Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Yaani mnafurahia Rais kuzungushwa mitaani kama sanamu ya mapambo huku akiwa tayari ni marehemu!! Eti mpime ni kwa namna gani anapendwa!!
Inasaidia nini? I wish akapumzishwe mapema iwezekanavyo, na kama ilivyo mila na desturi zetu kama Watamzania/Waafrika.
Inasaidia nini? I wish akapumzishwe mapema iwezekanavyo, na kama ilivyo mila na desturi zetu kama Watamzania/Waafrika.