida zetu zinatatuliwa. 'Elites' na wapiga porojo za kisiasa ndio hawakumpendaIla, if Dar is anything to go by, this guy was loved!
Kaumia sanaNasoma huu uzi wako hata sielewi lengo lako, kwani watu kujaa huko uwanjani kunuaga Magufuli kuna shida gani?
Mnajivunia uwingi wa waombolezajj?!Kama badowananchi wanapokea maagizo kwa kiasi hiki ni jambo jema kwa SSH na CCM.
Hii inamaanisha The Spirit of Magufuli...hapo bado Mwanza mmeshaanza kutapatapa